Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

Hahajajaja ASANTE 47pro unawapatia hawA 4U waliojazana humu ndani

Afu wanaudhi kinyama mtu hako na uhakika wa kitu wanabonga tuuuuu...
Wamesahau hapa ni >>>>>>#hapakazitu Mucha gusto magufuli.
 
Last edited by a moderator:
Ishara nikwamba watanzania wenye akili Timamu wana mchaguwa mchapa kazi na mwenye afya njema, ila watoto wa mitaani wengi wana mchaguwa lowasa kwa uzembe wao wa kutafuta Maisha wakitarajia kupewa pesa bure kama walivyo zowea kuombaomba.
 
Sasa na wewe si ungekua msanii ungekua Inn, Sasa kipaji chako viroba, huna maana.
bado hujajibu hoja - kwa nini CCM mnatembea na wasanii lundo? je mnakwenda tangaza SERA ama mabonanza??
 
Kwa wale ambao hamjui na wala hamjitambui, Dr pombe Jon magufuli ndie Rais wa JMT. Mark my words 39days remains
basi wafute uchaguzi, kama mambo yako wazi tusipoteze pesa tena
 
kwa wale ambao hamjui na wala hamjitambui, dr pombe jon magufuli ndie rais wa jmt. Mark my words 39days remains
hilo halina ubishi kula zote zinaenda kwa magufuli.ukiwa wataisoma namba mwaka huu......
Kwakuwa kila mtu ameshaijua kweli na ongo ya el na magufuli ,tumetathimini na sasa tumejua kuwa magufuli ndie anayefaha na kiongozi muhimu katika nchi yetu hivyo hatutofanya makosa katika hilo.
 
"........39 days remains" ndiyo kitu gani?

Kama hujui lugha ya wengine acha, tumia lugha ya bibi yako.
 
Kwa wale ambao hamjui na wala hamjitambui, Dr pombe Jon magufuli ndie Rais wa JMT. Mark my words 39days remains

"........39 days remains" ndiyo kitu gani?


Kama hujui lugha ya wengine acha, tumia lugha ya bibi yako.
 
Turudishe tena ccm ambayo imesababisha tununue maji ya madumu.usafiri wa daladala ni kiama dsm..twiga .madini mikataba ya siri.escrow na richmond.kipigo kwa dr ulimboka hakuna aliekatwa hadi muhimbili haina ubora tena.mpango mzima ni ukawa.mbona kenya wamefanya mabadiriko wanasonga mbele.
 
hata majimaji ya songea inamatumaini ya kutwaaa ubingwa wa ligiu kuu.....tukutane 25 octoer
 
Wana CCM tusijitie unyonge kwa kelele za UKAWA ushindi ni wetu kwa namna wagombea wetu wanavyouzika huko majimboni. Tujiandae na sare zetu kusubiria kuapishwa kuanzia Rais, wabunge na madiwani.
 
Zidhani kama wewe ni ndugu wa katika imani. NINA mashaka. " waislamu ni kiwiliwili kimoja,...". Yaani yote tuliofanyiwa bado wewe ujaelewa?. Wale masheikh watatokaje?.
 
Back
Top Bottom