Mko wengi sana.... Zitto is talented, young, gifted but not trustworthy....Zitto ni jiwe lililowashinda washi. Kaskazini yote makamanda mmeungana kumshambulia kwa chuki zenu za kikanda, kidini na kikabila. Ila huwa siku zote haki ya mtu haipotei hata ikiwa mission atashindwa kuikamilisha wapo kina Zito wengine watazaliwa na watapigania kuisimamisha haki na kuondoa dhulma chadema mnayofanya. Ni ishu ya muda tu.
CCM Mbona mnalia sana Zitto abakie Chadema, kwani nyie hamumuhitaji?
mkuu usihangaike na magamba,hawa ni wanafiki na wasaliti kama Zitto.Waache,haya ndio madhara ya akili ndogo kutawala akili kubwa(mch,.Msigwa).Wanatamani zzk arudi,kama zzk walianza kumtilia mashaka na mienendo yake toka 2008 KAMA SIO 2009 ZITTO HANA SIRI YOYOTE NA HAWEZI KUFANYA LOLOTE YAAN+ KUJIBU MAPIGO HATA AKIFUKUZWA LEO HII.CCM Mbona mnalia sana Zitto abakie Chadema, kwani nyie hamumuhitaji?
Zitto ni jiwe lililowashinda washi. Kaskazini yote makamanda mmeungana kumshambulia kwa chuki zenu za kikanda, kidini na kikabila. Ila huwa siku zote haki ya mtu haipotei hata ikiwa mission atashindwa kuikamilisha wapo kina Zito wengine watazaliwa na watapigania kuisimamisha haki na kuondoa dhulma chadema mnayofanya. Ni ishu ya muda tu.
Unafiki wa zitto kabwe kwenye siasa ya Tanzania mbaya sana baada ya kusimamishwa vyeo chadema kwa sasa anatapatapa kutunga matamko ya kuonyesha anaungwa mkono na wafuasi walio wengi mpango huu unaratibiwa na Grayson Nyakarungu,Habib Mchange,Mtela Mwampamba na Juliana Shonza baada ya vijana hawa walishajiunga CCM wengine wakiwa hawaeleweki mpaka leo pindi kamati kuu ya chadema ilipotoa tamko vijana hawa waliandaa Press conference ya Zitto kwenda kujibu tuhuma za kamati kuu mbele ya vyombo vya habari huku wakishangaza watu mtu kama Mtela Mwampamba mfuasi wa UVCCM anawezaje kuchagua watu wa kuingia kwenye press conference ya Zitto Kabwe??? Pamoja na hilo ikumbukwe baada ya mpango wa group la MP7 ulivyogundulika chadema na kupelekea Shonza na Mtela Mwampamba kuvuliwa uanachama ni Zitto huyu huyu alikana kuwafaham kisha akasema maneno haya "vijana simamieni misingi ya chama na sio watu katika chama" imekuwaje yule aliyemkana hamjui leo anachagua watu wa kuingia kwenye press conference yake huku akiwa mwanachama hai wa CCM?? Grayson Nyakarungu huyu kwa sasa anazunguka nchini kurubuni vijana watoe matamko hasa wa vyuo vikuu kwa mgongo wa CHASO kupinga maamuzi ya kamati kuu huku wakishirikiana na Adam Chagulani pamoja na Habib mchange wanaenda kuwalipa vijana
R.I.P MM(Zitto Kabwe) Dhambi ya usaliti ikutafune hadi ikufilisi wewe na familia yako(baba yako,mama yako,mchumba wako,mtoto wako,kaka,dada na wadogo zako pamoja na ukoo wako na wale wote wanao kusuport) katika kazi yako ya kumsaliti mtanzania aliye kuamini na kukuthamini ili uje umkombe kutoka mikoni mwa mafisadi na walaghai wa nchi.
Kwani umeshindwa kuwafikiria japo hata kidogo,kwa wale waliopoteza maisha,kazi,na hata na wale ambao wanaishi maisha magumu kaajili ya kuishabikia chadema kupitia wewe? Eti kwanini umeamua kumuangusha mtanzania kwa vipande vya pesa kuliko kuwathamini watanzania waliokuamini?
unafiki wa zitto kabwe kwenye siasa ya tanzania mbaya sana baada ya kusimamishwa vyeo chadema kwa sasa anatapatapa kutunga matamko ya kuonyesha anaungwa mkono na wafuasi walio wengi mpango huu unaratibiwa na grayson nyakarungu,habib mchange,mtela mwampamba na juliana shonza baada ya vijana hawa walishajiunga ccm wengine wakiwa hawaeleweki mpaka leo pindi kamati kuu ya chadema ilipotoa tamko vijana hawa waliandaa press conference ya zitto kwenda kujibu tuhuma za kamati kuu mbele ya vyombo vya habari huku wakishangaza watu mtu kama mtela mwampamba mfuasi wa uvccm anawezaje kuchagua watu wa kuingia kwenye press conference ya zitto kabwe??? Pamoja na hilo ikumbukwe baada ya mpango wa group la mp7 ulivyogundulika chadema na kupelekea shonza na mtela mwampamba kuvuliwa uanachama ni zitto huyu huyu alikana kuwafaham kisha akasema maneno haya "vijana simamieni misingi ya chama na sio watu katika chama" imekuwaje yule aliyemkana hamjui leo anachagua watu wa kuingia kwenye press conference yake huku akiwa mwanachama hai wa ccm?? Grayson nyakarungu huyu kwa sasa anazunguka nchini kurubuni vijana watoe matamko hasa wa vyuo vikuu kwa mgongo wa chaso kupinga maamuzi ya kamati kuu huku wakishirikiana na adam chagulani pamoja na habib mchange wanaenda kuwalipa vijana na kuwalisha tamko walitoe kwenye vyombo vya habari kumnusuru zitto huu ni unafiki mkubwa na hauta mnusuru zitto hakuna aliye maarufu kuliko chama fungu walilotoa ccm la kumnusuru zitto litawaumbua tena inastajabisha sana ccm kuumia sana kwa kusimamishwa zitto wakati kama chama pinzania ingekuwa ni furaha kwao kwa kuwa vurugu hizi ndio kuimarika kwa ccm??? Nini kinachowauma hapa ccm???
Unafiki wa zitto kabwe kwenye siasa ya Tanzania mbaya sana baada ya kusimamishwa vyeo chadema kwa sasa anatapatapa kutunga matamko ya kuonyesha anaungwa mkono na wafuasi walio wengi mpango huu unaratibiwa na Grayson Nyakarungu,Habib Mchange,Mtela Mwampamba na Juliana Shonza baada ya vijana hawa walishajiunga CCM wengine wakiwa hawaeleweki mpaka leo pindi kamati kuu ya chadema ilipotoa tamko vijana hawa waliandaa Press conference ya Zitto kwenda kujibu tuhuma za kamati kuu mbele ya vyombo vya habari huku wakishangaza watu mtu kama Mtela Mwampamba mfuasi wa UVCCM anawezaje kuchagua watu wa kuingia kwenye press conference ya Zitto Kabwe??? Pamoja na hilo ikumbukwe baada ya mpango wa group la MP7 ulivyogundulika chadema na kupelekea Shonza na Mtela Mwampamba kuvuliwa uanachama ni Zitto huyu huyu alikana kuwafaham kisha akasema maneno haya "vijana simamieni misingi ya chama na sio watu katika chama" imekuwaje yule aliyemkana hamjui leo anachagua watu wa kuingia kwenye press conference yake huku akiwa mwanachama hai wa CCM?? Grayson Nyakarungu huyu kwa sasa anazunguka nchini kurubuni vijana watoe matamko hasa wa vyuo vikuu kwa mgongo wa CHASO kupinga maamuzi ya kamati kuu huku wakishirikiana na Adam Chagulani pamoja na Habib mchange wanaenda kuwalipa vijana
R.I.P MM(Zitto Kabwe) Dhambi ya usaliti ikutafune hadi ikufilisi wewe na familia yako(baba yako,mama yako,mchumba wako,mtoto wako,kaka,dada na wadogo zako pamoja na ukoo wako na wale wote wanao kusuport) katika kazi yako ya kumsaliti mtanzania aliye kuamini na kukuthamini ili uje umkombe kutoka mikoni mwa mafisadi na walaghai wa nchi.
Kwani umeshindwa kuwafikiria japo hata kidogo,kwa wale waliopoteza maisha,kazi,na hata na wale ambao wanaishi maisha magumu kaajili ya kuishabikia chadema kupitia wewe? Eti kwanini umeamua kumuangusha mtanzania kwa vipande vya pesa kuliko kuwathamini watanzania waliokuamini?
ALAANIWE ZITO AU UKOO WA WANAOKULA RUZUKU INAYOTOKANA NA KODI ZETU
Fanyeni kwanza kazi ya kumaliza dhulma ndani ya CCM ili angalau wanyonge wapate japo panadol waendapo katika zahanati na hospitali za vijiji na na majiji ya nchi hii iliyolaaniwa kwa CCM kuendelea kutawala.
Kazi ipo eti unajivunia elimu uliyonayo sasa si ujivunie na unafiki wako unaokuzalilisha kila kona kwa sasa?
ALAANIWE ZITO AU UKOO WA WANAOKULA RUZUKU INAYOTOKANA NA KODI ZETU
Na hata tusipowatakia laana...........nakwambia haki ya Watanganyika wenye haki na Nchi itasimama Daima.
Aminia kamanda, hata Mbowe ujue alikataa shangingi la kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, tena kwa mbwembwe na dereva wa gari hilo kibarua kilisimama kwa muda....! hebu fanya kautafiti kadoogo kama hivi kweli mhishimiwa huyu alilikataa lileshangingi kweli ama amelirudia!, vipi kuhusu dereva wake analipwa na nani? ni hayo tu mkuu!!