Acha utani mkuu[emoji12]Umemuwekea vitabu vizuri lakini visivyo na umuhimu kwa wakati huu angeanza na COMMON MISTAKES IN ENGLISH
Ukisababisha nifungwe jela kwa kucheka usishangae mkuu[emoji13]Asisahau kitabu cha MFALME JUHA.
Wataandika saa ngapi wakati muda mwingi wanautumia bar kupiga stori na mikasi, wakiwa maofisini wanawaza kupiga dili...hata maprofesa wa vyuo wanamiliki night clubs....We are a lost society mkuu.yahaa wasomi wa siku hizi hawaandiki sijui kwa nini?rodney aliuawa akiwa na miaka 38 sasa pata picha angefikisha miaka 60 ingekuwaje
Vimemsaidia kushinda kwenye mitandao ya kijamii akijimwambafaiWewe uliyesoma vimekusaidiaje labda mkuu?
Tafuta kitabu cha Manzese Crew kinaitwa maisha ubishi, ubishi, ubishi...... Kinafundisha namna ya kuyafanya mambo rahisi kutowezekana na magumu kuwezekena. Ni kitabu kizuri sana kwa tunaotaka maamuzi magumuMtoa post unachekesha sana, huamini dhana ya Rais kutegemea ushauri,Stll, unamshauri akasome kitabu ili apate ushauri
Yes there was exploitation, but they left Africa with a lot of resources, and they established a system on how the resources can be used more efficiently to improve the life in this continentthey exploited us through slave trade,they exploited our minds.our minds were totally changed.The slave trade helped to build the growing economies of northern seaports like Bristol, and supported the economies of many towns along the New England coast or further inland. Slave traders paid shipbuilders, insurers, blacksmiths, and a wide variety of other tradesmen, merchants, and farmers. New York financial institutions were heavily invested in slavery
Ndo maana shetani hafulii mkuu....bas nitaungana na Rais kuvisoma. Ahsantemaarifa mkuu utasema mbona sijawa Rais ,Knowlwdge is power,hata shetani najua mistari ya bible na koran ndio maana anaendelea kuwa hewani