Mahakama ya Afrika Mashariki Arusha: Muendelezo wa kesi ya kuhoji uhalali wa muungano

Mahakama ya haki ya Afrika Mashariki sasa iko katika hatua ya kupanga utaratibu wa kuanza kupanga tarehe ya kuisikiliza kesi ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambayo imefunguliwa katika mahakama hiyo na wazanzibari 40,000, kimsingi upande wa walalamikaji unaendelea kujipanga vyema katika hatua ya usikilizwaji wa kesi hiyo ambayo hadi hivi sasa wazanzibari walio wengi zaidi ya asilimia %90 wa Ndani na nje ya Zanzibar wanafuatilia suala hili pamoja na watu mbali mbali katika ukanda wa Afrika Mashariki Afrika na Dunia,Hata hivyo upande wa walalamikiwa Mwana Sharia Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Katibu Mkuu Baraza LA Mapinduzi Zanzibar na Mwana Sharia Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania kimsingi upande wa walalamikiwa Serikali zote za Tanzania zinaogopa sana hatua ya kusikilizwa Kwa kesi hii maana hoja zilizowasilishwa ni nzito sana Kwa upande wao hivyo huu ni wakati mgumu sana kwa Serikali za Tanzania Juu ya suala LA Muungano ndani ya kipindi cha miaka 54, hatufikirii kabisa kama wanasharia wa upande wa Serikali wataweza kukabiliana kisheria katika mahakama hiyo yenye mjaji waliobobea
 
...mna matokeo yenu mfukoni !?
Punde tuu mtaelewa nini maana ya ' Baraza la Mapinduzi'
 
Stupid


Nothing in all the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity.
 
Makasuku bwana hatari. Libya kwani ilinyimwa uhuru?
 
Wimbo wa zilipendwa tokea enzi zileee. Kwani Wazaramo na Wakwere wapo Tanganyika au Zanzibar?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…