Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

Huna haja ya kutushukuru swala ni kwamba wewe una udini ktk akili yako. Akina Michuzi na mjengwa waliona unaongelea ujinga wakakupiga chini, lakini uzuri wa JF unaachiwa uwanja ili ukomeshwe na wanajamii wenyewe.

Huwezi ukawa na akili timamu ukawatetea waarabu kwa kuendelea kunufaika na ziwa victoria ili sisi tusitumie kwa manufaa ya wananchi wetu. Tena naomba tufungue ubalozi nchini Israel haraka mwaka huu.
Waesraeli na Waarabu wakuwa na tofauti hizi miaka karibu elfu tatu.

Na tofauti walizokuwa nazo haziwezi kuondoka katika miaka mingine elfu tatu kama wote hawatobadilika kimtazamo/mila/tamaduni/siasa. Kwa hii miaka ya karibuni ukweli ni kuwa waarabu kipindi cha nasser walipiga mahesabu mabovu na kusababisha kupigwa vibaya sana na ardhi yao kutekwa na nadhani kwa vile nchi ya israel ni ndogo wanataka kutumia maeneo haya kama buffer zone.

Rais Anwar Sadat alijaribu sana kubadilisha mtizamo kwa kutambua kuwa israel ni lazima iendelee kuwepo na waarabu lazima wakubali hali hiyo. Lakini matokeo yake walimwita msaliti na kumua. Tangu hapo hakuna kinachoendelea kwa sababu hao wapalestina wenyewe hawaelewani. Kwa wasiofahamu hawa jamaa kuna nchi kadhaa za kiarabu haziwataki kutokana na matatizo yao.

Ukiangalia hata lebanon wamechangia kwa kiasi kikubwa matatizo ya nchi hiyo. Misaada ambayo waarabu wenzao wamewapa ingeweza kubadilisha kabisa hali yao kwenye maeneo ya westbank na gazza lakini wapi na wanafanyiana ushenzi ambao siyo rahisi sisi kuelewa. Kwa mfano wale wanao unga mkono kundi la PLO upande wa gazza hata kazi serikalini wanafukuzwa. Na katika kipindi kile ambacho Israel ilikuwa inaiharibu gazza wafuasi wa PLO walikuwa wanaogopa zaidi watu wa Hamas kuliko Israeli. na ukweli ni kuwa wa PLO wengi wailipigwa risasi za magoti [eti wasaliti].

Waafrika tuna matatizo ya kutosha hivyo wakati umefika tuangalie namna tutakavyoweza kuyatatua- IT TAKES 2 TO TANGO
 
Problem yetu wabongo hatujajifunza namna ya kuwatumia watu kama hawa kufaidika. Hawa jamaa pamoja na kuchukiwa duniani kote kutokana na mambo mbalimbali wana kipaji fulani ambacho ukikitumia lazima utoke.

Wakenya wanawatumia sana hawa jamaa na mafanikio wanayaona. 'Baniani mbaya kiatu chake dawa' Kwa nini tuwaogope. Hawa wana kipaji cha kufanya kazi kama mchwa na ni wabunifu wa hali ya juu.

Tunaweza kabisa tukawaruhusu chini ya uangalizi wa wa watu kama wewe mwandishi ili hizo hisia zako kuhusu wao zisaidie kugundua ikiwa watataka kuweka interests nyingine za kiovu. Ninaamini hawa jamaa wakiingia nchi hii, kutakuwa na maendeleo makubwa sana baada ya muda mfupi. Wanafahamika sana kwa hilo duniani kote. USA, Afrika Kusini, UK, Kenya, Canada, Scandnavia na kwingineko kwingi tu wanaelewa hilo.
 
Wahenga walisema kupanga ni kuchagua,

Uamuzi ni wetu aidha tuendelea katika bwawa la umaskini na ujinga ambao tumeishi kwa miaka 45 plus, Au tubadilike na kuacha siasa za chuki zisizokua na tija kwa taifa.

Aidha tuendelee kuwasikiliza waarabu ambao hawawezi kutusaidia na hawana nia ya kutusaidia kwa namna yeyote au tushikamane na Israel ambapo tutapata mafunzo na teknolojia zitakazobadilisha maisha ya Mtanzania.

Ni aibu sana na ni uzembe wa hali ya juu kwa muda wote tulioupoteza kwa kutokua na uhusiano na Israel, Nchi nyingi zimepiga hatua sana kwa kujifunza na kupata utaalamu kutoka Israel. Hata hivyo hatujachelewa saaaaana kwa vile huu ni mwaka wa uchaguzi, mojawapo ya priority za kushughulikiwa ni pamoja na kupata raisi atakaerudisha uhusiano wa kibalozi na Israel.


Kama kuna wenye ugomvi na Israeli hilo ni shauri yake, hayatuhusuuuuuuu. Tunachotaka ni kuangalia maslahi ya taifa la Tanzania kwanza.
 
Problem yetu wabongo hatujajifunza namna ya kuwatumia watu kama hawa kufaidika. Hawa jamaa pamoja na kuchukiwa duniani kote kutokana na mambo mbalimbali wana kipaji fulani ambacho ukikitumia lazima utoke.

Wakenya wanawatumia sana hawa jamaa na mafanikio wanayaona. 'Baniani mbaya kiatu chake dawa' Kwa nini tuwaogope. Hawa wana kipaji cha kufanya kazi kama mchwa na ni wabunifu wa hali ya juu.

Tunaweza kabisa tukawaruhusu chini ya uangalizi wa wa watu kama wewe mwandishi ili hizo hisia zako kuhusu wao zisaidie kugundua ikiwa watataka kuweka interests nyingine za kiovu. Ninaamini hawa jamaa wakiingia nchi hii, kutakuwa na maendeleo makubwa sana baada ya muda mfupi. Wanafahamika sana kwa hilo duniani kote. USA, Afrika Kusini, UK, Kenya, Canada, Scandnavia na kwingineko kwingi tu wanaelewa hilo.


Hivi niulize kitu kwa mtu ambaye sio mtumwa itakupungukia nini kama ukisema UKWELI?

Jews wanachukiwa na Waarabu tu! Waulize sababu hawana utasikia mpaka wanawaita Mayaudi hii ni chuki tu! haya wachukiwe na Dunia nzima kwani wamefanya nini kiovu.

Na sijui kwanini wanachukiwa na waarabu tu waafrika ni waislam huu ndio ukweli sisi wakristo Tunawapenda sana,

Ukichunguza Kwenye Quran utakuta inasema eti Jews waligeuzwa kuwa kitimoto nk nk na mambo mengi sana.
 
LONG LIVE ISRAEL......VIVA ISRAEL.....!
tufungue ubalozi wetu ISRAEL....!
 
Nikiona waislamu waandamana bongo kupinga Israel inanikera sana.Inaonekana nchi yetu ni kama ya kiislamu.Waarabu hawana respect kwa sisi kabisa.hata wazenj wenye siasa kali wengi wamejilipua ulaya sio saud arabia!
 
Bwana Kipole umetoa muono wako wa mawazo, kwa mimi binafsi sikatai maana una uhuru wa kuongea. Ila nikuambiae jambo moja katika nchi za Urabuni Misri ndiyo yenye uhusiano mzuri sana na Waisraeli na hata wana ubalozi pale Cairo sehemu iitwayo Mahdi Arab. Na Misri inapata misaada mingi sana kutoka Israel. Hivyo hoja yako kuwa wanampango wa kuwamaliza wa Misri kwa kupitia mto NIle si kweli kabisa.

Lingine mto Nile hautegemei tu maji kutoka Blue Nile wanategemea zaidi maji kutoka White Nile ambao umeanzia kule Ethiopia. Tofauti na Blue Nile, White Nile maji yake ni ya msimu hasa wakati wa mvua ila yanakuwa mengi sana. Na Misri wamejenga ziwa kubwa kwenye mpaka wa Sudan na nchi yao ambalo linaweza kumwaga maji hata miaka kadhaa bila ongezeko la maji. Hivyo hata Ziwa Victoria likipungua wanaamini White Nile inaweza kusaidia. ILa wanahakikisha L. Victoria linapeleka maji kwani hawaaamini sana wa Ethiopia wanajua wanaweza kufanya lolote kwenye White Nile. Hiyo ilikuwa brief tu kukuondoa woga kuwa waisrael wanampango wa kukausha Nile ili wamisri waathirike.

Lingine ni kwa ndugu yangu Ladislaus, naye naomba aondoe mawazo ya kusema Israel ni taifa takatifu kuwa ukiligusa Baraka za Mungu zimekwisha. Hiyo ilikuwa enzi ya zamani bado likiwa na kibali cha Mungu, enzi hizo za mwisrael lazima atahiriwe ili amtumikie Mungu wa kweli. Ila baada ya mataifa mengine kupata kibali uhusiano huo ulikwisha kati ya taifa la Israel na Mungu. Kwasasa ni yule anyefanya mapenzi ya Mungu ndiye anayepata kibali. Hivyo brush up your bible study.
 
Hivi karibuni nilisoma katika tovuti ya Michuzi kuwa Waisraeli wanataka kusaidia miradi mbalimbali Tanzania.Kwa bahati mbaya niliandika maoni kama blog wa Michuzi lakini inaonekana Michuzi ni mtu wa system kwahiyo maoni yangu ambayo nayaambatanisha hapa,akayatia kapuni. Nikajaribu kumuomba ndugu Mjengwa katika blog yake nae pia hakuweza kuyaweka. Nikajua kuwa wote wanaganga njaa na hawako serious na kutoa forum kwa wananchi kutoa maoni yao. Haya hapa ndio maoni yangu kuhusu uhusiano wa Tanzania na Israel.

Kitu kimoja kinanishangaza sana kuhusu hawa Waisraili.Udhalimu wanaoufanya kwa wapalestina wanapata wapi utu wa kuja kusaidia miradi ya Tanzania? Hapa lipo neno.

Waisraili wanataka kudhibiti chanzo cha maji ya mto Nile ili kuwaadhibisha na kuwatia shindikizo watu wa Misri ambao uhai wao unategemea maji ya mto Nile.Walienda kwa Uganda na kufanikiwa. Huko walijenga bwawa kubwa linalotumia maji ya ziwa Victoria. Sasa wako Tanzania. Si kweli kuwa wana nia ya dhati ya kusaidia miradi, wana lao hawa.Wanachokitaka ni kuona maji ya Ziwa Victoria yanatumiwa sana ili kupunguza kina cha maji cha mto Nile na baadae kuifanya Misri ikose maji ya kutosha. Hii itawawezesha wao kuipiga kabari Misri ambayo kuna wakati hufurukuta ili kuwasaidia Wapalestina. Kwa mfano hivi karibuni Misri iliruhusu msafara wa misaada unaoelekea Gaza kupita nchini mwao. Jambo kama hili haliipendezi serikali ya Israel.

Kwahiyo uhusiano huu na Israel una neno. Najua ingekuwa ni kipindi cha mwalimu Nyerere na uhai wa Yasser Arafat wasingeweza kuja kuingia kirahisi Bongo kutokana na msimamo wa mwalimu.Lakini mwalimu Nyerere hatunae tena na Yasser Arafat pia kwahiyo Israel wameutumia huu mwanya.

Jee wadau wengine wanasemaje?
Hayo ni mawzo dhdaifu wala hayana key yawezekana jamaa upo zaidi kidini
badala ya kuwepo kiimani zaidi pia usipende sana udini nihatari sana kwa maish yako
maana unaweza kuwachuki watu bila sababu za msingi, Mungu aliumba watu woooote sawa tu ila mwanadamu anapolazimika kutumia sana uwezo wa akili bila msaada wa aliye muumba yaani Mwenyezi Mungu hata amekuwa na chuki na baadhi ya watu tu kwababu hawaamini pamoja na yeye bila kujua swala la mtu kuamini ni la 'kiindivijo' zaidi
 
Naona chuki nyingi tu zikielelezwa dhidi ya Waraab zikitoka huko Tanzania kwa ajili ya msaada wa kumwagia maji ?-Na je mmesiki nchi moja ya Kiarabu gani amewakatazeni? Hii technology iko mataifa mengi duniani maelf ya miaka- So what is the big deal?. Go ahead if you wish.

Hata huku pia kuna mamilion ya watu wenye Afrika ambao hakuna mtu anawabugudhi wakiendesha maisha yao. Na suala la Sudani ni hitilafu za ndani zimetokea hata baina ya Waafrika wenyewe kwa wenyewe kama Kenya,Burundi, Nigeria ila nchi zinazopenda double standards zinatumia hiyo kupakazia.Hakuna nchi moja ya Kiarabu iliyochukua upande wowote- wote wakihesabika sawa.

Kusuhu misaada, pia nchi nyingi za kiarabu pia zimetoa misaada kwa Tanzania ila hiyo haisemwi.
Nafikiri watu ambao wana ufinyi wa Elimu na hali ya dunia ndiyo wanatoa maneno ya upuuzi. Inabidi warekebishe midomo michafu ambayo haisaidii kuimarisha urafiki kimataifa duniani. Hii inaongeza chuki tu baina ya mataifa. Baadhi ya vitabu wanavyosoma infaa wachambue- siyo kuamini tu. Hakuna mtu bora ya Mwenzie mbele ya Mungu!
 
Acheni ujinga wa kushabikia misaada. Nchi haitajengwa kwa misaada ya wengine na ndio maana kila msaada unakuja na masharti yake.

Ila hili la waIsraeli kuziba nile kutokea Tanzania kali, sijui kama mtoa hoja anajua ukubwa wa Lake Victoria.
 
Inatia hasira sana pale ambapo watu kama mie wanaojiita serikali wanatumia hisia zao na chuki yao dhidi ya nchi zingine wanaamua kufunga ubalozi na nchi zingine bila kujua kuwa wananchi wengi hawakubaliani na maoni yao yasiyokuwa na msingi wowote,hainiingilii akilini eti tuvunje ubalozi na Israel,wakati huo tukiwa na uhusiano wa kibalozi na Palestina,hizi nchi 2 zote zina matatizo yake tu na kila mtu anaweza kujisikia kuunga upande fulani jinsi anavyoyachukulia,lakini sio kukataa kushirikiana na Israel halafu wanasema ati watanzania hawaungi huo ushirikiano,ni upumbavu.

Mimi ni mtanzania sioni haja ya kunizuia kushirikiana na waisrali,ninao marafiki wa kutoka kila sehemu,nilikuwa na classmates wa kutoka Iran,Misri,Palestine,Israel,US,Mongolia,Pasific islands,Russia and lots of other countries,wote walikuwa marafiki wazuri sana,haya mambo ya wanasiasa na chuki zao dhidi ya jamii nyingine ni za kupigwa vita kwa nguvu zote.

Nategemea kuona Tanzania inafungua ubalozi na Israel soon as possible,our leaders please stop putting poison into our peoples minds. Stop telling us to dislike other people,we disagree with you,this is a double standard,for the same reasons we don't cooperate with Israel the same reasons we shouldn't cooperate with US then,or for that case we shouldn't cooperate with all nations supporting or cooperating with Israel.

We all know that Israel is highly skilled in hi techs, we all know what we can learn from them that we can't learn from Congo or Zimbabwe,for the best and for the development of our country,let's stop hate and bias,let's admit that we made a grave mistake and let you leaders learn that Mwananchi of 2010 knows what's best for this country and knows where you people have made grave mistakes,we are reminding you now to correct them before we set the records straight with you!

Am out!
 
Nimeshangaa jinsi watumwa wa kifikra na maarifa walivyo wengi hapa JF, kama nyinyi ndio sehemu ya wasomi wa ki-tanzania basi taifa halina watu ila "KONDOO" wasiojua historia!

Waisrael kokote walipopita wameleta ubaguzi na injustice na hivi wanawafanyia uhalifu wapalestina for 60 years..killings, invasion, ukoloni, matumizi ya WMD kinyume na UN...list goes on...

Waisrael hafai kukanyaga Tanzania vinginevyo ni kukaribisha injustice..hatuhitaji misaada ya kijinga...kwa yeyote yule iwe mwaarabu au muisrael tunatakiwa kujiendeleza wenyewe..

Huo utetezi uliopo hapa ni UDINI (ukristo) unawasumbua...lakini mnashindwa kufahamu kuwa Jews walitaka kumua YESU na hawana habari na ukristo zaidi ya kunyonya na kufanya ubaguzi (kujifanya watu bora) shame..
 
Jakathesi.

Kama hiyo ndio ajenda yako kuu, basi nina ushauri mmoja tu: Usimchague Rais kipindi kijacho najitahidi kufanya kampeni kwa ajenda hiyo.

Kila la kheri na mafanikio mema. Kumbuka kuwa Raisi wa chama fulani huingia madarakani kwa kampeni yake juu ya vipao mbele vyake. Na atayafanya yale atakayowaadhimia wananchi hata kama wewe huyapendi.

Hivyo ndivyo DEMOKRASIA ilivyo ndugu yangu, vinginevyo nenda nchi za UDIKITETA..
 
Last edited by a moderator:
Habari wa Jf,

Nimesikia Tanzania ilivunja uhusiano na Israel tangu 1960, jambo hili limenishtua kidogo kwa kufuatana na kitabu cha dini ninachokiamini kinasema ANAYEMBARIKI ISRAEL ANABARIKIWA NA UKIMLAANI UNALAANIWA NA MUNGU, nisaidieni jamani kwa anayejua kama tuna balozi hapa Tanzania.
 
hapana hakuna uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi hizi ambapo inasemekana baba wa taifa aliuvunja kutokana na waisrael kutokuheshimu haki za wapalestina.
 
Upo uhusiano wa kibalozi, ila ofisi ya ubalozi wa israel upo nairobi unaoshughulikia nchi za africa mashariki na juzi tu balozi wao alikuwa Tanzania
 
Habari wa Jf,

Nimesikia Tanzania ilivunja uhusiano na Israel tangu 1960, jambo hili limenishtua kidogo kwa kufuatana na kitabu cha dini ninachokiamini kinasema ANAYEMBARIKI ISRAEL ANABARIKIWA NA UKIMLAANI UNALAANIWA NA MUNGU, nisaidieni jamani kwa anayejua kama tuna balozi hapa Tanzania.
bushbaby acha fikra zako za mgando, kwani israel nidio wakina nani? je una ushahidi wa watu waliolaaniwa baada ya kuirani israeli? tutolee ujinga wako hapa.
 
bushbaby acha fikra zako za mgando, kwani israel nidio wakina nani? je una ushahidi wa watu waliolaaniwa baada ya kuirani israeli? tutolee ujinga wako hapa.

Mwanangu ushahidi upo
furqani el qarim inasema 'Hakuna aliye ADUI mkubwa wa wale waamini ila Wayahudi!'

sasa angalia magomvi na kutoelewana miongo mwa waislamu na nchi za kiislamu

Habari ndio hiyo!
 
Back
Top Bottom