MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Tanzania hakuna mfanyakazi yeyote anayeruhusiwa chochote, kisheria, ndio maana migomo yote ikawa batili na kesi kufikishwa mahakamani.mahakimu hawaruhusiwi kugoma kisheria.
labda hawa wapya hawajui ethics zao
hela watapelekewa fungu lao limeshatengwa.
waliendaje kwenye vituo vya kazi bila fedha za kujikimu na usafiri? inatia shaka.