Mahujaji 35 wafariki Makkah

Nasikia kuanzia mwakani Kutakuwa na kirisimasi tano( 5)kila mwaka
Itakuwa bomba sana!
Tutaadhimisha mpaka raha!
Yaani January ukiwa huna hela ya kushereheka unaisubi ya march, kama bado huna unasubiria ya mei na kuendelea na kuendelea.
Very economical democracy.
 
Wakamsalimie mzee wa totoz S.A.W
Acha Uroroso. Hivi hapo wakiamua kukujibu je? Si mtakimbilia neno kashfa na uchochezi. Si kuwa hawajui maneno ya ufedhuri kama hayo, ila ni kuheshimu tu watu na imani zao pia miiko ya JamiiForums

Tahadhari sana. Tunaijua vilivyo imani yako ambayo tunaweza kuianika hapa
 
Ntakuja slim sababu ya hao bikra 72

Sent using Jamii Forums mobile app

Silimu Mkuu ufaidi mabikra 72 hii ndio dini inayokupa uhakika wa maisha ya ahera. Unafanya mema duniani ukifa unaahidiwa pepo (paradise) inayopita mito chini yake, mabustani lukuki yanayopendeza na warembo wa ukweli ambao huwezi kuwafananisha na chochote. Kwa ujumla kule ni full bata. Siyo nyie pepo yenu eti mnaenda kusifu na kuabudu kwa kuimba mapambio!!! Yaani kujipinda kote duniani malipo yake ndio kuimba tu!? Si mikono yote itatoka malengelenge?
 
Kufia Makkah ni kupata thawab

Hilo ni jambo la Kheir kwasababu wamefia katika mji mtakatifu wakihiji.

Hakika pepo wataiona hao Waumi'ni na tunuku zile watazipata, Inshaallah

Wabillah Tawfiq,

Hicho ni kifo cha heshima, wamekufa kwa baraka za Mungu

Kufia mji mtakatifu wakati wa kuhiji ni thwawabu. Wengine wanaenda kwa ajili ya kujiulia huko
Hapa ndipo mimi huwa na mashaka na hii dini, either waumini wake wengi hawako timamu au huko kwenye hijja kuna kafara la damu za watu kila mwaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndipo mimi huwa na mashaka na hii dini, either waumini wake wengi hawako timamu au huko kwenye hijja kuna kafara la damu za watu kila mwaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mashaka ni style yako tu iliyojia kwa leo.

Wewe una chuki zaidi dhidi ya uislamu. Lakini hupunguzi chochote kwani Kejeli, Chuki, Uroroso ulifanywa na walikuwa kabla yako, leo hii wako wapi...!
 
Avatar yako inashabihiana kuwa una mambo ya ovyo

Kwahivyo hakuna jipya ambalo utaleta ima kukufuru, au kutukaka, Kejeli hapa duniani ambayo hawajaleta waliokuwa kabla yako
Kwani S.A.W hakuoa mke wa miaka Tisa?

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Kumbe alioa shida iko wapi? Au hujui kuwa mwanamke anakua kibaiolojia na wala si vinginevyo hata huku kwetu tabora wako wengi miaka tisa tayari smevunja ungo na mwili huo kama nyumba
S.A.W angekuwa kwa magu saiv angekuwa yipo nyuma ya nondo

Miaka 9 ni ubakaji sijui kwann serkali haikumchukulia hatua

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
sikatai mkuu, ndio maana nasema kama kwa ground za kiimani, hata wakifa wote ni sawa.
Lkn kijamii, kila mwaka kufa watu wengi eneo lile lile, kwa sababu ileile na mazingira yaleyale lzm watu wazame waje na suluhisho.

Hata wasimamizi wenyewe wa huo mkutano ukirefer vifo vya mwaka 1990 na 2015 hawasemi ni thawabu, badala yake wakaja na njia za kuzuia vifo kama.
Crowd Management
Surveillance cameras ziliongezwa
electronic controls za njia na mageti
Watu kuvaa electronic robbon maalum ili kutambuliwa location zao.

Bado watu kufa huko sio sifa, na bado wanaweza kufanya vizuri zaidi ya hapo ili watu wakienda kwenye Mambo ya kiimani au kutimiza nguzo warudi salama majumbani kwao.
Suluhisho hakuna...taarifa imesema kuwa hao 35 wote ni wazee na kuhiji kunahitaji nguvu ya kutosha na ndio maana wazee hupoteza uhai wao kwa kupata infection sababu kinga yao ni ndogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom