Mahaba na Mahabati usiwaue walee..

Mahaba na Mahabati usiwaue walee..

Kwanza leo ni weekend ndo imeanza na huu ni ujumbe mfupi.

Wana MMU wote katika ujumbe wangu mfupi ambao tunatakiwa tuutafakari kwa kina hasa kati ya mapenzi ya kweli na pesa, mimi naamin hakuna mapenzi pasipo pesa toka dunia imeumbwa au ninyi mnasemaje?

Hakuna mapenzi kwenye pesa kuna kupenda pesa.
 
Mimi naamini hakuna mapenzi bila kukutanisha vikojoleo...

Mkuu, kukutanisha vikojoleo sio MAPENZI bali ni NGONO, tena ngono zembe! Hivi mtu anapopata service ya ngono (ya kulipia) kwa kyangu pale Buguruni, Kinondoni makaburini au Mbagala Zakhem kunakuwa na mapenzi au ngono? Tafakari!
 
Back
Top Bottom