Madenge Origino
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,847
- 1,096
Kutokana na kampeni zilizokwisha fanyika hadi hivi sana ktka mikoa 10 aliyozunguka Dr Magufuli imedhihirika wazi wanainchi wanainchi wanasubili kuapishwa kwake kutokana na uwezo wake binafsi alionao katika utendaji wa majukumu yake. Hata hivo wanainchi wengi wamekuwa wakijitokeza na kila anapopita wamekuwa wakimpapongeza zaidi kwa kuchaguliwa kwake kuwa rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na wengine wakisema wanamfahamu hata asipozunguka uwezo wake kujenga hoja, kusimamia kazi na hata kuwa karibu na jamii hata mtoto mdogo analifahamu hilo.
Hongera sana Dr John Pombe Magufuli kwa KUCHAGULIWA KWAKO NA WANAINCHI KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO.
Inaonesha hata sifa za kupiga kura huna wewe! Wewe ni mtanzania kweli???