minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Ukiona miccm inatetea udikiteta udhalimu unyanyasaji uonevu uovu wa utawala huu wa kinyama jua moja kwa moja ni wale wanufaika kwa njia moja au nyingine, maana kupitia haya mateso manyanyaso wapo wanufaika wakubwa na endapo hakuna manyanyaso wanakosa pa kujipatia Rushwa na pesa zingine haramu kwa njia za kishetani