TODO
JF-Expert Member
- Jul 14, 2011
- 219
- 63
I salute u Wanajf! leo nimeshangaa sana, nilienda barabara ya 15 jiji la Tanga kupata huduma ya unga wa mahindi.Nilivofika nikamkuta mama mmoja wa kitanga nikamuuliza debe moja la mahindi ni bei gani akaniambia na nikamwambia nataka kusaga kabisa dona akanipa bei nikampa hela akaanza kusaga na baada ya muda unga ukawa tayar
Wakati nataka kutoka nikamuuliza haya mahindi ya sasa yanatoka wapi alichonijibu nilishangaaa san.Mama huyu anasema hapa Tanga mahindi tunayapata kutoka Kenya, zambia, Malawi na kwingine nimekusahau ila sio ndani ya TZ.nilichoshangaa ni kauli ya Mh Rais Kikwete akiwa Tabora juzi tu kwamba tuna chakula cha kutoshana hivyo hakuna wa kufa njaa.
Kama ndani ya tz mahindi hayatosh ma kulazimikakuagiza toka nje tutafika kweli au baadhi yetu tutakufa kwa njaa.
Nawasilisha, mwenye takwimu sahihi juu ya zao hili aje atujuze, tafadhali
Wakati nataka kutoka nikamuuliza haya mahindi ya sasa yanatoka wapi alichonijibu nilishangaaa san.Mama huyu anasema hapa Tanga mahindi tunayapata kutoka Kenya, zambia, Malawi na kwingine nimekusahau ila sio ndani ya TZ.nilichoshangaa ni kauli ya Mh Rais Kikwete akiwa Tabora juzi tu kwamba tuna chakula cha kutoshana hivyo hakuna wa kufa njaa.
Kama ndani ya tz mahindi hayatosh ma kulazimikakuagiza toka nje tutafika kweli au baadhi yetu tutakufa kwa njaa.
Nawasilisha, mwenye takwimu sahihi juu ya zao hili aje atujuze, tafadhali