Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
waislamu wanataka serikali iziendeshe
hapana hiyo imekataliwa jana na rais. Haina tatizo ni uelewa tu.tuombe suala hili lipite salama kuna hatari ya nchi kuingia kwenye machafuko.
waislamu wanataka serikali iziendeshe
Exactly.
Kasema tuanzishe.
Na kasema pia katiba itaitambua mahakama hiyo.
Ajabu makafiri hamtaki.
Zinawawashia nin??
hapana hiyo imekataliwa jana na rais. Haina tatizo ni uelewa tu.tuombe suala hili lipite salama kuna hatari ya nchi kuingia kwenye machafuko.
Hivi! huwa unatumia kiungo gani kufikiri?
Ndugu,
Unafikiri n kwanini mambo yenu ya dini yawe ktk katiba ya nchi?
Kwani mnashindwa nini kuianzisha bila kutaka ridhaa ya makafiri?
hawa wabunge wakiristo ni wajinga sn
Endesheni mambo yenu wenyewe proudly christian
Hapo hakuna kutaka ridhaa ya makafiri hapo tunataka sheria kama inakubaliwa tuanzishe basi itambulike rasmi na si kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.
Leta uthibitisho hapa kuwa katiba ya Great Britain inatambua mahakama ya kadhi na kuwa inatumika U.K.hali si o mby ila hawa wakirsto washenzi sn wanapinga kitu ambacho wingereza Italy wanakikubali kwenye katiba zao
utapeli wa ccm kwa waislam utaleta vita .hapana hiyo imekataliwa jana na rais. Haina tatizo ni uelewa tu.tuombe suala hili lipite salama kuna hatari ya nchi kuingia kwenye machafuko.
Ushasema mswada, kwani ule mswada ulitaka upelekwe Kiarabu?
Wanaojiona hawafai kuujadili kwanini wanaujadili? si wasepe tu?
kama hawana chakuchangia kwanini wanachangia? walilazimishwa?
Lakini hii inafaida gani?
Hivi hiki ndo kipaumbele chenu cha maisha?
Unaonaje nguvu hii ingetumika kudai huduma bora za afya... Elimu bora na miundombinu?
Mahakama ya kadhi ipo na inafanya kazi mwenye kutaka kulithibitisha hilo aende Bakwata makao makuu Kinondoni.Wanachotaka waislam ni kutambulika kikatiba dhidi ya maamuzi na hukumu zinazotolewa juu ya masuala yanayohusu mirathi,ndoa na mali za wakfu .Kwa Mfano leo kesi inaenda kwa kadhi inatolewa hukumu (kwa mujibu ya matakwa ya dini ya kiislam) halafu mahakama ya serikali inatengua.
Waislam wanachodai ni kutambulika si jinsi ya kuindesha au kuwahukumu wasiokuwa waislam.Ni hilo tu wasomi wa kikristo wanashindwa kulielewa.
JK Huyoooo Marekani
hoja kabambe sana ! huyu kikongwe akirudi tena basi atakuwa ruhani ; si mtu wa kawaida .Lakini hii inafaida gani?
Hivi hiki ndo kipaumbele chenu cha maisha?
Unaonaje nguvu hii ingetumika kudai huduma bora za afya... Elimu bora na miundombinu?