Mahaba na Mahabati usiwaue walee..

Mahaba na Mahabati usiwaue walee..

ukweli cjawahi kua na Dem aliechoka sana kiuchumi au asiejishughulisha

Basi ww huna mapenzi unachagua mtu mwenye uwezo tu....mtu kuwa na pesa ya kiasi gani labda cz kama mtu anaweza kuishi kila siku anaweza kula na kulala ndio maana ya kuwa na pesa basi tunatofautiana mtazamo...mm mtu akisema ana pesa najua ni yule ambae anaweza kufanya hadi anasa na bado ziwepo hizo pesa.
 
kauli yako inarudi kulekule kwenye umuhim wa pesa katika mapenzi kwani kama ni mbolea ina maana bila pesa mapenzi hayatoshamiri wala kukua vyema

bila pesa penzi linaweza kustawi inategema na mazingira waliyopo hao wapendanao
 
Basi ww huna mapenzi unachagua mtu mwenye uwezo tu....mtu kuwa na pesa ya kiasi gani labda cz kama mtu anaweza kuishi kila siku anaweza kula na kulala ndio maana ya kuwa na pesa basi tunatofautiana mtazamo...mm mtu akisema ana pesa najua ni yule ambae anaweza kufanya hadi anasa na bado ziwepo hizo pesa.

elewa pesa au awe anajishughulisha sio uwezo wa kula tu excess iwepo
 
elewa pesa au awe anajishughulisha sio uwezo wa kula tu excess iwepo

Excess kama ya kwenda likizo malaysia au excess ya kiasi gan....unaposema mtu mwny pesa ni wa kuingiza kiasi gan kwa mwaka?
 
Pesa inaongeza ladha kwenye penzi, sio kama ikikosekana na mapenzi yanaisha, NO ila ikiwepo ndio mapenzi unafeel zaidi
 
Kwa hiyo unataka kusema kuwa, ukiwa na hela kumzidi Rais wa nchi, mke wake una mgegeda kirahiiiiiiiiiiiisi!
 
Pesa inaongeza ladha kwenye penzi, sio kama ikikosekana na mapenzi yanaisha, NO ila ikiwepo ndio mapenzi unafeel zaidi

tafakari kwa kina kwa hiyo bila pesa hakuna mapenzi bora au sio?
 
Kwa hiyo unataka kusema kuwa, ukiwa na hela kumzidi Rais wa nchi, mke wake una mgegeda kirahiiiiiiiiiiiisi!

huu mtazamo wako ni hafifu sana nani kakueleza hakuna wanaomzidi pesa Rais? Halafu rudi kwako mwenyewe ulishawahi kua happy na mpenzi wako bila pesa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom