Mahari ya Single Mom

Mahari ya Single Mom

Jamani waacheni single mothers wapumzike kwani nao ni binadamu kama wengine. Tena kuna muda mwingine katika maisha ni afadhali single mother aliyeamua kuzaa kwa mimba ya utamu wa kuskilizia kuliko haya magume gume yaliyokwisha gongwa zaidi ya mara 100, then unaona umechukua mtoto mbichi kumbe ameshatoa mimba kama 5.

"Tushukuru lami imegunduliwa rangi yake nyeusi"

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
 
Ya nini kuulza ulza hujapenda? moyo wa kupenda hutoa chochote, kipenda la muhimu msikomoane, kipenda roho dawa
 
Sio kuwaogopa hivi unawezaje kumtambulisha single mother katika familia inayojitambua na kueleweka na yenye maadili yote? Single mother acha wavune walichopanda mimi hata kuwa nao katika mahusiano serious kabsa. Hata uwe mkali vipi ukishaniambia kuwa ni single mother mzuka unakata
Sijui kwanini baadhi ya watu wanawaogopa sana Wanawake ambao tayari wana Mtoto/Watoto!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Agiza kichwaji bili kwangu umemaliza kila kitu.
Hata mahari ya mwanamke bikra haiwezi kuwa sawa na asiye bikra.
Mahari inategemea kama binti ni bikra ni kubwa kuliko ambaye siyo bikra, then mahari ya single mum ni ndogo zaidi ya ambaye hana mtoto hata kama ashatoa mimba 100. Hii inatokana na mzigo unaojitwisha na gunia la misukari unalolikubali kulibeba. Ni ukweli usiopingika kuwa wanawake ni wajanja sana, kwa amateur ataona singo maza ana mapenzi ya dhati! Thubutu yeye ana experiences za kuishi na wanaume na ukijitokeza tu, lazima uchanganyikiwe.

Bora kama unataka kuoa singo maza afadhali kidogo kwa mbali mtoto wake awe ni wa kike. Akiwa wa kiume, jiandae siku moja atakutandika. Tumeyaona mengi bandugu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata milion 5 unatoa kutokana na ulivyompenda.
Mi kuna single mom, alinipenda katika uhai wangu hakuna aliyenipenda sana Kama yeye japo wapo waliokuja badala yake.
Na imani nikifa , tutaonana Tena.
Rest in peace mainah😥😥😥.
Majina namjua.
Rip Mainah
 
Mahari inategemea kama binti ni bikra ni kubwa kuliko ambaye siyo bikra, then mahari ya single mum ni ndogo zaidi ya ambaye hana mtoto hata kama ashatoa mimba 100. Hii inatokana na mzigo unaojitwisha na gunia la misukari unalolikubali kulibeba. Ni ukweli usiopingika kuwa wanawake ni wajanja sana, kwa amateur ataona singo maza ana mapenzi ya dhati! Thubutu yeye ana experiences za kuishi na wanaume na ukijitokeza tu, lazima uchanganyikiwe.

Bora kama unataka kuoa singo maza afadhali kidogo kwa mbali mtoto wake awe ni wa kike. Akiwa wa kiume, jiandae siku moja atakutandika. Tumeyaona mengi bandugu
atakutandika kivipi?
 
Jamani waacheni single mothers wapumzike kwani nao ni binadamu kama wengine. Tena kuna muda mwingine katika maisha ni afadhali single mother aliyeamua kuzaa kwa mimba ya utamu wa kuskilizia kuliko haya magume gume yaliyokwisha gongwa zaidi ya mara 100, then unaona umechukua mtoto mbichi kumbe ameshatoa mimba kama 5.

"Tushukuru lami imegunduliwa rangi yake nyeusi"

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
hata single mother inawezekana akawa alitoa mimba pia
 
hata single mother inawezekana akawa alitoa mimba pia
Hata kama alitoa mimba, kitendo cha kuzaa peke yake kinaashiria uzazi upo.

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
 
Ukikua utajua tu kwamba binadamu huwa ana bei au vinginevyo.Kuongozwa na akili za kitoto ndiyo matokeo yake kichwa kinajaa maswali takataka!😂😂😂😂
 
Hivi kijana anayeoa unaanzaje kuoa single mother wakati wabichi wamejaa tele unaanzaje kumtambulisha kwenu kwa wazazi, mashangazi wajomba?

Binafsi kuoa mwanamke asiye na bikra nitajiuliza mara mbili mbili sembuse mfupa uliomshinda fisi mimi ndo nitauweza.
Mwanamke aliyezalia nyumbani hana sifa za kuwa mke.


Sent using Jamii Forums mobile app
Bikira inakusaidia nini katika ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom