Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Na ndio sababu iliyomtoa Engineer Peter Ulanga. Mkakati wake wa fiber to the home ambao pamoja na kwenda kwa mwendo wa kinyonga kutokana na Serikali kama Shareholder kukataa kuwekeza bado ni tishio kwa washindani. Ni dhahiri Peter Ulanga alikusudia kuwamaliza wote hao kina Tigo na wenzie.Huko TTCL Ni pagumu sana maana TTCL wakibadilika wakafanya vizuri hizi kampuni nyingine zinafunga virago asubuhi...vita anayoenda kukutana nayo ni kubwa sana na kubaya zaidi vita yenyewe adui yupo ndani na nje ya taasisi.
Kwa vyovyote vile Peter Ulanga ameondolewa TTCL kwa fitna za hao hao kina Rostam wa Tigo na wenzao wa mitandao mingine
