Ni sahihi Mkurugenzi wa Manispaa kukataa kutekeleza hukumu ya Mahakama Kuu na kutekeleza uamuzi wa Madiwani kinyume na hukumu ya Mahakama?

MKWEAMINAZI

JF-Expert Member
May 28, 2023
930
1,299
Wadau nawasabahi,

Kuna MKURUGENZI wa Manispaa moja hapa Nchi Amekataa kutekeleza HUKUMU iliyotolewa na JAJI wa MAHAKAMA KUU juu ya MGOGORO wa Ardhi ktk Manispaa yake Badala yake akatekeleza Uamuzi wa Baraza la Madiwani juu ya Mgogoro huo Uamuzi ambao ni KINYUME na HUKUMU ya MAHAKAMA KUU.

Je, Sheria inasemaje juu ya Tukio kama hilo?Je Nini kinaweza kufanyika?

Je, Baraza la Madiwani lina Uwezo wa Kubatilisha HUKUMU ya MAHAKAMA KUU?
 
Wadau nawasabahi.Kuna MKURUGENZI wa Manispaa moja hapa Nchi Amekataa kutekeleza HUKUMU iliyotolewa na JAJI wa MAHAKAMA KUU juu ya MGOGORO wa Ardhi ktk Manispaa yake Badala yake akatekeleza Uamuzi wa Baraza la Madiwani juu ya Mgogoro huo Uamuzi ambao ni KINYUME na HUKUMU ya MAHAKAMA KUU.
JE Sheria inasemaje juu ya Tukio kama hilo?Je Nini kinaweza kufanyika?
Je Baraza la Madiwani lina Uwezo wa Kubatilisha HUKUMU ya MAHAKAMA KUU?
Katiba mpya bora ni muhimu. !! Hapo lazima zipo Contradictions ambazo zinapelekea wengine kuchukua advantage !
 
Wadau nawasabahi,

Kuna MKURUGENZI wa Manispaa moja hapa Nchi Amekataa kutekeleza HUKUMU iliyotolewa na JAJI wa MAHAKAMA KUU juu ya MGOGORO wa Ardhi ktk Manispaa yake Badala yake akatekeleza Uamuzi wa Baraza la Madiwani juu ya Mgogoro huo Uamuzi ambao ni KINYUME na HUKUMU ya MAHAKAMA KUU.

Je, Sheria inasemaje juu ya Tukio kama hilo?Je Nini kinaweza kufanyika?

Je, Baraza la Madiwani lina Uwezo wa Kubatilisha HUKUMU ya MAHAKAMA KUU?

Alikuwa anatelekeza (Anatekeleza) ilani ya c-m. Yeye ni nimteule wa mkuu na hao madiwani wanatokana na chama, hivyo hasipofuata masharti ya madiwani atatumbuliwa
 
Suala la ardhi linatatuliwa na Mahakama za Ardhi labda aliona huo mgogoro haukufuata taratibu stahiki ndiyo maana akapuuza hiyo hukumu.
 
Suala la ardhi linatatuliwa na Mahakama za Ardhi labda aliona huo mgogoro haukufuata taratibu stahiki ndiyo maana akapuuza hiyo hukumu.
Soma vizuri Mgogoro ulianzia Baraza la Ardhi Wilaya likaenda Mahakama Kuu sheria gani haikufuatwa kwa HATUA hiyo?
 
Wadau nawasabahi,

Kuna MKURUGENZI wa Manispaa moja hapa Nchi Amekataa kutekeleza HUKUMU iliyotolewa na JAJI wa MAHAKAMA KUU juu ya MGOGORO wa Ardhi ktk Manispaa yake Badala yake akatekeleza Uamuzi wa Baraza la Madiwani juu ya Mgogoro huo Uamuzi ambao ni KINYUME na HUKUMU ya MAHAKAMA KUU.

Je, Sheria inasemaje juu ya Tukio kama hilo?Je Nini kinaweza kufanyika?

Je, Baraza la Madiwani lina Uwezo wa Kubatilisha HUKUMU ya MAHAKAMA KUU?
Nchi hii haina mahakama
Nchi hii haina bunge
Rais na jamaa zake ndiyo kila kitu
 
Siyo kila hukumu inakuwa sahihi kisheria
Ni nani anayeamua kwamba hii hukumu ni sahihi au si sahihi kisheria, ni diwani?
Ndio maana kuna utaratibu kama waona hukumu haiko sawa unaenda ngazi inayofuata hadi ngazi ya mwisho ila si uamuzi wa diwani au mkurugenzi kuamua ipi hukumu sahihi na ipi si sahihi.
 
Ni nani anayeamua kwamba hii hukumu ni sahihi au si sahihi kisheria, ni diwani?
Ndio maana kuna utaratibu kama waona hukumu haiko sawa unaenda ngazi inayofuata hadi ngazi ya mwisho ila si uamuzi wa diwani au mkurugenzi kuamua ipi hukumu sahihi na ipi si sahihi.
UPO SAHIHI MKUU
 
Wadau nawasabahi,

Kuna MKURUGENZI wa Manispaa moja hapa Nchi Amekataa kutekeleza HUKUMU iliyotolewa na JAJI wa MAHAKAMA KUU juu ya MGOGORO wa Ardhi ktk Manispaa yake Badala yake akatekeleza Uamuzi wa Baraza la Madiwani juu ya Mgogoro huo Uamuzi ambao ni KINYUME na HUKUMU ya MAHAKAMA KUU.

Je, Sheria inasemaje juu ya Tukio kama hilo?Je Nini kinaweza kufanyika?

Je, Baraza la Madiwani lina Uwezo wa Kubatilisha HUKUMU ya MAHAKAMA KUU?
Hivi ni kwa Nini hizi Hukumu za Mahakama Kuu zinakua ngumu sana kuzitekeleza!!?? Yaani kutekeleza hukumu utafanyiwa zengwe hadi unakataa tamaa, Jana nomeona kwenye taarifa ya habari ITV baada ya Mwaka toka Hukumu itokee Jana Mama ndiyo kakabidhiwa eneo lake tena kwa force!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wadau nawasabahi,

Kuna MKURUGENZI wa Manispaa moja hapa Nchi Amekataa kutekeleza HUKUMU iliyotolewa na JAJI wa MAHAKAMA KUU juu ya MGOGORO wa Ardhi ktk Manispaa yake Badala yake akatekeleza Uamuzi wa Baraza la Madiwani juu ya Mgogoro huo Uamuzi ambao ni KINYUME na HUKUMU ya MAHAKAMA KUU.

Je, Sheria inasemaje juu ya Tukio kama hilo?Je Nini kinaweza kufanyika?

Je, Baraza la Madiwani lina Uwezo wa Kubatilisha HUKUMU ya MAHAKAMA KUU?

Maswali mengine bwanaaa
 
Back
Top Bottom