tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,859
- 18,282
Hata kichaa anaweza kutawala hii nchi.
kwa mtaji huu, pinda amejivua nguo na mbio zake za urais zimegotea hapa. ni bora hata fisadi lowasa kuliko hili tutusa linalojiita mtoto wa mkulima.
Hata kichaa anaweza kutawala hii nchi.
Mtazamo wangu mahakama wako sahihi kwamba jambo hili walikuwa wameliamua wao tena mahakama kuu iweje leo bunge wajadili maamuzi ya mahakama?
Miongozo iliyoombwa na Kafulila na wabunge wengine kuhusu mbinu zilizopo kutumia Mahakama kutaka kuzuia hoja ya Escrow isijadiliwe bungeni, Naibu Spika Ndugai katumia hekima haswa kwa kutoa nafasi kwa baadhi ya wabunge kukishauri kiti.
Hapo ndipo Bunge lilipozizima kwa hoja kali, wakipinga Mahakama kuingilia Bunge. Nimependa michango ya wote waliochangia kwa kweli.
My take: wale waliobeza taarifa hizi zilipoletwa humu JF, sasa limetua Bungeni, naomba michango yenu.
Cc; Lumumba Buku 7Fc.
Mahakama haizuii bunge bali kujadili suala lililopo mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama, na kuathiri utoaji wa haki katika suala hilo.
Dada SIMIYU kuna mihimili mitatu kwenye nchi yetu ambayo haiingiliani.Hivyo bsai ujue mahakama imekiuka sheria ya nchi,imeziba haki ya msingi ya BUNGE.Kumbuka BUNGE siyo serikali na liko kwa ajili ya kuisimamia serikali na siyo serikali kuisimamia BUNGE.
Na hii itaonodka tu pale mtakapokubali MAWAZIRI wote wasiwe wabunge ili BUNGE lirudi kwenye hadhi yake.Simiyu watanzania tunahitaji kujua ukweli na uwongo wa hawa waliozoa pesa wakishirikiana na SIngasinga.Tetea TAIFA lako,na kumbuka TAIFA kwanza vyama vyetu baadaye.Hakuna chama kitakachoishi milele lakini TAIFA litadumu milele na milele.Pole kama tunakukwaza kwa hili.Yawezekana dada umepatepo huko.Hongera sana,ila kula lakini tetea taifa lako siku zote za maisha yako,ili watoto na wajukuu zako wakufurahie na kukukumbuka milele.
Hata kama angezomewa ujue kuzomea ni dalili ya upumbavu ndiyo ukawa wengi mlivyo.
Kuna uwezekano mkubwa Pinda siyo mhusika kwenye hii ishu ila kuna watu anataka kuwaokoa maana anapigana kufa kupona
Mtazamo wangu mahakama wako sahihi kwamba jambo hili walikuwa wameliamua wao tena mahakama kuu iweje leo bunge wajadili maamuzi ya mahakama?
Mtazamo wangu mahakama wako sahihi kwamba jambo hili walikuwa wameliamua wao tena mahakama kuu iweje leo bunge wajadili maamuzi ya mahakama?
Mimi sio mwana sheria,hivyo wana sheria nisaidieni.Msingi wa jaji mkuu kuzuia bunge lisijadili akaunti ya escrow ni nini?Kuna kesi ipo mahakamani?Maana msingi mkuu wa tuhuma ya uchotaji wa fedha za escrow ni hukumu ambayo mahakama kuu ilitoma,na wajanja,wakatumia nakala ile kuiba .Baada ya wizi ule tumaona majina ya majaji kupata mgao,na mpaka sasa hakuna aliyekamusha,wala hatujaambiwa kama kuna kesi ipo mahamani.Ndio maana naomba msaada,wa kisheria na kikanuni kama mahakama inaweza kuupangia mhimili wingine kazi ya kufanya
Pili mimi naoma kuna tatizo kubwa kubwa benki kuu,maana wizi wote mkubwa wa nchi hii unafanikishwa na benki katika mazingira tata na mbaya inakuwa karibu na uchaguzi mkuu.
mkumbushe dada Simiyu Yetu kwamba mpaka sasa hv hospitali hazina madawa na kadri hii skandali inavyozidi kuchelewa ndipo tunakosa fedha za kununulia dawa. tunaumia wote bila kujali vyama vyetu.
mkumbushe dada Simiyu Yetu kwamba mpaka sasa hv hospitali hazina madawa na kadri hii skandali inavyozidi kuchelewa ndipo tunakosa fedha za kununulia dawa. tunaumia wote bila kujali vyama vyetu.
Ni nani anaamua kuwa uamuzi huo ni haramu? Hapo ndiyo penye tatizo.
unajua hawa maCCM ni MABWEGE sana. hili suala ni very urgent lakini wanataka kulifukia huku wakijua fika kwamba WAHISANI wanataka majawabu haraka watoe hela. sijui wanataka tuendelee kufa kwa njaa na maradhi mpaka lini. hospitalini hakuna dawa huku wao wakiumwa tezi dume tu wanakimbilia marekani!
mtazamo wangu mahakama wako sahihi kwamba jambo hili walikuwa wameliamua wao tena mahakama kuu iweje leo bunge wajadili maamuzi ya mahakama?