Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
- Thread starter
-
- #61
Si afadhali hawa wanaojenga hapa kuliko hawa maharamia wa madini ambao watatuachia mashimo na sumu ardhini baada ya kuondoka na kila kitu,Gwasika pia nahisi una personal vendetta baada ya kukwaruzana na mmoja kwenye biashara this is beyond hate.
I think between Stuxnet and Mmakonde it is Mmakonde who is stupid because he can not think outside the box. There are various ways of wealth redistribution based on different schools of thought. Even Mwalimu Nyerere when he was chair of the South- South Commission, on repayment of loans to developed countries he said "countries of the south should refrain from paying loans to developed countries because, we are taking what they took from us during colonialism"What a stupidity argument!Kwa nini wasiwekeze Mogadishu?Who need piracy money,kuendeleza nchi?Japan,South Korea hawajaendelea na hela za wizi,ni UBONGO ndio unaendesha nchi.Al Shabaab wapo bongo,ngoja siku waje wakulipue !
Hizi tetesi zipo kwenye circle za watu wa Intelligence...hasa zinatokana na kukamatwa kwa maharamia wa kisomali ...mwanzoni mwa mwaka huu kwenye pwani ya Mtwara baada ya mapigano na JWTZ Navy..na wale waliokamatwa kimya kimya Mafia baada ya kuwa wameishiwa maji na chakula deep sea.....kwenye mahojiano na watu wa TISS na jwtz.....jina la Mohamed N....r ...,lilitajwa .....kama moja ya GOD FATHERS wao hapa....huyu jamaa yupo connected kwenye jeshi ..na huko Tiss...,baada tu ya hizi tetesi kumfikia ....aliamua kubandua bango la TANSOMA kwenye hotel yake ya Gerezani....
Uharamia ni biashara kubwa sana kwa sasa..hutaamini hadi uingereza kuna ofisi ya ku deliver Ransom money kwa maharamia na hata Mi2 na scotland yard wanajuwa......hapo Kenya imekuwa ni moja ya source kubwa sana..ya FDI......mimi nadhani kwa nchi maskini kama zetu tubakie na msimamo kuwa Kiingiacho sio haramu bali kitokacho....kama ni majumba waacheni wajenge...mona uingereza inahifadhi pesa za rushwa toka Afrika....
Pia watu wanaotuhumiwa kuwa nao tuwe makini sana nao hasa pale tunapowashirikisha kwenye kufanya kazi na serikali...itaonekana kama vile serikali inaunga mkono uharamia...at any given time idara zetu ziwaweke kwenye surveillance na wakipatikana na ushahidi wowote basi wapelekwe mahakamani....
Wakuu tupeane habari mabayo imekuwa minong'ono ya chini chini kwa muda mrefu hapa Dar.
Pamekuwapo na "uwekezaji" usio wa kawaida kutoka ndugu zetu wa Kisomali katika jiji la Dar es salaam kwa muda sasa.
Sehemu za Mbezi kuna nyumba, zenye nakshi ambazo kimsingi ni za kiarabu, ambazo zimekuwa zinaota kama uyoga.
Miradi kama Ununio development,TANSOMA na hata jengo moja refu hapo Mbezi ni za raia wa Kisomali.
Tusisahau hata Paradise chain.
Ni vyema kukaribisha uwekezaji , lakini je kuna uhusiano wowote na pesa haramu za maharamia wateka meli?
Nauliza tu.
Hivi unajua Uswis imefaidika sana na pesa chafu? Au wewe pesa chafu ni za maharamia wa kuteka meli tu?Hapana mkuu kama ni fedha chafu wanayotumia kuwekeza hapa kwetu lazima tuipigie kelele, tusishiriki dhambi yao maana Mungu atailaani nchi yetu kama tutaikumbatia hii dhambi. Isitoshe mhalifu ni mhalifu tu kesho atatugeukia watanzania na kuanza kutupora pale meli zitakapoimarisha ulinzi na wakashindwa kuendelea kupora. Huwezi kujua labda pia wanashiriki kwenye biashara ya madawa ya kulevya. Nyumba zinamushroom hadi najiuliza hawa watu wanaokota hizi hela? Mbona mie siziokoti? WaTanzania tuwe macho na hawa watu sio wazuri hata kidogo. Mafia ni mafia hata kama atakupa hela za kuishi!!!
Hal hala bwana, wakizifuata usijekuwa wa kwanza kukimbia nchi kama mkimbizi.Fedha chafu gani?huko majuu kwenyewe pesa za madictotar zimejaa kwenye mabenki na huwa wanazing'ang'ania na kuzitumia wao pesa na mali za libya,iran,abacha etc wamechimbia wazungu.
Hamna pesa chafu bwana
Wacheni kuja na hoja za kijinga... mlianza na waarab mkaja wahindi sasa mmewavamia wasomali wasio na nchi yenye amani? fanyeni kazi uvivu muache uvivu... pesa zenu kwani hizo? zenu mmeshindwa kuwapokonya mafisadi mwazionea gere za wenzenu wacheni kumwaga mapovu...
Kenya kuna nyumba za hatari sana, na sehemu wanazokaaa Wasomali nairobi inaitwa Isilii!, Kuna biashara haramu huko ni balaaa mpaka roho ya mtu unaweza kupata, Wanavifaaa vya umeme haieleweki vinatoka wapi afu ni cheap sana, ila ukinunua na ukaweza kutoka navyo kwenye eneo lao bila matatizo hapo utakuwa umewin!
Wakuu tupeane habari mabayo imekuwa minong'ono ya chini chini kwa muda mrefu hapa Dar.
Pamekuwapo na "uwekezaji" usio wa kawaida kutoka ndugu zetu wa Kisomali katika jiji la Dar es salaam kwa muda sasa.
Sehemu za Mbezi kuna nyumba, zenye nakshi ambazo kimsingi ni za kiarabu, ambazo zimekuwa zinaota kama uyoga.
Miradi kama Ununio development,TANSOMA na hata jengo moja refu hapo Mbezi ni za raia wa Kisomali.
Tusisahau hata Paradise chain.
Ni vyema kukaribisha uwekezaji , lakini je kuna uhusiano wowote na pesa haramu za maharamia wateka meli?
Nauliza tu.
Ukiangalia hili neno la 'hela chafu' ni la kinafiki tu Mji wa las Vegas ulijengwa na hela za mafia serikali ya U S wakifahamu,Uswisi imejengwa na hela zilizoibwa Ujerumani wakati wa vita na kila jambazi na dictator anaweka hela zake huko bila maswali yeyote.CIA kuna wakati walikuwa wauzaji wazuri wa mihadharati ili kupata hela za kujiendesha ambazo hawataulizwa na serikali zimetoka wapi.Mwaka jana ilikamatwa ndege ya kijeshi ya Marekani ikwa na heroin nusu tani kutoka Afghanistan ilipotua Italia soo likazimwa.
Ukiangalia hili neno la 'hela chafu' ni la kinafiki tu Mji wa las Vegas ulijengwa na hela za mafia serikali ya U S wakifahamu,Uswisi imejengwa na hela zilizoibwa Ujerumani wakati wa vita na kila jambazi na dictator anaweka hela zake huko bila maswali yeyote.CIA kuna wakati walikuwa wauzaji wazuri wa mihadharati ili kupata hela za kujiendesha ambazo hawataulizwa na serikali zimetoka wapi.Mwaka jana ilikamatwa ndege ya kijeshi ya Marekani ikwa na heroin nusu tani kutoka Afghanistan ilipotua Italia soo likazimwa.
Tangu mwanzo nilisema kuna kitu binafsi kinachokusukuma kwa hili angalia kwenye capitals,halafu pia dhana ya kuwa kila mwenye mawazo totauti ana matatizo ni potofu,tukubaliane kutofautiana.Mkuu uporoto01, nashangazwa sana na akili ya namna hii.
Hivi unaweza kutetea vipi analogy hii kwa mazingira ya kiTanzania.
Las Vegas na miji mingine uliyoitaja ushoga, ukahaba na wizi na mauaji ni fair game.
Je HAWA WAGENI WAKIKUBEBEA MMOJA WA FAMILIA yako mradi wanakupa pesa kweli utaona ni sawa tu?
Nafikiri Mkuu una matatizo.
Mimi nikifikiri naongea na watanzania wenye uchungu na nchi yao kumbe kuna wale wenye "upeo mpana zaidi" wa kuweza kuside na wageni katika mabo yahusuyo nchi yetu.Tangu mwanzo nilisema kuna kitu binafsi kinachokusukuma kwa hili angalia kwenye capitals,halafu pia dhana ya kuwa kila mwenye mawazo totauti ana matatizo ni potofu,tukubaliane kutofautiana.