mwandende JR
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 1,090
- 1,338
Yaani wasitembelee sehemu takatifu? Au wasiswali?au wasizunguke LKHABA?njia ya kukwepa ibada YA HIJJA ni kutokwenda tu ndy maana hiyo NGUZO ya UISLAM ikawekwa mwisho...kwenda kuhiji MAKKA kwa mwenye UWEZO....si LAZIMA kama huna UWEZO...mgonjwa ...huna PESA,..NKwazee wanaweza kupewa kipaumbele. Mbona hata mahospitalini,benk na sehemu za kawaida wazee,wajawazito na walemavu wanapewa fursa.
yote kwa yote kwa sababu ya mambo ya kiimani hayabishiwi, yote unayosema ni sawa tu sikubishii mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app