Rais apendekeze raia wanaofaa kuwa mawaziri na wawe wamefikia levels za serior officials kama watatoka serikalini na wale wasio serikalini wawe na impacts zinazoshikika. Kisha majina yepelekwe Bungeni kwa vetting na usaili kabla hawajapewa Uwaziri.
Waziriakipishwa anakuwa Mbunge automatically na akitenguliwa ubunge wake unakoma hapo hapo.
Mafao ya Waziri yasitokane na Ubunhe wake bali kazi yake ya Uwaziri kwa Mujibu wa standing orders za Hazina.
Caution, waziri wa Ulinzi awe na historia ya kuhudumu senior levels za jeshini.
Mbunge abaki ktk nafasi hiyo ili apambanie maendeleo ya jimbo na wilaya yake