Vipajilink hao mkuu....kama sijakosea.
Sijawataja, najua hata humu jukwaani wapo sana tu na wameiona hiyo post yangu. Naomba waache kabisa huo mchezo maana najua "ustaarab wa mtu sio kuvaa nguo nzuri na tai tu!". Proffessional ya mtu ni pamoja na mambo anayotafanya. Sijajua km watakuwa ndio hao jamaa uliowataja au lah! japo hujakosea saaaana!111111