Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,857
- 33,256
👍🤝👏halafu bado tunawapa mahekalu. Yaani hiyo ni sheria sasa, eti ni haki yao. Watumishi mishahara yao imesota bila kupandishwa. Lakini hela ya magari na mehekalu zipo nyingi tu. Badala ya mahekalu, hawa viongozi wote wangeswekwa Keko jail au Ukonga