Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,839
Uko negative mno kuhusiana na mahari dah!, kwahyo mwanake yeye hafui nguo zake? sasa unapofua nguo zako ukaongeza na mumeo tayari unahitaji kulipiwa mahari kubwa, kubeba mimba ambayo inatuzwa na aliyekupa, umeolewa mtoto mnalea wote hapo unahitaj mahari kubwa? je ambao hawajapata wa kuwazalisha na wanahamu ya kuzaa unafikiri wanawaza hayo? chakula umepika na wewe umekula unadai umempikia so hapo unamlipisha mahari kubwa pia? sasa hizo pesa unapewa wewe au wanakula familia yako? ili hali wewe ndo unaenda kufanya hayo unayodai ndo yanasabisha umlipishe mahar kubwa huyo mpenzi wako. Vipi wewe kuhusiana na huduma utazo zipata kwa mume, kama kutunzwa kwa hali yoyote na kupewa utamu wa dushe unalipia?Huduma ziko nyng like kufua,, kupika,,, usafi
achia yote kubwa ni mimba na kuzaa na kulea wakati huo ww uko baa na mchepuko unafikiri hiyo m6 inafit?????????