Sodoku Myebusi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,304
- 2,996
na wewe ni hopeless kweli yaan umeishiwa role model mpaka kumchagua kikwete? kikwete awe role model? NYWAY inategemeana kuna mabao idd amin au hitler ni role model wao. ila ungechagua watu wa maana kuwa role model. kwa taifa kama tanzania rais kuchaguliwa kwa 100 ni jambo la kawaida wengi walichagua mtu mwenye akili kama zao mpaka baadaye walipokuja kugundua kuwa they made a grave mistake.
mnapochagua role model omben hata ushauri toka kwetu wenye akili. unaacha kuchagua role model wa maana unachagua mavitu ya hovyo hovyo. we ulishindwa kumchagua dr salim ahmed salim? ungekuwa na akili . sasa unachagua mtu. we huoni hata mijitu inayomtetea akili zao zinaonesha hazina elimu dunia. ni mi boko haram ya tanzania.
mnapochagua role model omben hata ushauri toka kwetu wenye akili. unaacha kuchagua role model wa maana unachagua mavitu ya hovyo hovyo. we ulishindwa kumchagua dr salim ahmed salim? ungekuwa na akili . sasa unachagua mtu. we huoni hata mijitu inayomtetea akili zao zinaonesha hazina elimu dunia. ni mi boko haram ya tanzania.
kwa taharifa yako namkubali sana JK kuliko unavyodhani yule ni role model wangu acha ujinga wewe