cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,651
- 137,377
Hakika kabisa dea. Nakubali sana.Maandiko yanasema utaacha baba na mama na kuambatana na mkeo Sasa ndugu kwenye mji wa watu waenda fanya Nini? Hafu huwezi force mtu kupenda watu au kuchekeana bana acheni ku complicate maisha.