Mnayedhani mzima ndiyo hivyo kalazwa hospitali tena za nchi za watu wengine!.
Tusijeshangaa kuletewa taarifa za "kuzima" kwa kukosa mafuta
Wiki hii wametangaaaaaza kuwa wangekuwa na Mzee Mkamba viwanja vya Mwembe yanga. Cha ajabu wakawepo wale vijana wa UVCCM wahuni na wenye midomo michafu iliyojaa mitusi mithiri ya choo cha shimo!!
Something is wrong with him. Muda haudanganyi ni lazima tu waumbuke hawa!,