Mahakama Kuu–Tanga imetoa AMRI ya kumzuia Lipumba, Sakaya na NEC, kufukuza Madiwani wa CUF

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
1. MAHAKAMA KUU YA TANZANIA -TANGA YAWALINDA MADIWANI WA CUF KUTOKANA NA UHUNI WA LIPUMBA NA GENGE LAKE:

2. YAIZUIA NEC NA MAMLAKA ZOTE KUTANGAZA NAFASI WAZI NA KUZIJAZA:

3. WASOMI MAWAKILI JUMA NASSORO NA DAIMU HALFANI WAENDELEA KUMBURUZA, NA KUMFUNDISHA TAALUMA YA SHERIA WAKILI MASHAKA NGOLE:

Issued on: 28 July, 2018

MBELE YA MHESHIMIWA JAJI BENHAJJ MASOUD Mahakama Kuu–Tanga imetoa AMRI ya kumzuia Lipumba, Sakaya, na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga na Mamlaka zingine zote ikiwemo NEC kuendelea na hatua zozote za kutaka kutangaza uwepo wa nafasi wazi za Udiwani kutokana na madai ya kuwavua Uanachama na Uwakilishi wa Wananchi [Udiwani] waombaji [Applicants] Rashid Jumbe Hamza [Diwani wa Kata ya Mwanzange, Fatuma Maine Hamza [Diwani Viti Maalumu], na Halima Juma Mbwana [Diwani Viti Maalumu] mpaka pale shauri la Msingi [Miscellaneous Cause No. 2 of 2018] litakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.


Maamuzi hayo yametolewa Alhamisi Tarehe 26/7/2018 mbele ya Mawakili wa Jiji na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kufuatia maombi madogo [Miscellenous Civil Application No. 30 of 2018] yaliyowasilishwa Mahakama Kuu na Waombaji [Applicants] kuomba kibali kwa ajili ya kuomba AMRI ya Mahakama Kuu kuzuia utekelezwa wa madai ya kuvuliwa Uanachama kwa wahusika [“…PREROGATIVE ORDERS OF CERTIORARI AND PROHIBITION…”]


Shauri hilo limepangwa kutajwa Agosti 6, 2018. Madiwani wa CUF wanawashtaki Magdalena Sakaya, Lipumba, Mashaka Ngole, Halmashauri ya Jiji la Tanga [Tanga City Council], Mkurugenzi wa ya Jiji la Tanga [Executive Director Tanga City Council] pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali [The Honourable Attorney General]. CUF imewakilishwa na Wasomi Mawakili Juma Nassoro na Daimu Halfani ambao wameendelea kumburuza, kumshughulisha na kumfundisha Taaluma ya Sheria Wakili wa Lipumba Mashaka Ngole.


Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad amewaondoa hofu Wanachama, na Viongozi wote wa Chama kiserikali [Wabunge, Madiwani, Wenyeviti wa serikali za Mitaa, Vijiji na Vitingoji] kuwa “CUF itaendelea kuwatetea na kuwalinda dhidi ya kundi la Wahuni waliopandikizwa na vyombo vya dola kutaka kukivuruga Chama”. Amesema “CUF itaendelea kutumia njia za Kisheria kudai Haki na kuwahakikishia kuwa CUF ndio itakayoibuka MSHINDI, kwani HAKI haizami hata siku moja”.

CUF NI TAASISI IMARA, YENYE VIONGOZI MAKINI.

HAKI SAWA KWA WOTE

Imetolewa na Kurugenzi ya Habari CUF-Taifa

SALIM BIMANI
MKURUGENZI -MHUMU

Pia soma =>Mkurugenzi wa Jiji la Tanga awafukuza udiwani, madiwani wanne wa CUF, baada ya kupokea barua ya Magdalena Sakaya
c7039029-233a-48ef-ae50-0b04be459e5d.jpeg
46d39f51-a70e-4982-9d6f-514ef0100099.jpeg
 
Last edited by a moderator:
safi sana!

Tunataka kuona kesi kama hizi za kuzuia Tume ya Uchaguz kuendelea kuendesha chaguzi zote mpaka kesi ya msingi iliyofunguliwa na TLHR kupinga sheria ya uchaguzi inamalizika mahakamani pamoja na ile ya kupinga Tume ya Uchaguzi kutokuwa huru iliyofunguliwa na kina Makongoro Mahanga.
 
Last edited:
1. MAHAKAMA KUU YA TANZANIA -TANGA YAWALINDA MADIWANI WA CUF KUTOKANA NA UHUNI WA LIPUMBA NA GENGE LAKE:

2. YAIZUIA NEC NA MAMLAKA ZOTE KUTANGAZA NAFASI WAZI NA KUZIJAZA:

3. WASOMI MAWAKILI JUMA NASSORO NA DAIMU HALFANI WAENDELEA KUMBURUZA, NA KUMFUNDISHA TAALUMA YA SHERIA WAKILI MASHAKA NGOLE:

Issued on: 28 July, 2018

MBELE YA MHESHIMIWA JAJI BENHAJJ MASOUD Mahakama Kuu–Tanga imetoa AMRI ya kumzuia Lipumba, Sakaya, na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga na Mamlaka zingine zote ikiwemo NEC kuendelea na hatua zozote za kutaka kutangaza uwepo wa nafasi wazi za Udiwani kutokana na madai ya kuwavua Uanachama na Uwakilishi wa Wananchi [Udiwani] waombaji [Applicants] Rashid Jumbe Hamza [Diwani wa Kata ya Mwanzange, Fatuma Maine Hamza [Diwani Viti Maalumu], na Halima Juma Mbwana [Diwani Viti Maalumu] mpaka pale shauri la Msingi [Miscellaneous Cause No. 2 of 2018] litakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.


Maamuzi hayo yametolewa Alhamisi Tarehe 26/7/2018 mbele ya Mawakili wa Jiji na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kufuatia maombi madogo [Miscellenous Civil Application No. 30 of 2018] yaliyowasilishwa Mahakama Kuu na Waombaji [Applicants] kuomba kibali kwa ajili ya kuomba AMRI ya Mahakama Kuu kuzuia utekelezwa wa madai ya kuvuliwa Uanachama kwa wahusika [“…PREROGATIVE ORDERS OF CERTIORARI AND PROHIBITION…”]


Shauri hilo limepangwa kutajwa Agosti 6, 2018. Madiwani wa CUF wanawashtaki Magdalena Sakaya, Lipumba, Mashaka Ngole, Halmashauri ya Jiji la Tanga [Tanga City Council], Mkurugenzi wa ya Jiji la Tanga [Executive Director Tanga City Council] pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali [The Honourable Attorney General]. CUF imewakilishwa na Wasomi Mawakili Juma Nassoro na Daimu Halfani ambao wameendelea kumburuza, kumshughulisha na kumfundisha Taaluma ya Sheria Wakili wa Lipumba Mashaka Ngole.


Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad amewaondoa hofu Wanachama, na Viongozi wote wa Chama kiserikali [Wabunge, Madiwani, Wenyeviti wa serikali za Mitaa, Vijiji na Vitingoji] kuwa “CUF itaendelea kuwatetea na kuwalinda dhidi ya kundi la Wahuni waliopandikizwa na vyombo vya dola kutaka kukivuruga Chama”. Amesema “CUF itaendelea kutumia njia za Kisheria kudai Haki na kuwahakikishia kuwa CUF ndio itakayoibuka MSHINDI, kwani HAKI haizami hata siku moja”.

CUF NI TAASISI IMARA, YENYE VIONGOZI MAKINI.

HAKI SAWA KWA WOTE

Imetolewa na Kurugenzi ya Habari CUF-Taifa

SALIM BIMANI
MKURUGENZI -MHUMU

Habari zaidi, soma=>Mkurugenzi wa Jiji la Tanga awafukuza udiwani, madiwani wanne wa CUF, baada ya kupokea barua ya Magdalena Sakaya
View attachment 820922View attachment 820923
Hivi kwanini washishitakiwe kwa kuwasilisha nyaraka za kufoji kwa DED? Hilo si kosa kisheria?
 
safi sana!

Tunataka kuona kesi kama hizi za kuzuia Tume ya Uchaguz kuendelea kuendesha chaguzi zote mpaka kesi ya msingi iliyofunguliwa na TLHR kupinga sheria ya uchaguzi inamalizika mahakamani pamoja na ile ya kupinga Tume ya Uchaguzi kutokuwa huru iliyofunguliwa na kina Makongoro Mahanga.
Itakuwa vyema sana kama haya yatatendeka
 
Watasema hawaja pewa zuio na mahakama. Hawa jamaa wa NEC CCM ni wendawazimu sana.. Halafu na msaji nae atasema bado ana tambua maamuzi ya Tume
 
1. MAHAKAMA KUU YA TANZANIA -TANGA YAWALINDA MADIWANI WA CUF KUTOKANA NA UHUNI WA LIPUMBA NA GENGE LAKE:

2. YAIZUIA NEC NA MAMLAKA ZOTE KUTANGAZA NAFASI WAZI NA KUZIJAZA:

3. WASOMI MAWAKILI JUMA NASSORO NA DAIMU HALFANI WAENDELEA KUMBURUZA, NA KUMFUNDISHA TAALUMA YA SHERIA WAKILI MASHAKA NGOLE:

Issued on: 28 July, 2018

MBELE YA MHESHIMIWA JAJI BENHAJJ MASOUD Mahakama Kuu–Tanga imetoa AMRI ya kumzuia Lipumba, Sakaya, na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga na Mamlaka zingine zote ikiwemo NEC kuendelea na hatua zozote za kutaka kutangaza uwepo wa nafasi wazi za Udiwani kutokana na madai ya kuwavua Uanachama na Uwakilishi wa Wananchi [Udiwani] waombaji [Applicants] Rashid Jumbe Hamza [Diwani wa Kata ya Mwanzange, Fatuma Maine Hamza [Diwani Viti Maalumu], na Halima Juma Mbwana [Diwani Viti Maalumu] mpaka pale shauri la Msingi [Miscellaneous Cause No. 2 of 2018] litakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.


Maamuzi hayo yametolewa Alhamisi Tarehe 26/7/2018 mbele ya Mawakili wa Jiji na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kufuatia maombi madogo [Miscellenous Civil Application No. 30 of 2018] yaliyowasilishwa Mahakama Kuu na Waombaji [Applicants] kuomba kibali kwa ajili ya kuomba AMRI ya Mahakama Kuu kuzuia utekelezwa wa madai ya kuvuliwa Uanachama kwa wahusika [“…PREROGATIVE ORDERS OF CERTIORARI AND PROHIBITION…”]


Shauri hilo limepangwa kutajwa Agosti 6, 2018. Madiwani wa CUF wanawashtaki Magdalena Sakaya, Lipumba, Mashaka Ngole, Halmashauri ya Jiji la Tanga [Tanga City Council], Mkurugenzi wa ya Jiji la Tanga [Executive Director Tanga City Council] pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali [The Honourable Attorney General]. CUF imewakilishwa na Wasomi Mawakili Juma Nassoro na Daimu Halfani ambao wameendelea kumburuza, kumshughulisha na kumfundisha Taaluma ya Sheria Wakili wa Lipumba Mashaka Ngole.


Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad amewaondoa hofu Wanachama, na Viongozi wote wa Chama kiserikali [Wabunge, Madiwani, Wenyeviti wa serikali za Mitaa, Vijiji na Vitingoji] kuwa “CUF itaendelea kuwatetea na kuwalinda dhidi ya kundi la Wahuni waliopandikizwa na vyombo vya dola kutaka kukivuruga Chama”. Amesema “CUF itaendelea kutumia njia za Kisheria kudai Haki na kuwahakikishia kuwa CUF ndio itakayoibuka MSHINDI, kwani HAKI haizami hata siku moja”.

CUF NI TAASISI IMARA, YENYE VIONGOZI MAKINI.

HAKI SAWA KWA WOTE

Imetolewa na Kurugenzi ya Habari CUF-Taifa

SALIM BIMANI
MKURUGENZI -MHUMU

Habari zaidi, soma=>Mkurugenzi wa Jiji la Tanga awafukuza udiwani, madiwani wanne wa CUF, baada ya kupokea barua ya Magdalena Sakaya
View attachment 820922View attachment 820923
Ndio majaji wetu wanatakiwa wasimamie taaluma zao hivi....majaj wamefungw mihands yao na wanalinda ugal wao..wanatishiw na hata huyu atawekw kat..time will tell..
 
Hii migogoro ya wapinzani inaonyesha kuwa upinzani kamwe hautashika dola.
 
UPUUZI ni kwamba pamoja na hiyo amri kutoka mahakama kuu, hawa akina lipumba na sakaya wake wanaheshimiwa na NEC kuliko mahakama kuu, so kuna uwezekano mkubwa sana maamuzi ya mahakama yakapuuzwa. Ni hatari sana.
 
Izi Mahakama kuna wakati zinatoa mwanga lakini mwisho wa siku The story are the same'' Mahakama Tz si huru, kesi hucheleweshwa makusudi na pengine hukumu kupindishwa pindishwa
 
Itafanya Kazi Tanga Tu Ila Siyo Dar es salaam
Anakofanya Majukumu Yake Lipumba
 
Asante Judge Masoud! Huyu mama ni mwadilifu na kazi yake sana. Namfahamu!
Siyo kwamba MASHAKA NGOLE hajui sheria, sidhani, ila ni kuwa hawezi kuacha hela za wazi kama hizo! Hata mimi sitaziacha kamwe. Safi Wakili, piga hela. figganigga
 
UPUUZI ni kwamba pamoja na hiyo amri kutoka mahakama kuu, hawa akina lipumba na sakaya wake wanaheshimiwa na NEC kuliko mahakama kuu, so kuna uwezekano mkubwa sana maamuzi ya mahakama yakapuuzwa. Ni hatari sana.
Lakini la msingi Mahakama imetenda haki... wacha Jiwe aidharau
 
safi sana!

Tunataka kuona kesi kama hizi za kuzuia Tume ya Uchaguz kuendelea kuendesha chaguzi zote mpaka kesi ya msingi iliyofunguliwa na TLHR kupinga sheria ya uchaguzi inamalizika mahakamani pamoja na ile ya kupinga Tume ya Uchaguzi kutokuwa huru iliyofunguliwa na kina Makongoro Mahanga.
Kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom