Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

Darasa alilosoma na impact yake kwa taifa halafu linganisha na elimu yako ya chuo ama phd na ulichokifanya ktk nchi hii ndipo utajua msomi ni nani

Israel gani anaizungumza huyu,,, niko jordan la israel tuna office huenda mara kwa mara,, kwanza waisrael wengi sio wakristo tena wana mpinga yesu wao bora uwambie mussa kuliko yesu,,, wengine mpaka leo wanamsubiri masih wao,,, south sudan walijikomba kwa waisrael walichoambulia wanajuda,,, wamedhalilishwa sana wakimbizi wa kisudan wamerudi hoi baada jumuia ya kimataifa kupiga kelele kuhusu ubaguzi wa waisrael,,, tazizo letu watz kukariri na kutembea hakuna,,njoo midle east mujionee ,,, msikariri
 
There you are,....huu ni upuuzi wa Gwajima ni zaidi ya mawazo ya kijima...anyway ni ktk juhudi za kukusanya sadaka.
Ni sahihi kabisa igwe, ili waumini waweze kutoa sadaka za kujaza lile box lazima wafinyangwe kwanza kiakili na kifikra. . . . .Gamanywa? Who is he anyway?
 
Ni sahihi kabisa igwe, ili waumini waweze kutoa sadaka za kujaza lile box lazima wafinyangwe kwanza kiakili na kifikra. . . . .Gamanywa? Who is he anyway?

Hapo sasa mkuu,..halafu mkuu Chimbuva anasapoti huu upimbi wa mawazo.
 
Hatuna haja ya uhusiano na mashetani!Israel,USA wauaji wakubwa wao wana silaha za nyuklia,lakini hawataki nchi zingine ziwe nazo
 
Mimi ni mkristu ila moja ya upuuzi ni kuamini matatizo yako hayawezi kuisha bila kujihusisha na Israel. Nashukuru kanisa langu Katoliki kutokusujudu Israel.

Mifano iliyotolewa ni dhaifu sana. Nchi zote zilizoendelea kila kukicha zinachanganyika na mataifa mengine na sio waisraeli tu. Israeli imekuwa chanzo cha kuporomoka kwa imani duniani kwani matendo yao ni kinyume na ukristu!
 
sikujua kama askofu gamanywa naye ni mpuuzi kiasi hiki! Lakini tumsamehe kwa sababu waafrika wengi akili zetu zimekwama katika kuaminishwa kwamba hata juhudi binafsi za maendeleo zinaletwa na nguvu za mungu!! Israel wamefanikiwa, pamoja na mambo mengine, ni kutokana na sera na kujituma kwao. Kina gamanywa wanachofanya ni kukusanya sadaka za waumini wakiwaahidi kuwa maombi wanayowapa ndiyo yatakayowakomboa kiuchumi. Israel wenyewe hata hawamtambui yesu, sasa laana kwa tanzania ambayo ina wengi wanaomtambua yesu inatoka wapi? Mara nyingine nashawishika kuamini katika dini za asili (dini za kiafrika), lakini zenye imani ile ile ya kwamba mungu yupo. Huu upuuzi wa kina gamanywa unapaswa kudhibitiwa kabla haujaiathiri zaidi afrika. Yaani anataka tuwakumbatie waisrael pamoja na kwamba mikono yao imejaa damu ya wapalestina wasio na hatia? Bure kabisa!!

sijuhi kama wewe ni manyerere huyu ninaye mfahamu mimi,,,naona umetelaza ulimitu,ndugu,hivi kweli wewe unamjua mungu vizuri au una mungu mgeni,embu tafuta bibilia alafu soma [kumbukumbu la torati 8;18] inasema,bali utamkumbuka bwana mungu wako,maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri,sasa napata mashaka na kauli zako za kumkufuru mungu wa mbingu na nchi,2 bishop gamanywa,hakusema maneno yake bali alisema maneno ya mungu,halie hai ambae wewe unamkufuru,ni kweli bblia inasema,atakaye ilaani israel,atalaaniwa,kama kweli watanzania tumeshiriki dhambi hii basi tutubu kwa mungu,nakushauri,ndugu manyerere chunga mdomo wako kwa watumishi wa mungu,
 
askofu anasema tukiwa connected na isaka baraka za kiuchumi zitakuja. gamanywa anasema pigeni kelele na israel lakini pataneni na israel kiuchumi kama mataifa mengine ili tanzania ifanikiwe. amesema ishmail ni mwarabu na isaka ndipo baraka zetu zilipo kutokana na mandiko katika biblia. sisi ugomvi wa waarabu na wayahudi hautuhusu. Tunachotakiwa ni kuinuka kiuchumi na hiyo haiwezekani bila kuwa na mahusiano mazuri na israel. waisrael wameahidiwa kuwa kichwa na sio mkia katika biashara. mia

Kwani baba wa ISHAQ NA ISMAEL ni tofauti, iweje mmoja awe mwarabu na mwengine asiwe!!!!! Askofu kachemsha.
 
Mimi binafsi naweza amini ni kweli.. Hata kwa ndg zetu wa kenya, south Africa, misri, boswana wanapata maendeleo kwa sababu wana mahusiano na Israel...
Maandiko yako wazi kila anaeilaani Israel atalaaniwa...!
TUACHE UDINI TUJADILI
 
Naunga Mkono hii hoja kutokana na misingi ya chimbuko lake. Hoja hii imejikita katika misingi ya imani. It is reality that you cannot reason faith since faith it is not grounded on logic.
Hasa kuna wadau naona mapovu yanawatoka mdomoni kwa sababu ya uvivu wa kufikiri misingi ya chimbuko la mtoa hoja.

Kwa mtazamo wa kiimani mtoa hoja yupo sahihi 100% na hapaswi kubezwa eti kwa kuwa katika mashiko ya kimantiki hoja yake inaweza kuonekana ina mapungufu lakini kiimani haina mapungufu hata kigodo. Hivyo hoja iliyotolewa kiimani ishambuliwe kiimani, na iliyotolewa kimantiki ishambuliwe kimantiki.
Kupoteza mwelekeo wa kuishambulia hoja ni kama kutumia kipimo cha kugundua uwepo wa malaria wakati dhamira yako ni kupima ili kugundua uwepo wa Virusi vya ukimwi.
Shame kwa wavivu wote wa kufikiri na kuipeleka akili yao likizo kifikra.
 
  • Thanks
Reactions: SQL
And you're the most rubbish-commentator ever read his/her comment(s).

Kwa hiyo kwa akili yako wewe nchi kutajirika ni lazima iwe na mahusian mazuri na Israel? Ingekua hivyo basi Ujerumani baada ya vita kuu ya pili duniani ndiyo ingekua nchi masikini kuwahi tokea ulimwenguni...ukifuata logic yeni. Kweli propaganda inafanya watu kuzima ubongo.
 
There you are,....huu ni upuuzi wa Gwajima ni zaidi ya mawazo ya kijima...anyway ni ktk juhudi za kukusanya sadaka.

Mimi ni Mkristo lakini naamini saa nyingine imani zina wapumbaza watu sana. Yani mtu kakaa akaona tatizo la Tanzania ni ina mahusiano gani na Israeli. Kweli ndiyo maana leo Watanzania wakisikia kuna kikombe cha babu kinaponya wote wana furika huko.
 
And you're the most rubbish-commentator ever read his/her comment(s).
mzazi wako wa kike ni miongoni mwa wanawake wenye bahati kubwa sana ulimwenguni,,, nampa hongera na mungu azidi kumlinda kwa kufanikiwa kukuzaa na kuondoa kirusi hatari sana mwilini mwake ambacho ni wewe,, asingekuzaa ungempa tabu sana mama yetu asiye na kosa lolote.
 
Mimi binafsi naweza amini ni kweli.. Hata kwa ndg zetu wa kenya, south Africa, misri, boswana wanapata maendeleo kwa sababu wana mahusiano na Israel...
Maandiko yako wazi kila anaeilaani Israel atalaaniwa...!
TUACHE UDINI TUJADILI
Huu ni ujinga mkubwa....
 
Asikofu Gamanywa leo kasema Tanzania haiwezi kufanikiwa kiuchumi na kisiasa sababu haina mahusiano mazuri na israel. kasema mataifa makubwa yote yana mahusiano mazuri na israel ya kiuchumi. kayataja
marekani, china, japan india, ujeruman urusi brazil uingereza ufaransa na italy. lakini tanzania haina hata balozi israel.
2% ya wamarekani ni wayahudi.
Ametoa ujumbe kwa serikali ya tanzania kufungua mahusiano na israel. tuache kuingilia ugomvi wa ishmail na isaka sisi hautuhusu kasema askofu. mia
0000000000000000

huyo askofu ni mnafiki na kibaraka, wayahudi si tunajua walichomfanyia mtakatifu YESU, na kuhakikisha anteswa. La pili toka lini wayahudi wakawa wanatowa baraka kwa ulimwengu, mbona anawafanya miungu hao majangili wakidunia. Jee unajua dini ya wayahudi inavyo waona watu weusi. soma habari za FALASHA wayahudi weusi kutoka Ethopia, wanavyo baguliwa huko Israel, wao ndio wanaopelekwa kwanza popote penye vita as foder first. Pia tukumbuke ya kuwa hao hao Israel walikuwa the best friends of Makaburu Afrika Kusini na Ian Smith, waliwapa silaha na mafunzu ya kuwaua waafrika.

Ati sasa Askofu wetu mtanzania ana imani ya kuwa rizki inatolewa na uhusiano na Israel. Ndugu huyo hafai kabisa na ni kosa hata kusali kwenye ibada anayoiongoza.
 
Gamanywa naye huyu fara, hapa anataka ku capitalise kwenye watu anaowafanyia booking ya kwenda israel. Biashara wakati mwingine inaweza kukufanya ukawa huna akili
 
Mimi ni Mkristo lakini naamini saa nyingine imani zina wapumbaza watu sana. Yani mtu kakaa akaona tatizo la Tanzania ni ina mahusiano gani na Israeli. Kweli ndiyo maana leo Watanzania wakisikia kuna kikombe cha babu kinaponya wote wana furika huko.

We are sailing in the same boat mkuu,..hata mimi ni mkristo lakn sio mpuuzi hata kidogo.
 
Eti huyu nae ni askofu sijiu ata ELIMU yake ipo je? Hivi hajui ISRAEL ndo nchi inayoongoza kwa kupewa misaada na US kuliko nchi yoyote ile bado hujaongelea nchi zingine...Siamini ktk misaada but laiti TANZANI tungepewa misaada anayopewa Israel na ukizingatia ni kanchi kadogo sana kulinganisha na nchi yetu sijui tungekua wapi manake Israel wanapata constant aids from US...Lakini bado hawajaweza simama mpaka leo hii...Je askofu hajui kuna nchi kibao tu zilizo na maendeleo makubwa still hazina mahusioano na hawa wazayuni? aache porojo zake za kitoto Israel na kajitaifa kaduuuuuchu sana ambako ni kakawaida tu sema tu kanasaidiwa na utarii na misaada ya baba zao US
 
Back
Top Bottom