sikatai mkuu, ndio maana nasema kama kwa ground za kiimani, hata wakifa wote ni sawa.
Lkn kijamii, kila mwaka kufa watu wengi eneo lile lile, kwa sababu ileile na mazingira yaleyale lzm watu wazame waje na suluhisho.
Hata wasimamizi wenyewe wa huo mkutano ukirefer vifo vya mwaka 1990 na 2015 hawasemi ni thawabu, badala yake wakaja na njia za kuzuia vifo kama.
Crowd Management
Surveillance cameras ziliongezwa
electronic controls za njia na mageti
Watu kuvaa electronic robbon maalum ili kutambuliwa location zao.
Bado watu kufa huko sio sifa, na bado wanaweza kufanya vizuri zaidi ya hapo ili watu wakienda kwenye Mambo ya kiimani au kutimiza nguzo warudi salama majumbani kwao.