Nimekuwa nikifuatilia mara kwa mara mikutano ya bunge kila ninapopata nafasi.
Kinachonisikitisha ki kuona viti vina wabunge wachache mnooo.
Sasa najiuliza maswali yafuatayo:
1. Wote wanalipwa posho bila mahudhurio? Sio kufoji huko?
2. Hivi hakuna utaratibu wa kusign kwa kidole au uso kwenye malango ya Bunge kuondoa udanganyifu kama upo?
3. Ndani ya chama au bunge hakuna kanuni inayomtaka mbunge kuhudhuria sio chini ya 80% ya vikao?
4. Kama mbunge ni mtoro bungeni, spika hana utaratibu wa kukiarifu chama anakotoka mbunge kuhusu mwenendo huo wa kutohudhuria vikao?
5. Kwanini wakati wa vikao vya bunge wasisitishe shuhuli nyingine kwa wabunge ili wapate muda wa kutimiza jukumu hili lao kuu lililowapa hata jina wanalotumia?
6. AOB: Kuna wabunge wasiochangia chochote kila mkutano wa bunge kipindi chote. Hawa tuwafanyeje?
Kinachonisikitisha ki kuona viti vina wabunge wachache mnooo.
Sasa najiuliza maswali yafuatayo:
1. Wote wanalipwa posho bila mahudhurio? Sio kufoji huko?
2. Hivi hakuna utaratibu wa kusign kwa kidole au uso kwenye malango ya Bunge kuondoa udanganyifu kama upo?
3. Ndani ya chama au bunge hakuna kanuni inayomtaka mbunge kuhudhuria sio chini ya 80% ya vikao?
4. Kama mbunge ni mtoro bungeni, spika hana utaratibu wa kukiarifu chama anakotoka mbunge kuhusu mwenendo huo wa kutohudhuria vikao?
5. Kwanini wakati wa vikao vya bunge wasisitishe shuhuli nyingine kwa wabunge ili wapate muda wa kutimiza jukumu hili lao kuu lililowapa hata jina wanalotumia?
6. AOB: Kuna wabunge wasiochangia chochote kila mkutano wa bunge kipindi chote. Hawa tuwafanyeje?