Mtazamo wangu mahakama wako sahihi kwamba jambo hili walikuwa wameliamua wao tena mahakama kuu iweje leo bunge wajadili maamuzi ya mahakama?
We jamaa utapevuka lini kiakili?
Mtazamo wangu mahakama wako sahihi kwamba jambo hili walikuwa wameliamua wao tena mahakama kuu iweje leo bunge wajadili maamuzi ya mahakama?
acha ujuhaa mahaka haina uwezo wa kuizuia bunge....bunge iko juu! ni hapa tu ndyo wanafanya upuuzi huo......Mtazamo wangu mahakama wako sahihi kwamba jambo hili walikuwa wameliamua wao tena mahakama kuu iweje leo bunge wajadili maamuzi ya mahakama?
Mtazamo wangu mahakama wako sahihi kwamba jambo hili walikuwa wameliamua wao tena mahakama kuu iweje leo bunge wajadili maamuzi ya mahakama?
Kama Taifa tumekwama kabisa, kama hospitali hazina dawa halafu wakuu bado wanapiga danadana ni hatari.Unadhani alipokwenda kuandika katiba ya CCM alikuwa mjinga! Alijua wazi sheria zikifuatwa atakuwa hana pa kujificha.
Kaondoa suala la maadili katika katiba. Halafu huyu ndiye anapewa dhamana kubwa kama hiyo.
"ni bora kuzuia maana wakiliongelea inaweza kuwa balaa zaidi".
Sasa kama nyumba kubwa inahusika ni kwanini isiwe hivyo?
Changamoto ni kuwafanya wananchi waungane kuukataa uamuzi huo wa Mahakama.Uma mkuu unauwezo na haki ya kukataa uamuzi wowote wa ki-pu-mba-vu unaotolewa Mahakamani na kuendelea kutekeleza kile wanacho kiamini.Kiujumla msingi wa tafsiri ya sheria ni lazima uondoe absurdity katika maamuzi yake .
Kama tafsiri yeyote ya Mahakama itakuwa na absurdity ndani yake kuna alternatrive mbili kwanza kwenda Mahakama ya Juu au pili wananchi kukataa kufuata hicho kilicho amriwa .Hawana Magereza ya kufunga wananchi wote.
We jamaa utapevuka lini kiakili?
We jamaa utapevuka lini kiakili?