mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,628
- 8,391
Na ww ya Mbowe yanapiga hodi kwako! Mchawi akikosa wa kumloga anawaloga wajukuu zake lazima na ww utavuna unacho kipanda!Ulikuwa upuuzi mtupu.
ujuwaji mwingiiii!!
mnawachosha mabalozi wa watu bureee mwisho wapate korona!!!
Mbowe anavuna alicho kipanda.
eti anachagua Mahakama ya kusikiliza kesi yake!!
mwishowe atachagua na gereza la kutumikia kifungo chake!!
Ukae ukijua kutesa na kuteseka humu duniani ni kwa zamu!
MUNGU KIBIDU!