Mahakama yawafutia dhamana M/kiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko

Kwa hiyo sasa CCM wanaenda kuzoa majmbo 9 hivi karibuni? Maana wakipigwa miezi 6 wanakosa sifa za kuwa wabunge.

Sio ccm, sema chama cha watekaji kinaenda kuzoa majimbo. Kwa taarifa yako kwa sasa chini ya awamu hii kuwa mbunge ni fedheha. Hao wabunge kwa sasa ni wauza sura kama wauza sura wengine. Hawana lolote zaidi ya kupitisha matakwa ya jiwe.
 
Hata hivyo wamevumiliwa sana na dharau zao.Hivi Chadema wakichukua nchi watakubali mwanasiasa wa upinzani kuichezea serikali kama wanavyofanya wao? kama wao ni viongozi na wanakiuka sheria za nchi wananchi wanaowaongoza itakuaje? wataendesha taifa la namna gani?
.
Kikomo cha kazi cha ubongo wako kama unvyojinasibu. Eti dharau?
 
Ujanja wa kukwepa Mahakama umegonga Mwamba kila siku kusingizia ugonjwa, njia ya muongo ni fupi. Ondoa dhamana
Mboye akiwa gerezani wewe inakusaidia nini au utazidishiwa nini katika maisha yako? usipende kufurahia mabaya yanayomfika mwenzako hata kama alikusudia kutotii amri ya mahakama, tambua kwamba katika Dunia hakuna aliyekamilika hautakiwi kumchukia mtu kwa kuwa itikadi yake na yako hazifanani.
 
Maagizo kutoka juu!!

Kinachofuata ni kuwafunga!!

Nitaunganana na wanaoitwa mabeberu kuliko hawa watu wenye roho za aina hii!

Waliosababisha maandamano kwa kutotimiza wajibu wao wako maofisini, na waliofyatua risasi na kuua, kesi wamefutiwa!!

Better were colonial days!

Huwa nawapenda vinyonga, wanajua kubadili rangi.
Alipo kuwa Ubelgiji mlituletea picha Kamanda kaenda kumtembelea Kamanda, mkasahau mlisema alikuwa mahututi.
 
Ulikuwa Jela Mkuu? Mnona uzi wa Mbowe upo humu kitambo? Au pombe ndio zinaisha mda huu? au ndio akili za WIKENDI?
Uzi wa Mbowe !!!! na bado, safari ile si alitoka Lupango akiwa kama Ndanda Kosovo, subili safari hii sijui ataonekanaje !!! Mbowe Chaliiii !!!
 
mkuu una matatizo makubwa, tunazungumzia mh. mbowe kutotoa hudhuru wala kufika mahakamani unaleta stori za akwilina. fungua uzi tuzungumzie hilo ili upate mtizamo wangu/wetu juu ya hilo.
Mkuu zipompa! Ina maana kweli hujui chanzo kilichosababisha Mh.Mbowe na wenzake kufikishwa mahakamani? Utazungumziaje mashtaka yao bila kumtaja marehemu Akwilina?Endelea kujitoa ufahamu.
 
Back
Top Bottom