utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,671
tafakari kwa kina kwa hiyo bila pesa hakuna mapenzi bora au sio?
Yapo tena sna tu, ila pesa ikiwa ipo kuna ladha flani inaongezeka, lakini sio pesa isababishe mapenzi ni hatari
tafakari kwa kina kwa hiyo bila pesa hakuna mapenzi bora au sio?
Excess kama ya kwenda likizo malaysia au excess ya kiasi gan....unaposema mtu mwny pesa ni wa kuingiza kiasi gan kwa mwaka?
Yapo tena sna tu, ila pesa ikiwa ipo kuna ladha flani inaongezeka, lakini sio pesa isababishe mapenzi ni hatari
wewe umeelewaje ? Au upo kundi gani? Kati ya walio na pesa au ambao bado ndo wanatafuta au wasiokua na pesa?
Kwanza leo ni weekend ndo imeanza na huu ni ujumbe mfupi.
Wana MMU wote katika ujumbe wangu mfupi ambao tunatakiwa tuutafakari kwa kina hasa kati ya mapenzi ya kweli na pesa, mimi naamin hakuna mapenzi pasipo pesa toka dunia imeumbwa au ninyi mnasemaje?
Kwanza leo ni weekend ndo imeanza na huu ni ujumbe mfupi.
Wana MMU wote katika ujumbe wangu mfupi ambao tunatakiwa tuutafakari kwa kina hasa kati ya mapenzi ya kweli na pesa, mimi naamin hakuna mapenzi pasipo pesa toka dunia imeumbwa au ninyi mnasemaje?
Pesa huita wazuri,wakaitika labeka,
Hawapati kughairi,kwa tamaa kuwashika,
Hata bila mashairi, pesa imetukuka,
Mapenzi bila pesa, ni chai bila asali.
Mkuu, tafakari yako ni sahihi kabisa...siku hizi mapenzi bila noti ni bure..ni sawa na chai isiyokuwa na sukari. Kumbuka kwamba mkono mtupu haulambwi. Pesa ndiyo kila kitu ndugu yangu. Mapenzi kama ya hawa wawili wewe unadhani yamewezekana kwa sababu ya nini kama sio PESA?
View attachment 164688
mapenzi haya sasa! Angekua huyo mzee yupo Same anachimba visima angempata huyo mtoto?
Saluti zoteMkuu, tafakari yako ni sahihi kabisa...siku hizi mapenzi bila noti ni bure..ni sawa na chai isiyokuwa na sukari. Kumbuka kwamba mkono mtupu haulambwi. Pesa ndiyo kila kitu ndugu yangu. Mapenzi kama ya hawa wawili wewe unadhani yamewezekana kwa sababu ya nini kama sio PESA?
View attachment 164688
Acha wivu wewemapenzi haya sasa! Angekua huyo mzee yupo Same anachimba visima angempata huyo mtoto?
Pesa inaongeza ladha kwenye penzi, sio kama ikikosekana na mapenzi yanaisha, NO ila ikiwepo ndio mapenzi unafeel zaidi
waoooow sikukosea kukupa moyo wangu uupasue lol
Hapa umefika miss wangu, moyo wako nitautunza zaidi ya jicho langu....
uwe unanimwagia madolari mbolea ni muhimu u know
Umeona eeh hapo sawa, ukiniambia baby tukatembee dubai, fasta tu tunaenda