Ttcl ni fuvu tu...Bwana Chande,
Kwanza nikupongeze kwa kuhamishiwa TTCL. Kwangu naamini mama kapiga pasi ya kisigino kwa hatua hii ikiwemo ya kumpeleka Biteko nishati na kumteua Meja Jenerali kuwa mwenyekiti bodi ya Tanesco. Sasa naamini mama amepata washauri makini na pengine tukaona mwelekeo mpya kwenye sakata la bandari.
Mpambanaji Chande huko TTCL biashara ni kama imekufa na wameshindwa kabisa kuwa washindani kwenye maeneo ambayo wana competitive advantages. Mfano kwasasa focus yao kubwa ipo kwenye Internet connections ingawa pia wanasuasua.
Landline connection ni kama imekufa na ukiomba huduma hupewi attention kabisa hata maeneo ambayo miundombinu bado ipo. Fatilia request za landline connection jinsi zinavyofanyiwa kazi ubadili uelekeo wake.
Gharama za Internet bado ni kubwa sana, inawezekana kabisa TTCL kuleta mapinduzi kwenye eneo hili na kuwa shirika la mfano barani Afrika. Anzisha kitengo cha utafiti ( business research) na kujaza wataalamu ikibidi hata diaspora.
Naamini unakwenda kuifanyia mapinduzi TTCL na usikatishwe tamaa na wanaokubeza kwa mwenendo wa hali ya umeme ambayo binafsi naamini hukuwa mtu sahihi kwenye eneo hilo ila huku TTCL ndio muda wako wa Taifa kula matunda ya ujuzi wako.
Nchi ya kusadikika hii
Uswahili unakusumbua 😕waswahili bwana mna shida SanaUsimumshe asiyelala.
You think you are important hadi unajidillusion kwamba Waziri wa Foreign Affairs wa Jamhuri ya Tanganyika atakuja kubishana na wewe humu 😂
Sasa tajiriiiii roho haikuchomi vipi wakati asubuhi mchana jioni TikTok we unamuongelea mtu mmoja tena kimbea na kipashkuna. Mi nahisi roho inakuchoma.
Natamani ungekuwa unajitambua robo tu. Ungeweza kukosoa bila kukosa amani ya moyo.
😂
Kaa humo roho isawajike kabisa 😅
View attachment 2759817
Akili za kushikiwa na kuambiwa na wakina Kigogo na Veronica France!Mtu huyu anatakiwa kuwa JELA,
Halipo zuri anaweza kuachieve, NAFSI imeshakuwa corrupt!!
Kwa leo inatosha.Uswahili unakusumbua 😕waswahili bwana mna shida Sana
Eti minister wa foreign affairs kwani ndio inabadilisha uswahili wako....unajulikana kwa mipasho na taarabu mwanaune wewe mchora vikatuni vya mafumbo Leo hii unataka kujifanya huna feki Id😕😕😕 hatujasahau
Minister of foreign affair ulitaka kumuingiza mwingi kwenye saga zako mpaka mzee wa watu akatamka maji yalokorogeka ukaamuliwa ufute na picha mswahili bwana
Minister of foreign affairs my foot😕
Huna hadhi ya kufunguliwa thread utakula za uso kwenye comment kama hiviKwa leo inatosha.
Fake ID mnajua nyie vijana, sisi tuko humu ndani wakati hujaota hata mavuzi. 😁😁
Fungua thread nyingine ya Kipara tutaendelea
Aliiba Nini mkuu? CAG hakuona?Mtu huyu anatakiwa kuwa JELA,
Halipo zuri anaweza kuachieve, NAFSI imeshakuwa corrupt!!
TANESCO imemshinda mchana kweupe na aliikuta ikiwa imara TTCL iliyoshindikana ataiweza? Jina tu linamshitaki. Huko DSTV mtakuwa mnamsifu bure. Kuna wenyewe na yeye alikuwa remote tu. Hizi za TTCL na TANESCO zinataka kina Kalemani.Bwana Chande,
Kwanza nikupongeze kwa kuhamishiwa TTCL. Kwangu naamini mama kapiga pasi ya kisigino kwa hatua hii ikiwemo ya kumpeleka Biteko nishati na kumteua Meja Jenerali kuwa mwenyekiti bodi ya Tanesco. Sasa naamini mama amepata washauri makini na pengine tukaona mwelekeo mpya kwenye sakata la bandari.
Mpambanaji Chande huko TTCL biashara ni kama imekufa na wameshindwa kabisa kuwa washindani kwenye maeneo ambayo wana competitive advantages. Mfano kwasasa focus yao kubwa ipo kwenye Internet connections ingawa pia wanasuasua.
Landline connection ni kama imekufa na ukiomba huduma hupewi attention kabisa hata maeneo ambayo miundombinu bado ipo. Fatilia request za landline connection jinsi zinavyofanyiwa kazi ubadili uelekeo wake.
Gharama za Internet bado ni kubwa sana, inawezekana kabisa TTCL kuleta mapinduzi kwenye eneo hili na kuwa shirika la mfano barani Afrika. Anzisha kitengo cha utafiti ( business research) na kujaza wataalamu ikibidi hata diaspora.
Naamini unakwenda kuifanyia mapinduzi TTCL na usikatishwe tamaa na wanaokubeza kwa mwenendo wa hali ya umeme ambayo binafsi naamini hukuwa mtu sahihi kwenye eneo hilo ila huku TTCL ndio muda wako wa Taifa kula matunda ya ujuzi wako.
Hata kama wewe siyo Makamba ila kwa namna ulivyoumizwa kwa Makamba kuondolewa nishati utakuwa ni ndugu au mshirika wa karibu sana. Yaani wewe ni mnufaika au CHAWA mwenye kitambi wa uchafu wa MakambaBwana TikTok umekaa ukajiaminisha kabisa mimi Waziri wa mambo ya nje. 😂😂. Kweli akili yako fupi, hata nyakati husomi.
Halafu you don't think it's homosekshuo behavior kuongelea mwanaume mwenzako anamkaza nani, chalii jifunze etiquette kidogo 😭
You are obsessed na JM. Pole boss, roho itakuchoma sana we Bwana mdogo. Maana ndio kwanza top Diplomat 💪🏿💪🏿
Kesho amka fungua thread nyingine. Hakuna publicity mbaya duniani, naona nikama mnamuweka mtu top of mind watu wanamjua zaidi,
Simfahamu huyu kijana lakini nakuunga mkono kuwa sasa kapewa kazi inayoendana na taaluma yake tofauti na Tanesco. Zamani Tanesco ilikuwa inaongozwa na mtu ambaye ana uwezo,upeo na heshima ya kuwa Waziri.Bila shaka mnakumbuka Jerry Kasambala.Hao walikuwa watu ambao maamuzi yao yalikuwa si ya kutilia mashaka. Aidha ikumbukwe kuwa, kuwa CEO wa TTCL hakumpi Maharage madaraka kuiendesha kwa mujibu wa taaluma peke yake. Inategenea amekwenda wizara inayosimamiwa na Waziri yupi, mwenye uzoefu na upeo upi. Hicho nacho ni kizingiti kikubwa tu ambacho kimesababisha mawazo mazuri ya maendeleo kutopata uungwaji wa kisiasa!Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Maharage Chande ni moja kati ya visionary leader na rekodi zinambeba. Tangu akiw Vodacom,NBC na DSTV. Very unfortunate kwa TANESCO it didn't work that good. Labda alihitaji muda zaidi ila the public outcry ya power outing ilihitaji immediate attention. Jambo ambalo alishindwa nikutokakuwa na mipango ya muda mfupi kati na mrefu ili kuondoa hii shida.
As for TTCL sina mashaka nae..hili ndio eneo lake la umahiri na naamini Serikali inajua hivyo.
Kwa taarifa tu huyu sio kilaza. Ni bright hasa, uliza kote alikosoma tangu sekondari,chuo kikuu na huko alikopita kikazi.
Wishi him all the best kwenye majukumu yake mapya.
Business modal ya DSTv iligomaje TANESCO?! Ukute huko DStv alikuwa anapokea maelekezo kutoka kwa watendaji vichwa, kazi yake ilikuwa kutelekeza tu.Aiendeshe ttcl kama alivyokuwa anaiendesha dstv
Ova
Ni matumaini yangu unafahamu unachozungumzia, hususan kitu kilichokuwa nyuma wakati wa kuianzisha CRDB ya sasa na kufanikiwa. Ule msukomo ulipopungua,CRDB ilianza kuwa kama Shirika lingine la mtaani hata kabla Kimei hajatoka. Bahati tu kuwa linashughulikia fedha! "hot cake stock" Tusifanye usanii kwenye masuala mazito.DR. KIMEI ALIPEWA CRDB IKIWA TAABANI ZAIDI YA TTCL LAKINI AKAINYANYUA NA KUIFANYA YA MFANO WA KUIGWA, HAYA NDIYO TUNATAKA, KAYAFANYE MAAJABU HAYA HUKO TTCL KILA LA HERI.
Hivi shida ya TTCL ni internet tuu?; Naona humu ndani wengi wenu ombi lenu kwa Maharagwe ni kupunguziwa gharama ya internet bundles. Real?!Hawezi kufanikiwa kwenye internet maana kuna waziri mmoja ana shirikiana na mitandao kutuibia watumia internet .. hii nchi imejaa wezi kila upande.
Ikiwezekana wanze kuuza gb 5 kwa buku tu 🤣🤣😁Bwana Chande,
Kwanza nikupongeze kwa kuhamishiwa TTCL. Kwangu naamini mama kapiga pasi ya kisigino kwa hatua hii ikiwemo ya kumpeleka Biteko nishati na kumteua Meja Jenerali kuwa mwenyekiti bodi ya Tanesco. Sasa naamini mama amepata washauri makini na pengine tukaona mwelekeo mpya kwenye sakata la bandari.
Mpambanaji Chande huko TTCL biashara ni kama imekufa na wameshindwa kabisa kuwa washindani kwenye maeneo ambayo wana competitive advantages. Mfano kwasasa focus yao kubwa ipo kwenye Internet connections ingawa pia wanasuasua.
Landline connection ni kama imekufa na ukiomba huduma hupewi attention kabisa hata maeneo ambayo miundombinu bado ipo. Fatilia request za landline connection jinsi zinavyofanyiwa kazi ubadili uelekeo wake.
Gharama za Internet bado ni kubwa sana, inawezekana kabisa TTCL kuleta mapinduzi kwenye eneo hili na kuwa shirika la mfano barani Afrika. Anzisha kitengo cha utafiti ( business research) na kujaza wataalamu ikibidi hata diaspora.
Naamini unakwenda kuifanyia mapinduzi TTCL na usikatishwe tamaa na wanaokubeza kwa mwenendo wa hali ya umeme ambayo binafsi naamini hukuwa mtu sahihi kwenye eneo hilo ila huku TTCL ndio muda wako wa Taifa kula matunda ya ujuzi wako.
Naunga mkono hojaHawezi kufanikiwa kwenye internet maana kuna waziri mmoja ana shirikiana na mitandao kutuibia watumia internet .. hii nchi imejaa wezi kila upande.
Ni nape na vibaraka wakeHuko TTCL Ni pagumu sana maana TTCL wakibadilika wakafanya vizuri hizi kampuni nyingine zinafunga virago asubuhi...vita anayoenda kukutana nayo ni kubwa sana na kubaya zaidi vita yenyewe adui yupo ndani na nje ya taasisi.