Magufuli ni zaidi ya Nyerere

Magufuli ni zaidi ya Nyerere

Balagha

Member
Joined
Oct 8, 2016
Posts
21
Reaction score
17
Hili halina ubishi na linathibitishwa na watu wengi waliohojiwa kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 17 ya kifo cha Mwl J.Nyerere.
14721669_10154621151309339_6157589127975420243_n.jpg
 
Aisee kuweni basi na aibu kidogo ,wakumlinganisha na Mwl Nyerere Afrika hayupo achilia mbali Tanzania
 
Afadhali angemlinganisha na jk kwakuwa tuna kigezo cha kufanana herufi
Yaani julius kambarage jk na jakaya kikwete jk
 
Sasa naongeza kwenye kila watanzania 4 wawili ni vichaa nyerere uwezi mfananisha na viongozi wako
 
Hii haina ubishi na hili inathibitishwa na watu wengi waliohojiwa kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 17 ya kifo cha nyerere.

Hata hukumu ya mungu huiogopi kwa kushuhudia uongo.
 
Hii haina ubishi na hili inathibitishwa na watu wengi waliohojiwa kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 17 ya kifo cha nyerere.

Kuna vitu ving vinatakiwa ili tuweze kuungana na hao wanao dai kuwa huyu ni zaid ya yule nafikiri cha kwanza ni aina ya watu wali toa jibu hilo nikimaanisha elimu yao, lakin elimu tiu haitosh maana una weza ukaelimika lakini ukawa huna kitu inaitwa civic education maana hivi ni vitu viwili tofauti, pia upeo wa fikra zao kuhusu historia ya tanganyika to tanzania na pia histori za hao watu walio shindanishwa kitabia,kifikra na kiupeo,nk
 
Back
Top Bottom