kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,255
- 16,185
WAtanzania tunakujua kwa uhodari wako kwenye ujenzi sio kwenye usanii, achana na kona hizo watu watakuona umeshaanza kuharibiwa. Baki kwenye ofeneo lako lililokufanya uwe maarufu mchini. Watu wanataka kusikia utafanya nini migogoro ya ardhi, maeneo ya wazi yaliyoporwa, barabarà zisizo na viwango, ujenzi holela mijini, foleni mijini, ujenzi wa barabara na mabwawa vijijini na reli, n.k. kupiga ngoma kunakupunguzia sifa, tunakuona kama ze comed usiye serious na unachokitafuta. Jaribu kuwa wewe kama tunavyokufahamu wananchi