Mahesabu ya Zitto na wapambe wake yamekwenda kombo -- namsikitikia sana!

Mko wengi sana.... Zitto is talented, young, gifted but not trustworthy....

Ni mole and has to go....

Huwezi kuwa mnafiki na bado ukataka watu wakuheshimu
 
Chadema follows the laws of the jungle it is the struggle for existence, survival for the fittest!.
he who laughs last, laughs most!.
he who cries last, cry most!.
Pasco
 
CCM Mbona mnalia sana Zitto abakie Chadema, kwani nyie hamumuhitaji?
mkuu usihangaike na magamba,hawa ni wanafiki na wasaliti kama Zitto.Waache,haya ndio madhara ya akili ndogo kutawala akili kubwa(mch,.Msigwa).Wanatamani zzk arudi,kama zzk walianza kumtilia mashaka na mienendo yake toka 2008 KAMA SIO 2009 ZITTO HANA SIRI YOYOTE NA HAWEZI KUFANYA LOLOTE YAAN+ KUJIBU MAPIGO HATA AKIFUKUZWA LEO HII.
 
Aminia kamanda, hata Mbowe ujue alikataa shangingi la kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, tena kwa mbwembwe na dereva wa gari hilo kibarua kilisimama kwa muda....! hebu fanya kautafiti kadoogo kama hivi kweli mhishimiwa huyu alilikataa lileshangingi kweli ama amelirudia!, vipi kuhusu dereva wake analipwa na nani? ni hayo tu mkuu!!
 
Nikweli kabisa huyo ZZK amesambaza watu mikoan kushawishi watu watoe matamko mi mwenyewe ni mewaona Adam chaguran na Habibu mchange maeneo ya igoma mwanza hotel ya Hill front .wamefanikiwa kujujua watu ambao hawamo kwenye chama wAmetoa matamshi ya ungo chadema ni mpango wa mungu kukomboa nchi hii wanafiki wote wanajichambua inakuja kushika dola2015 Itakuwa haina wanafik wote wameshaumbuka
 

Fanyeni kwanza kazi ya kumaliza dhulma ndani ya CCM ili angalau wanyonge wapate japo panadol waendapo katika zahanati na hospitali za vijiji na na majiji ya nchi hii iliyolaaniwa kwa CCM kuendelea kutawala.
 
 

mkuu kali kulko sijaiona apo edt heading hangover ikiisha naona mapambano kati ya wapenda demokrasia vs wahafidhina chadema yamepamba moto..hivi lema amepewa adhabu gan kwa kumpga mwgamba tofali mbele ya mbowe na kileo kapewa adhabu gani kwa kumchafua zto kuptia blog yake.. .nazan hayo maswali ndio kali kulko au cz lema na kileo wanatoka jran ya ule mlma mrefu kule kwa mwkt wa maisha wa cdm mr.mbowe
 
Huyu mtu njaa tu,unacheza mzee Tyson sura kama nyani! Pole sana msaliti,na bado,mwenzio kapigwa chini uticha.
 
 
nakuja

Haya tunayatarajia kitambo na ccm hawa na miteja wao misukule nakwambia hawana lao.

ZAIDI MI BINAFSI NAWAPA mafisadi ccm POLE NYINGI SANA.

POLENI SANA mafisadi kwani njia zenu mbinu zenu ni fupi sana kwa Watanzania wa leo.
 
Last edited by a moderator:
Fanyeni kwanza kazi ya kumaliza dhulma ndani ya CCM ili angalau wanyonge wapate japo panadol waendapo katika zahanati na hospitali za vijiji na na majiji ya nchi hii iliyolaaniwa kwa CCM kuendelea kutawala.

Dhulma ya Ccm haiwezi kufanyiwa mbadala bali ni kupambana ndani ya chama ima kama unataka kuiondoa Ccm madarakani uwe msafi.
 
Kazi ipo eti unajivunia elimu uliyonayo sasa si ujivunie na unafiki wako unaokuzalilisha kila kona kwa sasa?

Ww kweli mwehu maana unaandika ushuzi den unajijibu ww mwenyewe kweli akili yako kama mpira wa kiume
 

This is immaterial here. Msaliti has to go! Mgalagale, mjibiringite, mcheze Nsusumia uchi, jamaa yenu haponi. Mark my words.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…