Kwakuwa ndio furaha yenu.ukiona hivyo Mbowe ataozea gerezani.
Kwakuwa ndio furaha yenu.ukiona hivyo Mbowe ataozea gerezani.
Hii ni kibokoMahakama Kuu Division ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa Leo Septemba Mosi, 2021 imetupilia mbali pingamizi lililowasilishwa na Mawakili wa upande wa utetezi, juu ya Mahakama hiyo kuwa na uwezo wa kusikiliza kesi ya Ugaidi.
Usikilizwaji wa kesi hiyo unaendelea.
everybody? Sema somebodyNever loose a hope freeman, everybody knows that you are innocent,you are not a terrorist
Taifa litanufaika vipi na huko kuozea kwake gerezani?ukiona hivyo Mbowe ataozea gerezani.
Amehukumiwa?Mahakama hizi si ndio zile zinazomhukumu Sabaya pia?
Sijui wwUnaonaje bibi anavyowakomesha mataga, sukumagang na kufuta legacy?
Kazi kubwa ya polisi na mahakama ni kuua CHADEMATaifa litanufaika vipi na huko kuozea kwake gerezani?
Don't lose hope Freeman. You are boarding an excellent bus to freedom as other freedom fighters have done. Justice will be done. It is a matter of time. You have lost today but will win tomorrow which is certain to come. We are on our kneels begging God to protect you.Mahakama Kuu Division ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa Leo Septemba Mosi, 2021 imetupilia mbali pingamizi lililowasilishwa na Mawakili wa upande wa utetezi, juu ya Mahakama hiyo kuwa na uwezo wa kusikiliza kesi ya Ugaidi.
Usikilizwaji wa kesi hiyo unaendelea.
AmenDon't lose hope Freeman. You are boarding an excellent bus to freedom as other freedom fighters have done. Justice will be done. It is a matter of time. You have lost today but will win tomorrow which is certain to come. We are on our kneels begging God to protect you.
everybody? Sema somebody
Kutamalaki kwa haki. Kwamba hakuna aliye juu ya sheria.Taifa litanufaika vipi na huko kuozea kwake gerezani?
Wewe ni mwenyekiti wa wapumbavu na wachawiUlikuwa upuuzi mtupu.
ujuwaji mwingiiii!!
mnawachosha mabalozi wa watu bureee mwisho wapate korona!!!
Mbowe anavuna alicho kipanda.
eti anachagua Mahakama ya kusikiliza kesi yake!!
mwishowe atachagua na gereza la kutumikia kifungo chake!!
Siku hizi siwasikii tena na kale kawimbo kao ka sukumagang, sijui imekuwaje.Unaonaje bibi anavyowakomesha mataga, sukumagang na kufuta legacy?
Hatuna mahakama tuna matawi ya CCM
Wafuasi wa CDM nyie ni watu wa ovyo kweli. Angeshinda hilo pingamizi mngekuja hapa na sifa kede kede kwa Kibatala na kuwaponda wanasheria wa Serikali. Mkipigwa hamsemi Kibatala ni kilaza ila lawama mnaitupia Mahakama. Nyie watu viazi kweli!Kazi kubwa ya polisi na mahakama ni kuua CHADEMA
Ana jitahidi sana kuwa komesha Sukuma gang na hata Magaidi hawataki.Unaonaje bibi anavyowakomesha mataga, sukumagang na kufuta legacy?
Mbona sikuoni askari wangu wa mwamvuli .Siku hizi siwasikii tena na kale kawimbo kao ka sukumagang, sijui imekuwaje.
Nipo.Mbona sikuoni askari wangu wa mwamvuli .
Kwnini mbowe hataki mahakama hiyo isikilize kesi?,maana kama hana hatia,atataka kesi ianze haraka hata kama ni chini ya mti ili uongo wa wanaomshitaki ujulikane na kesi iisheHatuna mahakama tuna matawi ya CCM