Mahakama yatoa Amri Askofu Mokiwa na Wenzake wakamatwe kwa kutotii mahakama!

Katika hili serkali inachemka! Kanisa ni roho za watz lolote litakalotokea haiwezi kukwepa lawama!! Ndio maana FIFA walikataa mambo ya mpira kwenda mahakamani labda serkali ya ccm inataka iingie ktk giness book kwa suala la askofu mokiwa!!!
ROMA LUCUTA.......!!!!
 
Kauli ya Dr. Mokiwa kumpa JK masaa 48 kuwataja maaskofu wauza bwimbwi ndiyo inayomtesa.JK ni mzee wa visasi
 
Mlizoeshwa vibaya yaani maamuzi ya baraza la mawaziri lazima yapitishwe na TEC kisha ndio rais ayapitishe.

Mtazoea tu, kwani siku zote haki inasimama bila egemeo.

Voice of madrasat al sul. gazeti alipendalo ni Al Huda. pale mwembe chai walifanya utawala mzuri wa sheria kwa kuwauwa wafuga madevu.
 
Haya ni mambo ya mahakama sio serikali, kama mahakama imekubali kutumika kama unavyosema bado lawama ni za mahakama tu sio serikali.
 
ubishi wa nini, sheria ni msumeno haiangalii utumishi wa mungu kama ni hivyo hata wengine ni watumishi wa binadamu. Ni wazi amekiuka armru halali ya mahakama hivyo anapaswa kushughulikiwa kama raia wengine e.g. mbowe. katiba haiwalindi viongozi wa dini.
 
Mkuu umesema kweli, ukristo tatizo kwa serikali hii. Fuatilia sasa kuna maendeleo mengi sana na tena hawajifichi ziko habari nyingi tu zimetapakaa na zinaendelea kutapakaa juu ya juhudi hiyo.

Tunakotaka kwenda si kuzuri. jitazameni wenye mpango huo muache

Sidhani kama wataacha, huo mpango umeasisiwa kutoka nje ya nchi na hawa akina JK ni watekelezaji tu. Tanzania inatia huruma inaelekea kwenye matatizo makubwa ya kijamii, muda si mrefu watu wataanza kudai OIC and sharia kwa vitendo kama ilivyo kwenye baadhi ya majimbo ya nigeria chini ya Boko Haram. Giza kubwa litaifunika hii nchi

Hii haiwezi kukwepeka kwa vile ndo asili ya uislam kwamba pale ambapo wana nguvu za kimadaraka au wingi wa watu, basi haki na heshima za wasiowaislam haziheshimiwi. Mambo yalianza polepole, Kwenye miaka ya 90's misikiti ilianza kuoteshwa kama uyoga, Ikafuatia mihadhara ya wazi ya kushutumu na kukashifu ukiristo, maandamano ya kupinga maduka ya pombe and nguruwe, nakumbuka pia Mwirani aliwahi kuingia kanisa la St. Peters na kupiga picha bila ruhusa wakati wa ibada, hakuna hatua zilichukuliwa. Sasa tumefika kwenye phase ingine ambapo Ukiristo unapondwa kutoka kwenye kichwa yaani viongozi. Wakimalizana nao itafuata kwa mtu mmoja mmoja.

Itakubidi uwe mwislam ili kupata wadhifa, promotion au hata kumiliki biashara kubwa kubwa. Huko misri wakiristo wanajulikana kama watu wa takataka, maana kazi pekee wanayoweza kuipata kwa uhalali ni kuokota takataka mijini. Hali siyo tofauti Pakistani, Somalia nk

Kama wewe ni Mkristo na unaishi Bongo basi uwe na uhakika kwamba muda si mrefu imani yako itapimwa, kumbuka maneno ya mwokozi "Duniani mnayo dhiki lakini mwenye kuvumilia hadi mwisho ndio atae okoka"
 
ubishi wa nini, sheria ni msumeno haiangalii utumishi wa mungu kama ni hivyo hata wengine ni watumishi wa binadamu. Ni wazi amekiuka armru halali ya mahakama hivyo anapaswa kushughulikiwa kama raia wengine e.g. mbowe. katiba haiwalindi viongozi wa dini.

We vip mahakama za Tz ni msumeno, kichekesho.Zinapewa amri toka ikulu kamata huyu acha huyu.Ni amri ngap za mahakama zimedharauliwa na serikali?
 
Mkuu umesema kweli, ukristo tatizo kwa serikali hii. Fuatilia sasa kuna maendeleo mengi sana na tena hawajifichi ziko habari nyingi tu zimetapakaa na zinaendelea kutapakaa juu ya juhudi hiyo. <BR><BR>Tunakotaka kwenda si kuzuri. jitazameni wenye mpango huo muache
<BR><BR>Sidhani kama wataacha, huo mpango umeasisiwa kutoka nje ya nchi&nbsp; na hawa akina JK ni watekelezaji tu. Tanzania inatia huruma inaelekea kwenye matatizo makubwa ya kijamii, muda si mrefu watu wataanza kudai OIC and sharia kwa vitendo kama ilivyo kwenye baadhi ya majimbo ya nigeria chini ya Boko Haram. Giza kubwa litaifunika hii nchi<BR><BR>Hii haiwezi kukwepeka kwa vile ndo asili ya uislam kwamba pale ambapo wana nguvu za kimadaraka au wingi wa watu, basi haki na heshima za wasiowaislam haziheshimiwi. Mambo yalianza polepole, Kwenye miaka ya 90's misikiti ilianza kuoteshwa kama uyoga, Ikafuatia mihadhara ya wazi ya kushutumu na kukashifu ukiristo, maandamano ya kupinga maduka ya pombe and nguruwe, nakumbuka pia Mwirani aliwahi kuingia kanisa la St. Peters na kupiga picha bila ruhusa wakati wa ibada, hakuna hatua zilichukuliwa. Sasa tumefika&nbsp;kwenye&nbsp;phase ingine ambapo Ukiristo unapondwa kutoka kwenye kichwa yaani viongozi. Wakimalizana nao itafuata kwa mtu mmoja mmoja. <BR><BR>Itakubidi uwe mwislam ili kupata wadhifa, promotion au hata kumiliki biashara kubwa kubwa. Huko misri wakiristo wanajulikana kama watu wa takataka, maana kazi pekee wanayoweza kuipata kwa uhalali ni kuokota takataka mijini. Hali siyo tofauti Pakistani, Somalia nk<BR><BR>Kama wewe ni Mkristo na unaishi Bongo basi uwe na uhakika kwamba muda si mrefu imani yako itapimwa, kumbuka maneno ya mwokozi "Duniani mnayo dhiki lakini mwenye kuvumilia hadi mwisho ndio atae okoka"
 
Baada ya Askofu mokiwa kuwaambia watanzania wamdharau raisi wa jamhuri wa tanzania JK sasa wanamtafuta kwa kila hali ili awekwe ubayani. wakiwa wanatumia mahakama ya arusha ili kumfikisha kunapostahili, seriukali inapata kigugumizi. Watumishi wa Mungu wameanza kuwindwa na siasa za ubazazi nchini Tanzania. Habari za kuaminika kutoka ndani ya serikali inasema wakuu wameanza kukinzana na amri ya kumtia Askofu mokiwa pingu, huku wengine wakiaamini watakuwa wanapigana na kanisa husika, na wale wafuasi wa mhusika wakitaka afanyiwe.

bado tupo ikulu kujua zaidi.
ni mimi chief mkwawa.

Dah mkuu ulikuwa unaandika hii post ukiwa chooni au??? Una point nzuri sana ila next time jitahidi kuandika vizuri na sio kama unakimbizwa.
 
Sidhani kama wataacha, huo mpango umeasisiwa kutoka nje ya nchi na hawa akina JK ni watekelezaji tu. Tanzania inatia huruma inaelekea kwenye matatizo makubwa ya kijamii, muda si mrefu watu wataanza kudai OIC and sharia kwa vitendo kama ilivyo kwenye baadhi ya majimbo ya nigeria chini ya Boko Haram. Giza kubwa litaifunika hii nchiHii haiwezi kukwepeka kwa vile ndo asili ya uislam kwamba pale ambapo wana nguvu za kimadaraka au wingi wa watu, basi haki na heshima za wasiowaislam haziheshimiwi. Mambo yalianza polepole, Kwenye miaka ya 90's misikiti ilianza kuoteshwa kama uyoga, Ikafuatia mihadhara ya wazi ya kushutumu na kukashifu ukiristo, maandamano ya kupinga maduka ya pombe and nguruwe, nakumbuka pia Mwirani aliwahi kuingia kanisa la St. Peters na kupiga picha bila ruhusa wakati wa ibada, hakuna hatua zilichukuliwa. Sasa tumefika kwenye phase ingine ambapo Ukiristo unapondwa kutoka kwenye kichwa yaani viongozi. Wakimalizana nao itafuata kwa mtu mmoja mmoja. Itakubidi uwe mwislam ili kupata wadhifa, promotion au hata kumiliki biashara kubwa kubwa. Huko misri wakiristo wanajulikana kama watu wa takataka, maana kazi pekee wanayoweza kuipata kwa uhalali ni kuokota takataka mijini. Hali siyo tofauti Pakistani, Somalia nkKama wewe ni Mkristo na unaishi Bongo basi uwe na uhakika kwamba muda si mrefu imani yako itapimwa, kumbuka maneno ya mwokozi "Duniani mnayo dhiki lakini mwenye kuvumilia hadi mwisho ndio atae okoka"
Mkuu umeongea ukweli tupu lakini pia nina wasi wasi na hao waumini walopeleka kesi mahakamani,biblia inapinga kabisa suala hili,kuna sehemu paulo aliwakemea wakorinto kama sikosei kuwa wamekosa wenye hekima huko kanisani kwao hadi wakatafute suluhu mahakamani? Pamoja na zengwe lote toka kwa wapinzani wa imani ya Ukristo,kuna tatizo kwenye haya makanisa yetu siku hzi,wengi wa hao wanaoitwa watumishi wa Mungu na pia wanaoitwa waumini,wameacha Misingi ya UKRISTO,madhehebu mengne hata hayana hadhi ya kuwa associated with CHRIST,KRISTO akishuka sasa atayakana makanisa mengi sana! Hakuna maadili,hakuna uongozi wa Mungu makanisani,watumishi wanatumia hekima zao kwa maslahi yao pasipo kumsikiliza Mungu.This is the cause of all ths problems...Haya yanayotokea,ya kupelekana mahakamani ni madhihirisho tu ya status ya makanisa na waumini wao rohoni...ITS THE MATER OF TIME,TUTAWAJUA WAKWELI NA WASANII...
 
Alipokamatwa Mbowe mlisema sana na sasa Mokiwa mtazoza sana. Lakini lazima mkubali kuwa hiyo ndio rules of law mlioamua kufata. Haruhusiwi mtu yoyote kudharau mhimili wowote wa doula.

Mtake msitake huo ndio ukweli

Barubaru kumbe upo ?
Wa kumkammata Mokiwa hayupo Tanzania . Unaweza kuota kwamba mtu anaweza kumkamata Pengo . Hakuna hilo na kama wana bisha wamkamate Mokiwa sasa waaone . Hata hao wabunge wa CCM watasimama. Uovu wa Mokiwa mwachieni mwenyewe .Angaliani kanisa na misingi ya imani . Mokiwa hakamatwi
 
Issue ya Ikulu na amri ya mahakama ni wapi na wapi?

Acha owongo

Hapo kila mtu anapata kigugumizi, inabidi uiulize serikali kwanini Ikulu inahusika. Kwanini baada ya mahakama kutoa amri ya kukamatwa wasimkamate aende mahakamani akajitete kama ana hatia sheria ifuate mkondo kama la aachiwe huru. Ila jalada lipo Dar na habari za uhakika ndizo hizo. Wakubwa wanahaha kila mmoja anasema lwake. Siku zote ukweli unajitenga na uongo. Serikali ingeacha mambo ya Ngoswe kwa Ngoswe mwenyewe.

Una kumbuka mgogoro wa KKT Mwanga akina Msuya -hakuna aliyeguswa
Arumeru kkt waliuana hakuna aliyeguswa
Bwakwata- Mrema alikwenda kusuhisha hakuna alieguswa
Migogoro yote hii ilitokana na baadhi ya makundi kutomtaka mmojawapo wa viongozi wengi walienda mahakamani hakuna warranty ilitolewa.

Mokiwa kumpa JK siku 48, lazima wale koromeo. Mambo ya ngoswe aachiwe ngoswe
 
Hapo kila mtu anapata kigugumizi, inabidi uiulize serikali kwanini Ikulu inahusika. Kwanini baada ya mahakama kutoa amri ya kukamatwa wasimkamate aende mahakamani akajitete kama ana hatia sheria ifuate mkondo kama la aachiwe huru. Ila jalada lipo Dar na habari za uhakika ndizo hizo. Wakubwa wanahaha kila mmoja anasema lwake. Siku zote ukweli unajitenga na uongo. Serikali ingeacha mambo ya Ngoswe kwa Ngoswe mwenyewe.

Una kumbuka mgogoro wa KKT Mwanga akina Msuya -hakuna aliyeguswa
Arumeru kkt waliuana hakuna aliyeguswa
Bwakwata- Mrema alikwenda kusuhisha hakuna alieguswa
Migogoro yote hii ilitokana na baadhi ya makundi kutomtaka mmojawapo wa viongozi wengi walienda mahakamani hakuna warranty ilitolewa.

Mokiwa kumpa JK siku 48, lazima wale koromeo. Mambo ya ngoswe aachiwe ngoswe

Hii issue nadhani wamekosea sana .Wakishindwa kumkamata huyu Jaji atakuwa kajidhalilisha na mahakama sasa itaonekana hovyo now wana mtego mkali watanzania wana angalia si wajinga .
 
Haya ni mambo ya mahakama sio serikali, kama mahakama imekubali kutumika kama unavyosema bado lawama ni za mahakama tu sio serikali.

nadhani hata hujielewi. Kama haujui hata nguzo kuu tatu za serikali,your then good for nothing.
 
Mlizoeshwa vibaya yaani maamuzi ya baraza la mawaziri lazima yapitishwe na TEC kisha ndio rais ayapitishe.

Mtazoea tu, kwani siku zote haki inasimama bila egemeo.

Mokiwa hana uhusiano na TEC. Ni taasisi za dini tofauti. Na swala hapa kila mtu anashangaa kama anahatia na mahakama imeona hivyo kwanini asikamatwe Jalada ikulu linamtafuta nani? Je walikuwa wanatafuta sehemu ya kumpata sasa wanaona imekaa visivyo?
 
Hivi wakitokea wasanii wakapeleka kesi mahakamani kwamba, mahakama itoe amri watu wanaosali na kumuomba Mungu wasimamishe kusali, hadi watakapo thibitisha uwepo wa Mungu. na wale watu wakaendelea kusali,
Mahakama inaweza kuwakamata kwa kupuuza amri ya Mahakama?
naomba mnifahamishe!
 
Mkuu umeongea ukweli tupu lakini pia nina wasi wasi na hao waumini walopeleka kesi mahakamani,biblia inapinga kabisa suala hili,kuna sehemu paulo aliwakemea wakorinto kama sikosei kuwa wamekosa wenye hekima huko kanisani kwao hadi wakatafute suluhu mahakamani? Pamoja na zengwe lote toka kwa wapinzani wa imani ya Ukristo,kuna tatizo kwenye haya makanisa yetu siku hzi,wengi wa hao wanaoitwa watumishi wa Mungu na pia wanaoitwa waumini,wameacha Misingi ya UKRISTO,madhehebu mengne hata hayana hadhi ya kuwa associated with CHRIST,KRISTO akishuka sasa atayakana makanisa mengi sana! Hakuna maadili,hakuna uongozi wa Mungu makanisani,watumishi wanatumia hekima zao kwa maslahi yao pasipo kumsikiliza Mungu.This is the cause of all ths problems...Haya yanayotokea,ya kupelekana mahakamani ni madhihirisho tu ya status ya makanisa na waumini wao rohoni...ITS THE MATER OF TIME,TUTAWAJUA WAKWELI NA WASANII...
Mkuu hao waumini wametumwa na Dr Mbena, ukiwaangalia wanatia huruma maana hata wengine hawana uhakika wa mlo wa jioni, kwa jeuri yao hata kesi ya wizi wa kuku hawawezipeleka mahakamani. Ni wachovu vibaya. Si akina manundu na Mhone? Wengine kuishi kwao hadi wategemee wake zao wawatoe
 
Back
Top Bottom