Mahanjamu ya chuchu...wayajua wewe?

Lol thread za namna hii karibia na weekend haya bwana ..
Mie nimefunga leo ngoja niwe mpole tu:lalala:

lo.....................mbona una bakhati mbaya hivyo..........ukitangaza umefunga hapo kwa khapo umefungua................kwa hiyo acha upole na chemkia hii.......Firstlady1...........wapemdwa kung'atwa chuchu zako wakati wa majambozi? na hujisikiaje ukiing'atwa.......
 
lo.....................mbona una bakhati mbaya hivyo..........ukitangaza umefunga hapo kwa khapo umefungua................kwa hiyo acha upole na chemkia hii.......Firstlady1...........wapemdwa kung'atwa chuchu zako wakati wa majambozi? na hujisikiaje ukiing'atwa.......

Thread zako za siku Hizi Ruta

I salute ..ikifika saa moja jioni nishitue nikupe jibu.
 
Mkuu jibu linajitosheleza ila mimi siyo young man paid or financially supported by an older woman!!(gigolo) mkuu mimi ni love maker

nimeshiba.............
 
Thread zako za siku Hizi Ruta

I salute ..ikifika saa moja jioni nishitue nikupe jibu.

Firstlady hizi ni dalili kuwa leo usiku uling'atwa chuchu sasa nimekugusa..........
 
Mabusu motomoto kwenye mechi hayahamasishwi na "reception"...
Lakini mechi haikamiliki kama chuchu sijazing'ata mie.............
Sijui kwako imekaaje lakini sioni kama mechi imekamilika......na kusikika ikiiva...

Nakhofu kufafanua kwani sijui una umri gani?
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?

Mkuu Ruta, hapo kwenye red inasemekana eti kama Engine kama inakua inatoa harufu hata uking'ata chuchu utaisikia ile harufu?
 
Ntakusaidia kulipa ila kwa leo fungulia shost:violin::violin:

ninahisi kang'atwa leo................aona kaguswa pabaya kwa hiyo aingia mitini na kutunyima elimu hii ya jinsi alivyopatwa usiku wa leo.......
 
Mkuu Ruta, hapo kwenye red inasemekana eti kama Engine kama inakua inatoa harufu hata uking'ata chuchu utaisikia ile harufu?

kama injini ina mushkeli itabidi mechi iahirishwe khalafu baada ya matengenezo muhimu basi iombewe marudio.......
 
mwanamke ziwa ati, **** kila mtu analo.

cha ajabu wamo humu wanasoma kimyakimya hawataki kutujuza siri zao ili tuwahudumie vizuri zaidi.........shauri yao........
 
Back
Top Bottom