johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,000
- 142,028
Askofu Rweyongeza wa Kanisa Katoliki jimbo la Kayanga mkoani Kagera amewataka Wananchi wachague Viongozi bora na wasirudie makosa ya 2020.
Askofu Rweyongeza amesema ule wa 2020 haukuwa Uchaguzi ndio sababu sasa wanatunga sheria wasije kushtakiwa, hivyo nawashauri I wakati wa Uchaguzi msiendekeze Rushwa halafu Wabunge wakiwakimbia na Nyie mnakuja kulia Kanisani.
Si Viongozi wa dini kazi yetu ni kuusema ukweli na Nyie Wananchi kazi yenu ni Kufanya maamuzi ya pamoja kwa sababu mko Wengi, amesisitiza baba askofu.
Clip ya video iko Kwenye Ukurasa wa Hilda Newton Kule X.
Mlale Unono 😃😃🔥
Askofu Rweyongeza amesema ule wa 2020 haukuwa Uchaguzi ndio sababu sasa wanatunga sheria wasije kushtakiwa, hivyo nawashauri I wakati wa Uchaguzi msiendekeze Rushwa halafu Wabunge wakiwakimbia na Nyie mnakuja kulia Kanisani.
Si Viongozi wa dini kazi yetu ni kuusema ukweli na Nyie Wananchi kazi yenu ni Kufanya maamuzi ya pamoja kwa sababu mko Wengi, amesisitiza baba askofu.
Clip ya video iko Kwenye Ukurasa wa Hilda Newton Kule X.
Mlale Unono 😃😃🔥