DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,152
Katibu wa Idara ya Haki za Binadamu Chama cha ACT Wazalendo. Mbarara Maharagande, amewataka Watanzania kukipuuza Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwakuwa kimeshindwa kutatua changamoto zao hasa kwenye upatikanaji wa huduma ya umeme wa uhakika.
Maharagande ameyasema hayo wilayani Tunduru kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika jimbo la Tunduru Kaskazini mkoani Ruvuma ikiwa ni muendelezo wa mikutano ya kampeni ya Operesheni Majimaji 'Oktoba Linda Kura'
Maharagande ameyasema hayo wilayani Tunduru kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika jimbo la Tunduru Kaskazini mkoani Ruvuma ikiwa ni muendelezo wa mikutano ya kampeni ya Operesheni Majimaji 'Oktoba Linda Kura'