Mahekalu na magari ya Marais wastaafu yarudishwe serikalini

halafu bado tunawapa mahekalu. Yaani hiyo ni sheria sasa, eti ni haki yao. Watumishi mishahara yao imesota bila kupandishwa. Lakini hela ya magari na mehekalu zipo nyingi tu. Badala ya mahekalu, hawa viongozi wote wangeswekwa Keko jail au Ukonga
👍🤝👏
 
Hawa wabunge wetu, hawana akili kabisa wanapitisha sheria zilizojaa uozi. Most of these law makers are professors,
Halafu kazi zenyewe wanaomba hawalazimishwi, kwahiyo wanaomba kazi ili kwenda kufaidi kodi za watu wanyonge
 
Wastaafu huwa hawapitishi sheria.
Sheria zinapitishwa na wabunge ambao ndio wananchi.
DAI KATIBA MPYA YENYE USAWA
Si katiba ni sheria iliyopitiswa na a bunge wetu wenye akili ya mbu. Ona sasa badala ya kujadili budget yanatumia muda wote kumsifia Rais. Wao wana simu za serikali, so hawatalipa kodi ya simu. They are crooks!wamachinga wanalipa kodi, wabunge hawalipi kodi yeyote.
 
Nitajie mtoto wa kiongozi wa nchi hii asiye na ajira serikalini au nafasi ya uongozi hapa nchini.

Ngoja tuendelee kumenyeka kulipa Kodi ili wakubwa wapate mishahara yao.
 
Nitajie mtoto wa kiongozi wa nchi hii asiye na ajira serikalini au nafasi ya uongozi hapa nchini.

Ngoja tuendelee kumenyeka kulipa Kodi ili wakubwa wapate mishahara yao.
Hakuna nchi duniani mtoto wa Kiongozi awe anashinda mtaani na njaa. Haipo na haitakuwepo.
 
Matabaka yapo dunia nzima ....gap matajiri masikini dunia nzima tupambane kuziba gap lisiongezeke kila mtu na familia yake kulalama nyuma key board haisaidiiii
 
Nchi hii tunaenda wapi?

Mambo haya ya kupeana mahekalu na magari vipi? Tizama wananchi wengine wanavyoishi, nyumba hawana au baiskeli ndiyo ndoto tu. Hii sharia inaweza kufutwa kabisa ni mbovu. Hawa walikuwa na mawaziri halafu urais hivi kweli hawana numba zingine? Hii sharia inasemaje, ni nyumba kama tenants mpaka mauti au ni nyumba yao kabisa wakifa inaenda kwa watoto wao?

Hawa wabunge wetu wana akili ya mbu na ndiyo maana bunge lilijengwa karibu na Milembe Hospital. Futeni hii sharia jamani. Hizo nyumba na magari na pension zao nene si zingejenge basic housing kwa watu labda million mia mbili au kwa wananchi wote wa Zanzibar.

Kama kweli walikuwa marais wa kututumikia warudishe hizo nyumba. Walikula vya kutosha wakiwa viongozi.

Mambo haya ya kupeana mahekalu na magari vipi? Tizama wananchi wengine wanavyoishi, nyumba hawana au baiskeli ndiyo ndoto tu. Hii sharia inaweza kufutwa kabisa ni mbovu. Hawa walikuwa na mawaziri halafu urais hivi kweli hawana numba zingine? Hii sharia inasemaje, ni nyumba kama tenants mpaka mauti au ni nyumba yao kabisa wakifa inaenda kwa watoto wao?

Hawa wabunge wetu wana akili ya mbu na ndiyo maana bunge lilijengwa karibu na Milembe Hospital. Futeni hii sharia jamani. Hizo nyumba na magari na pension zao nene si zingejenge basic housing kwa watu labda million mia mbili au kwa wananchi wote wa Zanzibar.

Kama kweli walikuwa marais wa kututumikia warudishe hizo nyumba. Walikula vya kutosha wakiwa viongozi.

View attachment 1800003View attachment 1800004
View attachment 1799998TAFUTA HELA MZEE ; MWENYE NACHO HUONGEZEWA UTAKUJA KUWA MNYWA KAHAWA NA MPIGA SOGA VIJIWENI HUKU UNATIMULIWA VUMBI.ASILI YA DUNIA NI KUTOKUWA NA USAWA
 
Back
Top Bottom