Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,675
- 126,903
Hivyo hivyo ndiyo tuwajue piaIle zima moto tu mkuu
UchaguZi unakaribia pia
Ova
Hivyo hivyo ndiyo tuwajue piaIle zima moto tu mkuu
UchaguZi unakaribia pia
Ova
Ukiona Marekani hana interest na nafasi za kimataifa ujuwe hiyo nafasi ni takataka tu.Tulia ni nani sasa huko Duniani! Hukusikia kuna nafasi amepataga huko mbele?
Kenya.Tupe mfano wa nchi gani ya kiafrica iliyotawaliwa na uingereza.
Kweli kabisaUkiona Marekani hana interest na nafasi za kimataifa ujuwe hiyo nafasi ni takataka tu.
IMF na World bank hapo lazima Marekani ndio itowe boss wake.
Nafasi ya Tulia ni umoja wa mabunge tu, nafasi ambayo haina impact yoyote kwa Taifa zaidi ya kwake binafsi tu na familia yake.
Sikuwahi kujua kuwa wapumbavu nao wanagraduateTupe mfano wa nchi gani ya kiafrica iliyotawaliwa na uingereza.
Duh! Wewe ni kiboko aisee, hata hapo Kenya na Malawi tu hujui kama ni British colony?Tupe mfano wa nchi gani ya kiafrica iliyotawaliwa na uingereza.
Siyo kugraduate tu, wapumbavu pia wanazeeka, Kwahiyo wapo hadi wazee wapumbavu.Sikuwahi kujua kuwa wapumbavu nao wanagraduate
Daaah sikumbuki mwaka gani niliangalia bunge tuliacha hakuna cha maana ni CCM wanapongezana na kufurahia maishaNimekuwa nikifuatilia mara kwa mara mikutano ya bunge kila ninapopata nafasi.
Kinachonisikitisha ki kuona viti vina wabunge wachache mnooo.
Sasa najiuliza maswali yafuatayo:
1. Wote wanalipwa posho bila mahudhurio? Sio kufoji huko?
2. Hivi hakuna utaratibu wa kusign kwa kidole au uso kwenye malango ya Bunge kuondoa udanganyifu kama upo?
3. Ndani ya chama au bunge hakuna kanuni inayomtaka mbunge kuhudhuria sio chini ya 80% ya vikao?
4. Kama mbunge ni mtoro bungeni, spika hana utaratibu wa kukiarifu chama anakotoka mbunge kuhusu mwenendo huo wa kutohudhuria vikao?
5. Kwanini wakati wa vikao vya bunge wasisitishe shuhuli nyingine kwa wabunge ili wapate muda wa kutimiza jukumu hili lao kuu lililowapa hata jina wanalotumia?
6. AOB: Kuna wabunge wasiochangia chochote kila mkutano wa bunge kipindi chote. Hawa tuwafanyeje?
Nadhani hujaelewa swali langu, hakuna nchi iliyotawaliwa na mwingereza halafu ikawa na mfumo tofauti na wao.Nchi zote zilizotawaliwa na uingereza mawaziri wao utokana na wabunge. Ndiomaana nikasema tupe mfano mmoja tu.Sijui umeelewaDuh! Wewe ni kiboko aisee, hata hapo Kenya na Malawi tu hujui kama ni British colony?
Unaelewa nini kuhusu common wealth?
Bunge lipi? Kumbuka mwenezi wa chama ni ni BashiteNimekuwa nikifuatilia mara kwa mara mikutano ya bunge kila ninapopata nafasi.
Kinachonisikitisha ki kuona viti vina wabunge wachache mnooo.
Sasa najiuliza maswali yafuatayo:
1. Wote wanalipwa posho bila mahudhurio? Sio kufoji huko?
2. Hivi hakuna utaratibu wa kusign kwa kidole au uso kwenye malango ya Bunge kuondoa udanganyifu kama upo?
3. Ndani ya chama au bunge hakuna kanuni inayomtaka mbunge kuhudhuria sio chini ya 80% ya vikao?
4. Kama mbunge ni mtoro bungeni, spika hana utaratibu wa kukiarifu chama anakotoka mbunge kuhusu mwenendo huo wa kutohudhuria vikao?
5. Kwanini wakati wa vikao vya bunge wasisitishe shuhuli nyingine kwa wabunge ili wapate muda wa kutimiza jukumu hili lao kuu lililowapa hata jina wanalotumia?
6. AOB: Kuna wabunge wasiochangia chochote kila mkutano wa bunge kipindi chote. Hawa tuwafanyeje?
KenyaNadhani hujaelewa swali langu, hakuna nchi iliyotawaliwa na mwingereza halafu ikawa na mfumo tofauti na wao.Nchi zote zilizotawaliwa na uingereza mawaziri wao utokana na wabunge. Ndiomaana nikasema tupe mfano mmoja tu.Sijui umeelewa
Marekani pia imetawaliwa na Uingereza ila haina mfumo kama wao.Nadhani hujaelewa swali langu, hakuna nchi iliyotawaliwa na mwingereza halafu ikawa na mfumo tofauti na wao.Nchi zote zilizotawaliwa na uingereza mawaziri wao utokana na wabunge. Ndiomaana nikasema tupe mfano mmoja tu.Sijui umeelewa
ukitoa taarifa unakula posho vuzuri tu..Nimekuwa nikifuatilia mara kwa mara mikutano ya bunge kila ninapopata nafasi.
Kinachonisikitisha ki kuona viti vina wabunge wachache mnooo.
Sasa najiuliza maswali yafuatayo:
1. Wote wanalipwa posho bila mahudhurio? Sio kufoji huko?
2. Hivi hakuna utaratibu wa kusign kwa kidole au uso kwenye malango ya Bunge kuondoa udanganyifu kama upo?
3. Ndani ya chama au bunge hakuna kanuni inayomtaka mbunge kuhudhuria sio chini ya 80% ya vikao?
4. Kama mbunge ni mtoro bungeni, spika hana utaratibu wa kukiarifu chama anakotoka mbunge kuhusu mwenendo huo wa kutohudhuria vikao?
5. Kwanini wakati wa vikao vya bunge wasisitishe shuhuli nyingine kwa wabunge ili wapate muda wa kutimiza jukumu hili lao kuu lililowapa hata jina wanalotumia?
6. AOB: Kuna wabunge wasiochangia chochote kila mkutano wa bunge kipindi chote. Hawa tuwafanyeje?
Umri wako Tafadhari.Marekani pia imetawaliwa na Uingereza ila haina mfumo kama wao.
Marekani iko upande gani mwa africa?Marekani pia imetawaliwa na Uingereza ila haina mfumo kama wao.