Mahakama ya Afrika Mashariki Arusha: Muendelezo wa kesi ya kuhoji uhalali wa muungano

Yes huo ndio ulikuwa Muungano halal kabisa, baadaye yakaja mazingaombwe ya Tanzania
Sasa tofauti yake siioni hapo. UK kuna bendera nne lakini UN inaenda kama United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland na Union jack. Wana nyimbo tatu za Taifa lakini wakienda kama United Kingdom of great Britain and Northen Ireland wanaimba wimbo wa England. God Save the Queen. Sijaona tofauti kabisa unless ukinionyesha utendaji wa kazi ulikuaje ama kama Zanzibar haikua Autonomy kama sasa ndiyo nitaelewa.
 
Taarifa ya kuendelea kusikilizwa kwa kesi ya Muungano katika Mahakama ya Afrika Mashariki Arusha, Ombi no.9 lililowasilishwa na waombaji 40,000. linalohusiana na kuzuiliwa serikali zote mbili za Tanzania kutokufanya mabadiliko ya katiba za nchi ,kati ya Zanzibar na Tanzania.

Kutokufanyika kwa kura ya maoni juu ya suala la Muungano, kuwekewa vikwazo mbambali serikali ya Tanzania kimataifa katika nyanja mbali mbali na nchi za Afrika Mashariki, Afrika na Ulimwengu mzima.

Pamoja na mashirika ya kimataifa hadi kesi ya msingi itakapo malizika kusikilizwa na kutolewa hukumu, Ombi hili litasikilizwa mbele ya Majaji 5 siku ya Jumatano tarehe 6/6/2018 hapo Arusha saa 3:30 asubuhi. kuhusu ombi la kesi kuja kusikilizwa Zanzibar bado halijapangwa ingawa tumewasilisha marekebisho lakini mahakama italipanga kulisikiliza tena baada ya kulisikiliza ombi hili no,9.

Tunawaombeni Wazanzibari nyote tuungane kwa kulifuatilia shauri hili kwa manufaa ya nchi yetu,tafadhali sana kwa uzalendo wako ewe Mzanzibari tunahitaji mchango wako wa fikra n.k.
ili kuweza kutimiza lengo letu la kuikombowa nchi yetu katika ukoloni mambo leo wa Taifa la Tanganyika.
Tafadhali share na wengine taarifa hii.
# ZanzibarKwanza
# AjendaYaZanzibar

Habari zaidi, soma=>Wazanzibar elfu 40 wafungua kesi mahakamani kupinga muungano

View attachment 782025
Ok
 
Muungano wa UK kuna mambo ya sio kuwa ya muungano, na kuna mambo ya muungano, sasa kwetu hakuna kisicho cha muungano, tanganyika haipo, sasa mambo ya sio kuwa ya muungano kwa tanganyika yanasimamiwa na serikali ipi?

Jibu ni kwamba mambo ya sio kuwa ya muungano yanasimamiwa na Tanzania, hivyo huchukua status ya united Republic, na sio Republic of tanganyika, kwa maana hio tanganyika inachukua mamlaka ya zanzibar katika mambo ya sio ya muungano.

Tanganyika ikitaka mikopo huwa inajiamulia tu, bila ya kupata idhini, lakini zanzibar lazima ipate idhini.

Zanzibar ina population 1.5mi wakati tanganyika 45 m au zaidi, ardhi pia zanzibar ni ndogo, kwa vile zanzibar ina serikali yake na watu wake wachache na ardhi, ina kila sababu ya kuwa na mambo yake ya Ndani including uraia.

Michezo sio suala la muungano, lakini zanzibar imekataliwa fifa na caf kuwa mwanachama kwa sababu tanganyika umetumia status ya muungano katika kuomba u wanachama. Hapo mnatunyima haki yetu.

Kuna mambo ya kiuchumi zanzibar haikupasa kuingia kwenye muungano kutokana ndio moyo wa zanzibar, hakuna resources nyengine, tanganyika mna gold, gas, oil, lands na n. K

Zanzibar haina lolote zaidi ya kafuuu.


UK katika fifa kila nchi ina jiwakilisha wenyewe. Halafu UK muungano wao upo wa uwazi, hakuna mkubwa wala mdogo na ni huru kuhoji hata kuvunja.

Tanzania mpaka Leo sijui miaka mi ngapi Bank ya pamoj ipo kikatiba haijafunguliwa, zanzibar imetoa asilimia 11 Bank kuu inapata asimilia 4.5 tu na hizo kwa kukabana.
Sasa tofauti yake siioni hapo. UK kuna bendera nne lakini UN inaenda kama United Kingdom of Great Britain and Ireland na Union jack. Wana nyimbo tatu za Taifa lakini wakienda kama United Kingdom of great Britain and Ireland wanaimba wimbo wa England. God Save the Queen. Sijaona tofauti kabisa unless ukinionyesha utendaji wa kazi ulikuaje ama kama Zanzibar haikua Autonomy kama sasa ndiyo nitaelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umoja Mshikamano Udugu uliodumu na unaoendelea kuwepo ni nguzo kubwa isiopaswa kung`olewa pasipo kufiri 1)hasara za kuuvunja Muungano
2)faida za kuuvunja Muungano ,@)ikiwa hasara zitaonekana nikubwa kuliko faida au kinyume chake ,yote kwa yote tukumbuke Kuna vitu vijenga ni ghalama ndogo ila kuviondoa ni ghalama kubwa Sana hivyo ukijadri swala la Muungano lazima tafakuri pana isio na mhemko itawale ,kwangu yapo machache hayako sawa kulingana na umri wa Muungano Cha msingi ndio yatazamwe yaboreshe ili kwendana na nyakati zilizopo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umoja Mshikamano Udugu uliodumu na unaoendelea kuwepo ni nguzo kubwa isiopaswa kung`olewa pasipo kufiri 1)hasara za kuuvunja Muungano
2)faida za kuuvunja Muungano ,@)ikiwa hasara zitaonekana nikubwa kuliko faida au kinyume chake ,yote kwa yote tukumbuke Kuna vitu vijenga ni ghalama ndogo ila kuviondoa ni ghalama kubwa Sana hivyo ukijadri swala la Muungano lazima tafakuri pana isio na mhemko itawale ,kwangu yapo machache hayako sawa kulingana na umri wa Muungano Cha msingi ndio yatazamwe yaboreshe ili kwendana na nyakati zilizopo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kama mzanzibari naona hasara tupu kuanzia identity/utambulisho hadi uchumi .... labda utuekeze hizo faida utujuze mkuu
 
Lejeeni kusudi lilofanya kuwepo Muungano

Sent using Jamii Forums mobile app
Muungano uliwapo kutokana na shinikizo la mabeberu wa magharibi

Fuatilia vizuri siasa za Tanganyika na Zanzibar kabla ya uhuru,uchaguzi wa zanzibar uliompa ushindi mzee shamte,mapinduzi ya kina okelo,kuingia madarakani mzee karume,mauaji ya kimbari yalotokea baada ya mapinduzi na jinsi Kiongozi wa Tanganyika na Zanzibar walivyoafikiana kuziunganisha nchi zao bila ya kuwashirikisha wananchi wa pande zote mbili na yaliyojiri na yanayoendelea kujiri baada ya muungano huo ndio utaelewa kwanini wazanzibari wengi hawaukubali muungano huu kwa jinsi ulivyo hivi sasa.Historia hii haufundishwi mashuleni wala vyuoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazanzibar sikuzote wana akili za kushikiwa, Wao wanafikiri ni kujitenga tu ndio suluhisho..

Hawajui kuna watanganyika wengi Sana wanaoishi Zanzibar, na ukishaanza ubaguzi huo baadae hawataishia hapo, watakuta kuna wapemba na waunguja, kutokana na ubaguzi waliouanzisha wataanza kubaguana tena wenyewe kwa wenyewe na mambo ya Somalia ndipo yatakapoanzia hapo. Civil war na majanga kibao.. Kinachowafanya wajiite wao ni wazanzibar si kingine ni muungano tu.. Nje ya muungano kuna wao wapemba sisi waunguja
Inatuhusuuu?? waachieni matatizo yao wayamalize wenyewe.. tangu mmiwashikilia miaka kibawwo mpaka leo hii hakuna amani ya kweli. waachieni wawe huru.. mmiwang'ang'ania tuuuuu
 
Muungano wa UK kuna mambo ya sio kuwa ya muungano, na kuna mambo ya muungano, sasa kwetu hakuna kisicho cha muungano, tanganyika haipo, sasa mambo ya sio kuwa ya muungano kwa tanganyika yanasimamiwa na serikali ipi?

Jibu ni kwamba mambo ya sio kuwa ya muungano yanasimamiwa na Tanzania, hivyo huchukua status ya united Republic, na sio Republic of tanganyika, kwa maana hio tanganyika inachukua mamlaka ya zanzibar katika mambo ya sio ya muungano.

Tanganyika ikitaka mikopo huwa inajiamulia tu, bila ya kupata idhini, lakini zanzibar lazima ipate idhini.

Zanzibar ina population 1.5mi wakati tanganyika 45 m au zaidi, ardhi pia zanzibar ni ndogo, kwa vile zanzibar ina serikali yake na watu wake wachache na ardhi, ina kila sababu ya kuwa na mambo yake ya Ndani including uraia.

Michezo sio suala la muungano, lakini zanzibar imekataliwa fifa na caf kuwa mwanachama kwa sababu tanganyika umetumia status ya muungano katika kuomba u wanachama. Hapo mnatunyima haki yetu.

Kuna mambo ya kiuchumi zanzibar haikupasa kuingia kwenye muungano kutokana ndio moyo wa zanzibar, hakuna resources nyengine, tanganyika mna gold, gas, oil, lands na n. K

Zanzibar haina lolote zaidi ya kafuuu.


UK katika fifa kila nchi ina jiwakilisha wenyewe. Halafu UK muungano wao upo wa uwazi, hakuna mkubwa wala mdogo na ni huru kuhoji hata kuvunja.

Tanzania mpaka Leo sijui miaka mi ngapi Bank ya pamoj ipo kikatiba haijafunguliwa, zanzibar imetoa asilimia 11 Bank kuu inapata asimilia 4.5 tu na hizo kwa kukabana.


Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama unaujua huu Muungano nikaamanisha vitu vya muungano na visivyo vya Muungano.

Huko UK unakosema ule muungano una miaka zaidi ya 300 na hiyo devolution zimefanyika hivi karibuni sembuse muungano wa miaka 50?

Ni marekebisho madogo dogo yanatakiwa.
 
Faida ni kama hizo ulizoziweka Identity utambulisho hadi uchumi

Sent using Jamii Forums mobile app

FAIDA ZA MUUNGANO HIZI

1548478690512.png
 
Ningeshangaa kama usingenipa like unasafirisha Hata biashara ya View attachment 1005106 kwenda makunduchi kuna soko kubwa huko hasa mbuguma ile mnuso tu wa gongo wanapagawa

Sent using Jamii Forums mobile app[/QU




Pope knowingly gave Vatican apartment to gay priest later caught in cocaine-fuelled orgy


ROME, Italy, August 29, 2018 (LifeSiteNews) – Pope Francis gave a Vatican apartment to a priest who was later caught hosting a drug-fueled homosexual orgy in that same apartment despite being warned about the priest’s grave problems, a highly placed Vatican source told LifeSiteNews in an exclusive interview.

It was Francis himself, the source said, who made sure that a homosexual secretary of his friend Cardinal Francesco Coccopalmerio would obtain a privileged apartment in the Vatican.

Cardinal Coccopalmerio, then president of the Pontifical Council for Legislative Texts, and one of Pope Francis’ closest collaborators and ardent supporters, had spoken in 2014 about the “positive elements” in homosexual relationships.



Monsignor_Luigi_Capozzi__Cardinal_Francesco_Coccopalmerio__Pope_Francis_645_406_75.jpg


Monsignor Luigi Capozzi (left) is secretary to Cardinal Francesco Coccopalmerio (center) who is a close collaborator with Pope Francis.


Vatican police arrested Coccopalmerio’s secretary Monsignor Luigi Capozzi, in a raid last year after they broke up the cocaine-fueled homosexual party in the Vatican apartment next to St. Peter’s Basilica.

Vatican gendarmerie had conducted the raid on the homosexual orgy after tenants in the building complained repeatedly about constant traffic of visitors at all hours of the night to the building - which was used by various high-ranking churchmen, including prefects, presidents and secretaries to the Roman Curia.

LifeSiteNews’ source in Rome said that then Prefect of the Congregation for the Doctrine of the Faith (CDF) Cardinal Gerhard Müller had tried to get an apartment for one of his secretaries at the Palazzo del Sant'Ufficio, where the CDF is also located. There was an apartment free at the time of Müller’s inquiry, and the cardinal submitted a request for his secretary.

But then, the source said, Pope Francis informed Cardinal Müller via a personal note that this apartment was not available for his secretary because Cardinal Coccopalmerio needed it for his secretary Luigi Capozzi.

“That was then the same apartment which – in the summer of 2017, and after complaints from neighbors – was raided by the police,” the source said, “in order to end a homo party with large amounts of cocaine, which Capozzi himself – at the Palazzo del Sant'Ufficio – had organized for his homosexual friends.”

LifeSiteNews had inquired with another well-informed Vatican source about the then-breaking Viganò story and the archbishop's allegations that Pope Francis knew of Archbishop McCarrick's serial abuse of seminarians and priests.

In the course of the discussion of Vatican handling of sexual abuse claims, the source stated that the pope had been made aware of issues with Capozzi, however, he let him have the apartment anyway.

“Pope Francis had been informed by someone about Luigi Capozzi's problems,” the source said, “but he gave him anyway the apartment.”

Confirming Viganò's claim of prior restrictions placed upon then Cardinal McCarrick, that initial source also told LifeSiteNews as well that several people in the Vatican knew about the restrictions imposed by Pope Benedict XVI.

The source said further that Francis’ abrupt dismissal of Müller as CDF prefect in June 2017, along with Francis’ earlier similarly abrupt removal of three CDF priests, stemmed from disagreements as to the handling of abuse cases.

Word of the pope obtaining a privileged Vatican apartment for the homosexual secretary of his friend while having been told of concerns with the priest comes as the pontiff continues to decline comment on the bombshell Viganò testimony implicating the pope and several senior prelates in covering up Archbishop Theodore McCarrick’s alleged sexual abuse of seminarians and priests.


Note: Follow LifeSite's new Catholic twitter account to stay up to date on all Church-related news. Click here: @LSNCatholic
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom