Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
#Kwa mlio kwenye ndoa naombeni ushuhuda wenu,...
#na kwa mlio kwenye uchumba toeni duku duku lenu pia (nipo kwenye kundi hili),...
#kwa mnao tafuta someni kwa makini mtajifunza kitu.
Katika mahusiano na huyo uliye naye,...au unaetaka kwa nae katika maisha yako
ungependa muwe na personality sawa au mnazo personality sawa?
Kwa mfano:-
*wewe ni muongeaji sana,unapenda sana kujichanganya na watu,..
*ukiumizwa unapenda kulia sana kabla ya kusema kilicho kuumiza,...
*labda unajiwaza wewe tu zaidi ya unavo waza wengine (introverted )
*Au unawaza na kujali wengine zaidi ya unavo jijali mwenyewe (extroverted)
*labda wewe ni mtu unae penda sana kuongoza,...(you like leading)
*labda ukipata tatizo wewe huwa una panic sana au ukipata tatizo hua huoneshi tofauti yoyote
*labda mara nyingi unafanya kitu baadaye ndipo unawaza madhara yake
* ............nk nk nk
Binafsi kwa mtazamo wangu niko tofauti na niliye naye tunatofautiana personality sana
na katika kutofautiana huko tunaishi vizuri maana inasaidia kujua kua mwenzangu katika
hali flani yuko hivi,....(sio sawa na mimi kabisa)
Yeye ni muongeaji sana,mimi sio,....
yeye anafanya kazi vizuri sana akiwa kwenye group,..mimi nafanya vyema sana nikiwa mwenyewe,...nk
Watu wengi hua wanasema, "natafuta wa kufanana na mimi",....mnadhani ni sahihi?
na personality zingine nyingi tu,je ungependa kuwa na mwenzi wako ambaye mnafanana personality?
#na kwa mlio kwenye uchumba toeni duku duku lenu pia (nipo kwenye kundi hili),...
#kwa mnao tafuta someni kwa makini mtajifunza kitu.
Katika mahusiano na huyo uliye naye,...au unaetaka kwa nae katika maisha yako
ungependa muwe na personality sawa au mnazo personality sawa?
Kwa mfano:-
*wewe ni muongeaji sana,unapenda sana kujichanganya na watu,..
*ukiumizwa unapenda kulia sana kabla ya kusema kilicho kuumiza,...
*labda unajiwaza wewe tu zaidi ya unavo waza wengine (introverted )
*Au unawaza na kujali wengine zaidi ya unavo jijali mwenyewe (extroverted)
*labda wewe ni mtu unae penda sana kuongoza,...(you like leading)
*labda ukipata tatizo wewe huwa una panic sana au ukipata tatizo hua huoneshi tofauti yoyote
*labda mara nyingi unafanya kitu baadaye ndipo unawaza madhara yake
* ............nk nk nk
Binafsi kwa mtazamo wangu niko tofauti na niliye naye tunatofautiana personality sana
na katika kutofautiana huko tunaishi vizuri maana inasaidia kujua kua mwenzangu katika
hali flani yuko hivi,....(sio sawa na mimi kabisa)
Yeye ni muongeaji sana,mimi sio,....
yeye anafanya kazi vizuri sana akiwa kwenye group,..mimi nafanya vyema sana nikiwa mwenyewe,...nk
Watu wengi hua wanasema, "natafuta wa kufanana na mimi",....mnadhani ni sahihi?
na personality zingine nyingi tu,je ungependa kuwa na mwenzi wako ambaye mnafanana personality?