Mahujaji 35 wafariki Makkah

Yaani kuna watu wana akili za nyumbu haswa!!!.
Kwa hiyo huyo mungu wenu hana namna nyingine ya kuwachukua zaidi ya kufa mkiwa mnakanyagana kumpiga mawe shetani na kujitoa muhanga huku mkiua wengine?
mungu anaye furahia vifo vya watu wake ni Shetani huyo, shauri yenu!!!
Jiheshimu utaheshimiwa..usiropokwe kwa usilolijua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kuna watu wana akili za nyumbu haswa!!!.
Kwa hiyo huyo mungu wenu hana namna nyingine ya kuwachukua zaidi ya kufa mkiwa mnakanyagana kumpiga mawe shetani na kujitoa muhanga huku mkiua wengine?
mungu anaye furahia vifo vya watu wake ni Shetani huyo, shauri yenu!!!
Mungu wenu ni bora sana. Ye ana njia za kistaarabu za kuwachukua.
Kama vile kuwatundika misalabani,kuwauwa kwa ukimwi kwa kupenda ngono za jinsia moja.
Kuwauwa watu kwa mabomu huku mkiwadondoshea mikate. Alivyowachukua zaidi yw 70000 kule Hiroshima kwa ustaarabu wa bomu. Anavyo wachukua watu kule Sirya na kuacha magofu makazi yao. Alivyo iharibu Libya,Iraq ili tuu wasifanane nao.

Kwa hakika huyo mungu w enu ni mstaarabu sana. Mafundisho yake makuu ili uwe mtakatifuni kutukana imani za wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaa. shortcut to heaven...
shortcut to heaven ni
96be9e478dd28ae0aecd1a354ee5172d.jpg
kujilipua tu au
21871b56f0b7345c3a233737901ab4f3.jpg
 
Wengine wanasema shughuli ya kuangukiana hadi kufa huanzia pale kwenye stage ya kujifunika shuka moja tu mwilini ambapo huwa hamtakiwi kabisa kuvaa hata chupi ndani
 
Back
Top Bottom