SteveD,
To make decision is a must for a leader, i can't deny this! However when to make decision is that CRITICAL.
Kiongozi mzuri hawezi kufanya decision wakati ambapo mioyo ya wananchi wako ndio inafanya kazi na sio vichwa/brain zao!!!
Wakati ule kwa kiasi kikubwa tuliokuwa tukiongozwa na mioyo... sasa hivi waweza weka decision ya BOT/EPA na RICHMOND kwa haki kabisa... maana brain zinafanya kazi na sio mioyo...
Kiongozi mwenye subira ni wa muhimu sana kwani akiwa anataka kuendana exactly na mioyo ya watu... tunaweza kushitukia taifa lilishagawanyika muda mfupi, by the time ana-realize alikosea taifa halipo la kuongoza.
That is what known as maturity na Zitto analijua hili na sio tu analijua bali ni weakness yake kubwa, kuzungumzia mamba mazito wakati usio... na Mh. Sitta anatakiwa kusoma plus za JK kwa karibu sana kama anataka kuwa kiongozi mzuri mbeleni, yeye pia ana-udhaifu kwenye hili.
Wenzake JK na Chief Justice... wako fresh sana kwenye utulivu na tolerance... aidha wangekuwa na kama yeye... Du! Taifa pia lingewaka motto