MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,588
Wapendwa natumaini mu wazima na furaha kuwa weekend imefika.
Naomba tusaidiane katika hili. Ni mara nyingi kina dada tumekuwa tukishutumiwa kkwa kutokuwa na mahusiano mazuri na ndugu zetu wa upande wa mume yaani mama mkwe au mawifi.
Kumekuwa na clashes za mara kwa mara kati yetu na hawa second halves wetu kiasi kwamba sometimes mtu hata kabla hujaingia moja kwa moja kwenye mahusiano unaanza kufikiria uhusiano wako na mkwe, mawifi utakavyokuwa.
Sababu nyingi zimetolewa mfano mambo ya wivu.eti mama mkwe humwonea wivu mke wa mwanae; mama mkwe anakuwa hana imani kama mke huyu anawezamtunza mwanae (Kuna wengine wamefichiwa mpaka kipande cha paja hapa) n.k.
Nauliza tu je kuna vitu maalumu ambavyo ukiviobserve vema vinawezatupunguzia hizi clashes? Nini ambacho tunawezamfanyia mama mkwe/wifi ili tuishi nao kwa amani na upendo?
What are the limits inapokuja katika mahusiano yetu na hawa wapendwa Are there any sacrifices ambazo sisi kama wake tunapaswa kuzifanya ili tuepushe migongano hii?
N.B: Simaanishi mama wakwe wote au mawifi wote inakuwaga ngumu kuishi nao la hasha. (Naomba nielewekek hapa)
Aksanteni
Naomba tusaidiane katika hili. Ni mara nyingi kina dada tumekuwa tukishutumiwa kkwa kutokuwa na mahusiano mazuri na ndugu zetu wa upande wa mume yaani mama mkwe au mawifi.
Kumekuwa na clashes za mara kwa mara kati yetu na hawa second halves wetu kiasi kwamba sometimes mtu hata kabla hujaingia moja kwa moja kwenye mahusiano unaanza kufikiria uhusiano wako na mkwe, mawifi utakavyokuwa.
Sababu nyingi zimetolewa mfano mambo ya wivu.eti mama mkwe humwonea wivu mke wa mwanae; mama mkwe anakuwa hana imani kama mke huyu anawezamtunza mwanae (Kuna wengine wamefichiwa mpaka kipande cha paja hapa) n.k.
Nauliza tu je kuna vitu maalumu ambavyo ukiviobserve vema vinawezatupunguzia hizi clashes? Nini ambacho tunawezamfanyia mama mkwe/wifi ili tuishi nao kwa amani na upendo?
What are the limits inapokuja katika mahusiano yetu na hawa wapendwa Are there any sacrifices ambazo sisi kama wake tunapaswa kuzifanya ili tuepushe migongano hii?
N.B: Simaanishi mama wakwe wote au mawifi wote inakuwaga ngumu kuishi nao la hasha. (Naomba nielewekek hapa)
Aksanteni