PreGE2025 Mahakama yakubali ombi la Tundu Lissu kujitetea mwenyewe

PreGE2025 Mahakama yakubali ombi la Tundu Lissu kujitetea mwenyewe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Bonge la jibu..AKILI KUBWA SANA HII
Watu ambao wamezaliwa wamikuta nchi imetulia hawawezi kuelewa. Angalia jirani zetu DRC, Burundi, Rwanda, Uganda na Kenya. Historia tuliyopitia ni tofauti.

Wenzetu aidha wamepitia au wanaendelea kupita kwenye bonde la mauti
 
CHOMBO CHA DOLA KIKIMFIKISHA MTUHUMIWA MAHAKAMA YA KISUTU LEO 16 JUNE 2025


View: https://m.youtube.com/shorts/n0aoZhj8n08
1750066462191.jpeg
 
Kwa sasa ni kama mahakama ipo chini ya mhimili mwingine.

Amri zake zinapuuzwa tu kama jamaa bado kakaziwa kuonana na mawakili wake hadi leo.
 
Baada ya Tundu Lissu kuiambia Mahakama kuanzia leo atajitetea mwenyewe kwasababu Mawakili wake wamekuwa hawatendewi haki na hataki ije ionekane walishindwa kumtetea, Mahakama imekubali ombi hilo

"Kwa haya ambayo nimeyasema mawakili wangu nawashukuru, walipambana sana, walipigana kitaalamu, mlifanya majukumu yenu na mliyafanya kwa usahihi. Hivyo ninaichukua kesi hii mikononi mwangu tena. Kwahiyo Mheshimiwa 'from now on' mimi ndiye nitakaojibizana na hao mawakili wa serikali",

Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Franco Kiswaga, ametoa uamuzi mdogo katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA taifa Tundu Lissu ambayo ni kumruhusu Lissu kukabiliana moja kwa moja na Mawakili upande wa Jamhuri na si Mawakili wake kufanya hivyo mpaka atakapoamua vinginevyo.

Hakimu amesema...

"Kuanzia sasa hoja zitakuwa zinajibiwa kati ya upande wa Mawakili wa Jamhuri na Mshitakiwa mwenyewe mpaka pale atakaposema vinginevyo, kwamba naomba Mawakili wangu warudi"

==

Mwenyekiti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameomba mahakamani ajitetee mwenyewe huku akitaja sababu ni kuwa mawakili wake kutopewa nafasi ya faragha kuzungumza naye gerezani.

Soma, Pia: Tundu Lissu: Nimekuwa Mahabusu Siku 68 Mawakili wangu hawajaruhusiwa Kuniona na kuwasiliana na Mimi

Lissu amebainisha hayo leo Jumatatu Juni 16, 2025 wakati kesi yake ikianza kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Lissu anakabiliwa na kesi ya uhaini pamoja na kesi kesi ya kuchapisha taarifa za uwongo mtandaoni.

Kwa hiyo kuanzia sasa tutashudia Lissu mmoja akipambana na Mawakili wote wa serikali kandamizi!! Hakika Tanganyika ilichelewa sana kumpata mtu aina ya Tundu Lissu.
 
Baada ya Tundu Lissu kuiambia Mahakama kuanzia leo atajitetea mwenyewe kwasababu Mawakili wake wamekuwa hawatendewi haki na hataki ije ionekane walishindwa kumtetea, Mahakama imekubali ombi hilo

"Kwa haya ambayo nimeyasema mawakili wangu nawashukuru, walipambana sana, walipigana kitaalamu, mlifanya majukumu yenu na mliyafanya kwa usahihi. Hivyo ninaichukua kesi hii mikononi mwangu tena. Kwahiyo Mheshimiwa 'from now on' mimi ndiye nitakaojibizana na hao mawakili wa serikali",

Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Franco Kiswaga, ametoa uamuzi mdogo katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA taifa Tundu Lissu ambayo ni kumruhusu Lissu kukabiliana moja kwa moja na Mawakili upande wa Jamhuri na si Mawakili wake kufanya hivyo mpaka atakapoamua vinginevyo.

Hakimu amesema...

"Kuanzia sasa hoja zitakuwa zinajibiwa kati ya upande wa Mawakili wa Jamhuri na Mshitakiwa mwenyewe mpaka pale atakaposema vinginevyo, kwamba naomba Mawakili wangu warudi"

==

Mwenyekiti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameomba mahakamani ajitetee mwenyewe huku akitaja sababu ni kuwa mawakili wake kutopewa nafasi ya faragha kuzungumza naye gerezani.

Soma, Pia: Tundu Lissu: Nimekuwa Mahabusu Siku 68 Mawakili wangu hawajaruhusiwa Kuniona na kuwasiliana na Mimi

Lissu amebainisha hayo leo Jumatatu Juni 16, 2025 wakati kesi yake ikianza kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Lissu anakabiliwa na kesi ya uhaini pamoja na kesi kesi ya kuchapisha taarifa za uwongo mtandaoni.

ruzuku imekatwa, hata kuwalipa angeshindwa, mawakili wote wale sidhani kama walikuwa wanawakilisha bure. nampa pole Lisu.
 
Lissu atulie dawa iingie taratibu. Mwana kulitaka na kalipata.

Yaani Januari unamtoa Mbowe CHADEMA kwa hila, halafu mwezi Machi unataka kuanzisha uasi kuharibu uchaguzi.

Vyombo vya dola havicheki na nyani katika kulinda amani na utulivu wetu. Ngoma ya NGONDOIGWA umeingia mwenyewe sasa unataka kutoka. Daaaadadeki
hivi wewe una akili vizuri unasema Lisu anahatarisha amani? tumia akaili Lisu hana jeshi bali anawaambia watu ukweli waache wabishane kwa hoja kamati kuu ya chadema ilisema kama hakuna reform hakuna uchaguzi hivyo yeye katumwa na kamati kuu hivyo yeye anasimamia maamuzi ya kamati kuu. Lisu ni mtanzania na hatetei maslai yake mwenyewe bali anakutetea wewe
 
kwa hulka yake,
Lazima atatenda kosa lingine la kisheria na kujiongezea matatizo zaidi ya kisheria tena akiwa mahakamani 🐒
1. Hajawahi kushindwa kesi yoyote aliyosimama kama Wakili; Nyamongo Tarime, Lijualikali Kilomembero, Dr Slaa, Karatu nk

2. Na katika kesi makumi yalifunguliwa dhidi yake kwa hila tu kama hii inayoendelea sasa kuanzia kwa Ben Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, hakuna kesi hata Moja amewahi kukutwa na hatia na kuhukumiwa adhabu..!

#Kama una kumbukumbu tofauti na hii, shuka hapa tuambie..

#Hii nayo (mark my words) haiendi popote. It's aidha Jamhuri itaweka Mpira kwapani na kutimua mbio au ikae mkao wa kupigwa TKO pamoja na "maelekezo toka juu..."

#Kujua kesi ina uelekeo gani huwa ni mara ushahidi ukianza kutolewa na mashahidi wa washitaki...

# Leo shahidi wa kwanza tu ameonesha wazi kuwa hajui anachotetea. Na mawakili wa Republic wanajaribu kuomba hisani ya kupata protection fulani ya upendeleo kwa hakimu...

#That's absolutely pathetic. Hakuna kesi hapa, ni ujinga tu wa Chura Kiziwi na watu wake unaoendelea hapo🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
 
Lissu atulie dawa iingie taratibu. Mwana kulitaka na kalipata.

Yaani Januari unamtoa Mbowe CHADEMA kwa hila, halafu mwezi Machi unataka kuanzisha uasi kuharibu uchaguzi.

Vyombo vya dola havicheki na nyani katika kulinda amani na utulivu wetu. Ngoma ya NGONDOIGWA umeingia mwenyewe sasa unataka kutoka. Daaaadadeki
Dada kwa shahidi wenu aliefeli form 2 hata hakimu kichaa hawezi kunsikiliza...lissu mmoja ni sawa na wanaccm na policeccm wote tanzania
 
1. Hajawahi kushindwa kesi yoyote aliyosimama kama Wakili; Nyamongo Tarime, Lijualikali Kilomembero, Dr Slaa, Karatu nk

2. Na katika kesi makumi yalifunguliwa dhidi yake kwa hila tu kama hii inayoendelea sasa kuanzia kwa Ben Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, hakuna kesi hata Moja amewahi kukutwa na hatia na kuhukumiwa adhabu..!

#Kama una kumbukumbu tofauti na hii, shuka hapa tuambie..

#Hii nayo (mark my words) haiendi popote. It's aidha Jamhuri itaweka Mpira kwapani na kutimua mbio au ikae mkao wa kupigwa TKO pamoja na "maelekezo toka juu..."

#Kujua kesi ina uelekeo gani huwa ni mara ushahidi ukianza kutolewa na mashahidi wa washitaki...

# Leo shahidi wa kwanza tu ameonesha wazi kuwa hajui anachotetea. Na mawakili wa Republic wanajaribu kuomba hisani ya kupata protection fulani ya upendeleo kwa hakimu...

#That's absolutely pathetic. Hakuna kesi hapa, ni ujinga tu wa Chura Kiziwi na watu wake unaoendelea hapo🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
huenda amewahi kushinda njaa pekee jentleman,
huyo mropokaji hana historia ya kusimamia kesi mahakamani :NoGodNo:
 
Kifupi Lisu hana imani na mawakili wake ndio maana kawatoa

Ni kwamba Tundu Lissu sasa atakuwa anaongoza jopo la Mawakil, yaani Tundu Lissu bado anahuduma ya Mawakili wake ila atawaongoza kama wakili kiongozi.

NELSON MANDELA RULE aliyoitaja Tundu Lissu leo mahakamani Kisutu ndiyo upande wake wameamua kuitumia

  • Extracts from the court record of the trial of Mandela held in the Old Synagogue court, Pretoria, from 15 October to 7 November 1962. Mandela was accused on two counts, that of inciting persons to strike illegally (during the 1961 stay-at-home) and that of leaving the country without a valid passport. He conducted his own defence.
MANDELA:
Your Worship, before I plead to the charge, there are one or two points I would like to raise.


Firstly, Your Worship will recall that this matter was postponed last Monday at my request until today, to enable Counsel to make the arrangements to be available here today.


Although Counsel is now available, after consultation with him and my attorneys, I have elected to conduct my own defence.


Some time during the progress of these proceedings, I hope to be able to indicate that this case is a trial of the aspirations of the African people, and because of that I thought it proper to conduct my own defence.
 
Mengi tumeyafahamu kupitia Nelson Mandela Rules ambazo leo hii 16June 2025 mshitakiwa Tundu Lissu alipotoa hoja :

High-level presentation of the Nelson Mandela Rules: Statement of Prof. Njabulo Ndebele​


View: https://m.youtube.com/watch?v=s03W72NuGKg
The revised “UN Standard Minimum Rules for the Treatment of Prisoners”. were recommended to be known as “the Nelson Mandela Rules” in order to honour the legacy of the late President of South Africa, Nelson Rolihlahla Mandela.
 
Mengi tumeyafahamu kupitia Nelson Mandela Rules ambazo leo hii 16June 2025 mshitakiwa Tundu Lissu alipotoa hoja :

High-level presentation of the Nelson Mandela Rules: Statement of Prof. Njabulo Ndebele​


View: https://m.youtube.com/watch?v=s03W72NuGKg
The revised “UN Standard Minimum Rules for the Treatment of Prisoners”. were recommended to be known as “the Nelson Mandela Rules” in order to honour the legacy of the late President of South Africa, Nelson Rolihlahla Mandela.


Peter Kibatala naye afafanua haki za mahabusu/ mtuhumiwa kwa mujibu wa Mandela Rules ambazo sasa ni taratibu rasmi Umoja wa Mataifa inazitambua Mandela Rules ndiyo msingi na utaratibu sahihi wa haki za mahabusu au mfugwa yoyote duniani


View: https://m.youtube.com/watch?v=vZWIb05TgIA
 
Sasa kama siyo kazi yako. Ni kina kuwasha mpaka hapo ulipo huwezi kukaa kwa kutulia?
Jibu kama mtu mwenye akili timamu
Mwisho wa siku wote mtachnganyikiwa maana chama hakina wazee wa kuwapa ushauri
 
Back
Top Bottom