47pro
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 1,204
- 332
Rais wangu, Lakin si ulisema kuna mtonyo wa 50millions kila kijiji?
Sasa vepeee? Mbona buyu mpaka leo?
Kama vipi anza hata kwa awamu, awamu, yaani Toa kwa vijiji kadhaa hata vingine vingojee.
Tupeni Hizo 50millions watu tufanye yetu maana, tushechoka siye, majipu yanatumbuliwa lakini huku mtaani hali iko pale pale, tena bora mkwere.
Sasa vepeee? Mbona buyu mpaka leo?
Kama vipi anza hata kwa awamu, awamu, yaani Toa kwa vijiji kadhaa hata vingine vingojee.
Tupeni Hizo 50millions watu tufanye yetu maana, tushechoka siye, majipu yanatumbuliwa lakini huku mtaani hali iko pale pale, tena bora mkwere.