mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,419
- 17,758
Tukisema watu Millioni moja wakienda cocobeach kutatokea vifo vya watu 100.Unataka kusema katika watu milioni2 wakifariki 35ni kosa,jaribu kufikiri DSM mfano ina watu milioni3,ukipewa takwimu wanafariki watu hamsini kwa Siku utakataa?au nako watafute njia ya kuzuia vifo? Think twice brother
sent from kanyau
nininkifanyike hao watu miamoja wasife?
utafanyaje mkuu, tuweke imani kando kidogo